balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
gains madhara na sababu sina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo hii inazunguka kwenye group moja la Whatsapp huko. Watu wengi wanakiri kuwa madhara yaliyotajwa ni ya kweli kabisa na kuna mpaka ambao eti walifeli mitihani mashuleni na vyuoni kwa kuendekeza hii kitu.
Kama tineja wengi, mimi pia nakiri kuwa nilipitia hii kitu enzi za boarding form two. Hata hivyo nilikuja kuacha baada ya kujifunza kuwa bize wakati wote hasa nilipojiunga na timu ya mpira wa miguu. Yaani mazoezi na mechi zinachosha balaa na mtu ukirudi huna hata tamaa ya kujaribu hii kitu. Na hiyo ikajifia yenyewe na nashukuru haikufufuka tena.
Lakini nina wasiwasi kama kweli madhara yote haya ni ya kweli.
Kama ni ya kweli basi vijana wetu hasa ambao wako addicted watakuwa na shida huko mbele ya safari.
Samahani kama nimemkwaza mtu/nimevunja sheria/nimeweka mahali pasipo pake...
Samahani Mkuu. Mi sijaelewa kabisa. Ni kitu gani hiyo na mimi nifaidike? Kuwa muwazi kidogo.
Ipo hii inazunguka kwenye group moja la Whatsapp huko. Watu wengi wanakiri kuwa madhara yaliyotajwa ni ya kweli kabisa na kuna mpaka ambao eti walifeli mitihani mashuleni na vyuoni kwa kuendekeza hii kitu.
Kama tineja wengi, mimi pia nakiri kuwa nilipitia hii kitu enzi za boarding form two. Hata hivyo nilikuja kuacha baada ya kujifunza kuwa bize wakati wote hasa nilipojiunga na timu ya mpira wa miguu. Yaani mazoezi na mechi zinachosha balaa na mtu ukirudi huna hata tamaa ya kujaribu hii kitu. Na hiyo ikajifia yenyewe na nashukuru haikufufuka tena.
Lakini nina wasiwasi kama kweli madhara yote haya ni ya kweli.
Kama ni ya kweli basi vijana wetu hasa ambao wako addicted watakuwa na shida huko mbele ya safari.
Samahani kama nimemkwaza mtu/nimevunja sheria/nimeweka mahali pasipo pake...
Samahani Mkuu. Mi sijaelewa kabisa. Ni kitu gani hiyo na mimi nifaidike? Kuwa muwazi kidogo.
Anazungumzia Upigaji wa Punyeto.
Hii ina madhala kuliko tunavyofikiria.
Sitaki kusema kwa sababu lilishaongelewa humu
Sielewi nini hiyo kitu
Wakuu hilo tatzo nami pia nilikua nalo,,na nlikua napenda punyeto haswaa,kwa cku napga zaid ya mara3 kw siku,nkaanza kuona madhara wakat nasex,yn ndan ya dakk 3-5 nakua nshamaliza yaan liwe goli la kwnza,la2 au la3,ndan ya dakk20 nakua cwez tena kuendlea na nguv kuniishia...nkaanza kutafta tiba ndipo nkajivunza baadh ya mazoez ya kurudsha nguv ya misuli
Huu bado haujawa utafiti kabisa na hauwezi ukatumia sababu madhara uliyoyaanisha(problems) kama ushahidi ni madhara uliyoyaona kwako tu kwa kuamini yamesababishwa na hiyo punyeto (this is not scientific hypothesis)
Sababu uliyotoa ya kuwa siku hiz mgumu kuelewa na msahaulifu sana tofauti na ulivyokuwa primary bado ni dhaifu sana ambayo haiwezi kuleta mantic kwa GT
Umesema huyo mke wako ndio mwanamke wako wa kwanza kufanya nae mapenzi baada ya kuacha nyeto sasa wewe umejuaje kama umeshuka kiwango ikiwa kabla ya hapo ujawai kufanya ngono coz technically kiasilia watu wengine goli moja tu ndio uwezo wao
Unazidi kunipa mashaka pale unaposema hauchezi gemu vizuri mpaka unye viroba hapa sioni uhusiano na punyeto sababu pombe (alcohol) siku zote inahamsha nyege pamoja na kuufanya mwili kufanya kazi kuliko kawaida yake kwenye 6×6 walevi watanisaidia hapa
Mie napinga sana upigaji punyeto kwa sasa ingawa nilikuwa mwanachama miaka hiyo ya uteenager na hapa nimekupinga sababu zako coz hazijakaa kisayansi hata kidogo..
TUPIGE VITA PUNYETO COZ SIO TENDO LA ASILI
Good analysis. Lakini ninaamini udhaifu wangu wote huu umetokana na upigaji punyeto. Rather ningekuwa vizuri tu. Vilevile me sio mlevi ila hutumia vodka, konyagi and the likes pale ninapokua na mechi tu. Vilevile nisingekua mpigaji punyeto naamini peni** ingekuwa strong and firm ila ipo dhaifu dhaifu tu!
Punyeto Ain't good na ni kweli hakuna scientific proof but i believe anything which is outa nature has got so many effects. Those which i expirince now.