Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Wakuu hilo tatzo nami pia nilikua nalo,,na nlikua napenda punyeto haswaa,kwa cku napga zaid ya mara3 kw siku,nkaanza kuona madhara wakat nasex,yn ndan ya dakk 3-5 nakua nshamaliza yaan liwe goli la kwnza,la2 au la3,ndan ya dakk20 nakua cwez tena kuendlea na nguv kuniishia...nkaanza kutafta tiba ndipo nkajivunza baadh ya mazoez ya kurudsha nguv ya misuli

mazoez ya aina aina gan mkuu
 
Na kuna watu wanamatatizo ya nguvu za kiume ila hawajawahi kupiga hy punyeto.. sometimes we believe what we want to believe

Fyi.. napinga punyeto kwa watu wazima

After all punyeto is confidential .no one does publicly. How can you know some one does
 
Kutumia konyagi na viroba ili kuongeza uwezo wa kufanya mapenzi baada ya kuathirika na upigaji wa punyeto ni sawa na kuongeza tatizo juu ya tatizo.
 
Upigaji punyeto ni sawa na ulevi Wa gongo,viroba,uvutaji unga,bangi nk.Hapa inahitajika elimu kwa sasa toka vyombo husika,maana hili jambo limeshika kasi sana miaka hii na ndiyo maana mada za punyeto ni nyingi sana kwenye mitandao,ni wakati sasa kwa wataalam wa magonjwa ya akili kuja upande huu kusaidia.

babaflavian, upigaji nyeto ni jambo ambalo kila kijana anayekua (growing up) si mvulana au msichana anapitia, wengine kidogo au wengine kwa kupitiliza. Sisi zamani tulikuwa tukishindana nani atazirusha mbali, kitu ambacho vijana wa sasa hawawezi kwa sababu ya vyakula wanavyokula.
Nina imani kubwa kabisa kwamba kufanikisha tendo la ndoa vizuri ni kama utakuwa unakula chakula kizuri - yaani balanced diet na kubalance muda wako wa kazi na kupumzika. Usifanye kazi nyingi hadi kuchoka au usiwe mlallaji wa kupitiliza. mama akitaka au wewe ukitaka mtambo (au mtalimbo) unakuwa standby na unafanya kazi kwa ufanisi mkubwa kabisa - bila kujali umri.
Binafsi nimevuka 65 na mke wangu namzidimiaka 7, ikitokea akisafiri huwa najikumbusha ya ujana, sabuni na maji ya uvuguvugu, au natafuta vijukuu pale mabibo hostel, ifm, cbe, uhasibu etc bila kusahau kinga.
 
Pole sana uniPM kuna dawa asili ya miti shamba itakurudisha kwenye hali yako halisi ya nguvu za kiume
 
mi ninachoona punyeto bado haijadhibitishwa madhara yake kisayansi ila kwa hayo matatizo uliyoyasema yana uhusiano na mental faculty yako ndio maana unasema mpaka unywe viloba/konyagi. inaonekana unatatizo la mawazo either gulty feelings zinazotokana na iyo background yako au mfumo wa maisha uionao sasa ndio maana unasema mkeo anaridhika ila wewe ndio unajistukia. ninachokushauri unapotaka kufanya tendo la ndoa na mkeo jitahidi utulize akili yako, fanya mazoezi ata kidogo either asubuhi au jioni baada ya kazi, kula vyakula vinavyosaidia kuongeza madini,protein na vitaminis ie pilipili, nyanyachungu/bamia, nyama,mihogo/viazi, karanga n.k pia achana na huo mchezo wa kunywa pombe ili ugegede
 
Huu bado haujawa utafiti kabisa na hauwezi ukatumia sababu madhara uliyoyaanisha(problems) kama ushahidi ni madhara uliyoyaona kwako tu kwa kuamini yamesababishwa na hiyo punyeto (this is not scientific hypothesis)

Sababu uliyotoa ya kuwa siku hiz mgumu kuelewa na msahaulifu sana tofauti na ulivyokuwa primary bado ni dhaifu sana ambayo haiwezi kuleta mantic kwa GT

Umesema huyo mke wako ndio mwanamke wako wa kwanza kufanya nae mapenzi baada ya kuacha nyeto sasa wewe umejuaje kama umeshuka kiwango ikiwa kabla ya hapo ujawai kufanya ngono coz technically kiasilia watu wengine goli moja tu ndio uwezo wao

Unazidi kunipa mashaka pale unaposema hauchezi gemu vizuri mpaka unye viroba hapa sioni uhusiano na punyeto sababu pombe (alcohol) siku zote inahamsha nyege pamoja na kuufanya mwili kufanya kazi kuliko kawaida yake kwenye 6×6 walevi watanisaidia hapa

Mie napinga sana upigaji punyeto kwa sasa ingawa nilikuwa mwanachama miaka hiyo ya uteenager na hapa nimekupinga sababu zako coz hazijakaa kisayansi hata kidogo..

TUPIGE VITA PUNYETO COZ SIO TENDO LA ASILI

Sawa kabisa,,, wanaume wengi tunapitia hii kitu.... shule za moshi.....Kilimanjaro boys....nimesoma pale to form six tulikuwa na punyeto tournament kila weekend, tunachora mstari atakaevusha bao ndo mshindi,,, kuna kuna BOHORA la mbege na Thermos ya maziwa na mayai........it was very fun.....laiti tungejua kwamba akili inapokea na kuitunza ile kumbukumbu vema tusingejaribu... ni mapito......but sijasikia kwa wale class mate wangu tuliokuwa member kuna tatizo au kitu kinachothibitisha asemacho mtoa mada..... siiungi mkono,,,, japo najua wapigaji ni wengi mon.... mkuu jichunguze vema.....ila kama mkeo anasema unamfikisha.....unataka nini........ila nakushauri achana na hizo alcohol before hujampanda mkeo... utakuja fia kwenye dudu.....tune ur brain u will be ok...........hahahaahahaaa mkono wako umeua watoto kibao........jiamini....
 
Bado unakosa uwezo wa kujiamini mkuu na umeweka utegemezi kwenye pombe kua ni tiba yako mimi nakushauri mtafute mtaalamu akutoe kwenye imani hiyo kwanza na ukishaamini kua unaweza kushiriki tendo la ndoa na mkeo bila kunywa pombe hakika utarudi kwenye hali ya kawaida.
 
After all punyeto is confidential .no one does publicly. How can you know some one does

Matatizo ya nguvu za kiume pia ni Confidential.. mtu akiwa tayari kuzungumzia matatizo yake ya nguvu za kiume hawezi kuficha kuhusu ushiriki wake wa punyeto..
 
Kwanza kabisa nakupa pongezi kwa kuwa mwana CHAPUTA kwa kipindi cha miaka 14....hayo ni mafanikio ambayo kila mwanaCHAPUTA angependa kuyafikia.....nikirudi kwenye tatizo lako...na nikitazama katikati ya mstari naona kuwa tatizo lako ni kisaikolojia zaidi na wala sio halisi...kumekuwa na upotoshaji mwingi kuhusu PUNYETO na madhara yake jambo ambalo sio la kweli...Punyeto ni penzi kama penzi lingine lakini tofauti yake ni kwamba katika mchezo wa punyeto mtu mmoja anacheza nafasi zote....nikiwa na maana kuwa mtu anajihudumia yeye mwenyewe pasi na msaada wa jinsia nyingine kwa kujitengenezea ujinsia mwingine kwa wakati huo anahitaji hiyo huduma...

Kulikuwa na wanachama nguli wa CHAPUTA ambao walikitumikia chama kwa zaidi ya miaka 25 lakini walisataafu kwa heshima na kuingia katika maisha mapya ya kuchovya kibuyu cha asali.....Na katika kustaafu kwao sijawahi kusikia malalamiko kutoka kwao kuhusu utendaji wao wa kazi katika process ya uzalianaji.....tena wakati mwingine huwa wana over dozi mchakato mzima kutokana utendaji kazi wa hali ya juu ya kiungo husika kutokana na kukitumia mara kwa mara.....

Ninachojaribu kukueleza ni kwamba tatizo lako la kushindwa kusimamisha bendera automatically mpaka uji boost halina uhusiano wowote na tendo la upigaji wa punyeto bali linatokana na tukio la ubongo wako kuendelea kuweka kumbukumbu za punyeto hata kama ukiwa na mwanamke....hivyo kupelekea kuwahi kumaliza kama vile upo bafuni wakati upo kitandani na mamaa.....

Kwanza unatakiwa uichukulie papuchi ya mkeo kuwa kama ni kitu cha kawaida....acha papara.....tuliza akili zako.......Zitoe fikra zako katika ulimwengu wa PUNYETO na uziweke katika ulimwengu halisi wa papuchi.......na nakushauri uache mara moja kujiboost..........


CHAPUTA FOR LIFE.........
 
Nyeto ina madhara sana aisee me nimepiga kwa miaka 7 sasa lakini madhara niliyoyapata mhhhh ni aibu wanasayansi wasitudanganye punyeto ina madhara tena makubwa say NO TO PUNYETO
 
Huu bado haujawa utafiti kabisa na hauwezi ukatumia sababu madhara uliyoyaanisha(problems) kama ushahidi ni madhara uliyoyaona kwako tu kwa kuamini yamesababishwa na hiyo punyeto (this is not scientific hypothesis)

Sababu uliyotoa ya kuwa siku hiz mgumu kuelewa na msahaulifu sana tofauti na ulivyokuwa primary bado ni dhaifu sana ambayo haiwezi kuleta mantic kwa GT

Umesema huyo mke wako ndio mwanamke wako wa kwanza kufanya nae mapenzi baada ya kuacha nyeto sasa wewe umejuaje kama umeshuka kiwango ikiwa kabla ya hapo ujawai kufanya ngono coz technically kiasilia watu wengine goli moja tu ndio uwezo wao

Unazidi kunipa mashaka pale unaposema hauchezi gemu vizuri mpaka unye viroba hapa sioni uhusiano na punyeto sababu pombe (alcohol) siku zote inahamsha nyege pamoja na kuufanya mwili kufanya kazi kuliko kawaida yake kwenye 6×6 walevi watanisaidia hapa

Mie napinga sana upigaji punyeto kwa sasa ingawa nilikuwa mwanachama miaka hiyo ya uteenager na hapa nimekupinga sababu zako coz hazijakaa kisayansi hata kidogo..

TUPIGE VITA PUNYETO COZ SIO TENDO LA ASILI

Dah nway Mkuu umezungumza kwa kuhisi tu na kusoma vitabu lakini hujazungumza uhalisia wa Jambo. Ni kwa sababu hujapitia effects anazopitia mtoa mada.

Kati ya mada realistic hapa jf basi hii ni mojawapo. Kuna rafiki zangu wawili mikoa tofauti na nyakati tofauti walishanihadithia the like. Na pia ukifatilia sana Habari za mahusiano story za hivi ni nyingi sana. Na scientifically proven. Ntarudi kuelezea..
 
tatizo nililolipata katika punyeto huwa nachelewa sana kupiga bao inachukua dakika 50 mpka 60 kufika kileleni.
sasa hivi kabla sijakutana na wife lazima niende bafuni kwanza nitoe kitu niingie ktk 6*6
 
Dah nway Mkuu umezungumza kwa kuhisi tu na kusoma vitabu lakini hujazungumza uhalisia wa Jambo. Ni kwa sababu hujapitia effects anazopitia mtoa mada.

Kati ya mada realistic hapa jf basi hii ni mojawapo. Kuna rafiki zangu wawili mikoa tofauti na nyakati tofauti walishanihadithia the like. Na pia ukifatilia sana Habari za mahusiano story za hivi ni nyingi sana. Na scientifically proven. Ntarudi kuelezea..

Mkuu mie nimejaribu kuelezea kwa mtazamo wangu lakini kwa kuangalia fact za kisayansi zaidi bila kutia ndani maelezo ya mtu mmoja tu...na research haiwezi kuwa kamili mpaka itakapo pitia hatua zote za kisayansi as proved

Hii tatizo la ndugu yetu sijapinga kwamba halipo bali nimejaribu kuelezea na kumuomba anipe scientific reason ambazo anadai zimemsababishi hili tatizo as long wapo watu wenye tatizo kama lake ambao hawajawai kupiga punyeto n still they have the same problem.

Kisayansi hii aliyoileta ni case study tu wala sio tafiti kamili, it is part of research design so technically haiwezi kuwa published

Kuhusu suala la hao rafiki zako siwezi kuliongelea coz bado haujaamua kuliainisha hapa pia aiwezi kutoa justification kwamba punyeto ndio imesababisha

Jaribu kusoma hii theory inaitwa Humorism coz Kwa miaka mingi tokea dunia ianze people are sick....watu kila siku wanaumwa no matter what.
 
Habari wadau,

Naomba msaada nifanyeje ili niache tabia hii.

Kwa ufupi tangu mwaka 2000 nikiwa std 7 nilianza tabia hii na nilipokua o level 2001-2004 nikiwa bweni tabia hii ilizidi huku nikifanya bila mtu yeyote kujua .pamoja na kwamba nikiwa secondary nilipata g.friend nikidhani nitaacha tabia hii lakini sikufanikiwa. Kwa wastani nilikua nafanya Mara 1 kwa wiki au Mara 4 kwa mwezi.

Hali hii nimeendelea nayo hata nilipoingia form v hadi namaliza f.6 bado sikufanikiwa. Yaani ninapoamua kuacha huwa nakaa muda tu baadae hali hii hurudi na kujikuta nafanya.

Mwaka 2010 nikaoa nikajua kuanzia hapo basi nitaacha lakini sijaweza hadi sasa ni baba wa mtoto mmoja na kabla ya mwaka huu kuisha Mungu akipenda nitapata mtoto wa pili.

Kiukweli ninapotafakari tabia hii huwa inaniumiza sana ukizingatia tangy utoto hadi nimepita mashuleni nimekua ni kijana anaempenda sana Mungu kiasi kwamba nimeshika nyadhifa mbalimbali za kiroho kama mtunza hazina ,mwenyekiti wa vijana a level , mwenyekiti vijana kanisani na sasa Katibu wa wababa kanisani .

Katika sala zangu ninaomba sana na nikiwa ktk maombi huwa najutia na kutubu kuacha tabia hii lakini baada ya siku kadhaa hurudi pale pale .

Kuna wakati huwa nawaza nimwambie mchungaji labda anishauri lakini kiukweli nakwepa aibu hivyo nikaamua heri nishauriwe na watu nisiofahamiana nao.

Mazingira yafutayo yanachangia;
1. Kuangalia porn video kwa simu
2. Nikiwa peke Yangu hususani nyumbani Mara nyingi nikiwa chumbani
3.Nisipofanya mapenzi hususani siku ambazo wife hayuko fit health.

Hali hii inaniumiza sana kiukweli maana nikijiangalia hadhi na heshima ninapokea ktk jamii , ofisini , kanisani kwakweli nakata tamaa kwakua ni siri ninayotembea nayo kwa takribani mwaka wa 15 sasa.

Najitahidi kujipambanua ili kuongeza maeneo ya kushauriwa . kama haitoshi kwa hivi sasa naweza Fanya hivyo Mara moja kwa mwezi na kila nikifanya huwa najiapiza kwamba Leo ndio mwisho.

Lakini baada ya muda najikuta narudi na kujipa moyo kwamba hamna tatizo ila madhara ya hii tabia nimeanza kuona kubwa ni kutojituma kitandani hali ambayo hata mke wangu ameshawahi kuniambia kwamba sina bidii kuna tatizo gani .

Naomba msaada wa mawazo na ushauri namna ya kuondokana na haya mateso .Ningefarijika iwapo kuna mtu aliyewahi Fanya na akafanyikiwa kiukweli nawaza mengi na kujiuliza mengi kwamba ni historia gani ninayojitengenezea inawezekanaje nijimalize mwenyewe kwa kitu ambacho najua madhara yake.

Angalizo:
Kama hauna jambo la kuchangia basi we soma pita kimyakimya waachie nafasi wenye uwezo wa kusaidia.dharau ,vijembe matusi sipendi maana kila mtu ana matatizo kwa namna moja au nyingine sema tu wengi tumekumbatia matatizo mimi siko tayari kufa na tai shingoni ndio maana nimechoka kuumia peke yangu wakati najua penye wengi haliharibiki neno.

Natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom