Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Nyeto poa sana imenifanya strong on bed mpaka mtu aombe poo!
 
Nyeto poa sana imenifanya strong on bed mpaka mtu aombe poo!

ebana kaka we on tha same boat yani.I last longer now kwa bed mpaka niamue mwenyewe ku-cum.it has helped me sio siri.mpaka ntu anasema pooooohhh!!
 
Prostate cancer au prostate carcinoma in cancer ya prostate gland which produces semen..
 
Kama hujui puchu ina madhara makubwa cha kwanza puchu inaendana na pornographic addiction so unakuwa addicts vitu viwili...and remember Kama huwez kuacha ujue ushaharibika kisaikolojia like drug addict...dopamine level kwenye brain yako inazidi kuongezeka inakufanya ushindwe kujizuia kabsa...and pia shetani anakutumia hapo hapo kutenda dhambi coz puchu is like you are doing sex umetoa manii njee,so jumlisha haya dhambi+addiction+brain damage+organ damage+time wastage=total loss ....acha nyeto sasa
 
Huyu jamaa nahsi hii mada amejichukulia yy yaliyomtokea


Nimepiga sana puli kwa miaka zaidi sita nikiwa skuli

ila mwanamke akijilengesha anatamani kukimbia.. Maana hyo dose......

Ukweli ni kuwa hakuna mwanaume anayerudia tendo ndani ya sekunde kama amekojolea ndani.......

Lazima upumzike hata dk 2 uendelee na bao la pili bhana.....
 
Huyu jamaa nahsi hii mada amejichukulia yy yaliyomtokea


Nimepiga sana puli kwa miaka zaidi sita nikiwa skuli

ila mwanamke akijilengesha anatamani kukimbia.. Maana hyo dose......

Ukweli ni kuwa hakuna mwanaume anayerudia tendo ndani ya sekunde kama amekojolea ndani.......

Lazima upumzike hata dk 2 uendelee na bao la pili bhana.....

Mi hata nusu saa au lisaa kabisa sijui nina matatizo hapo au
 
Mi hata nusu saa au lisaa kabisa sijui nina matatizo hapo au

Sex is bout satisfaction. Haijalishi ni mara ngapi unapiga bao. Sex is two way sided balance. If both get satisfied, basi. Hayo magoli sijui mabao mangapi ni mtu na mtu, na aina ya maandalizi. Kuna mwingine atapiga bao moja in 45 minutes, unafikiri atarudia raundi ingine ? Wengi wetu humu ndani si wakweli.
 
Back
Top Bottom