Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Naona Wapiga puli wawe na uzi wao maalum alafu sasa tumlete mtaaalam wa saikolojia.

Pili tuanzishe chama cha wapigaapuli na tuombe msaada serikalini ili kupewa dawa kama mateja wanavyopewa kule mwananyamala.

Tatu,chama kitangazwe na mkutano ufanyike kupata Mwenyekiti ambaye sifa zake ni Awe Kapiga Puli si Chini ya Miaka 20,miaka 10,mweka hazina Miaka 5 .
Kuna watu watajitokeza huwezi amini kama huwa nao ni wanachama.
 
NI MUHIMU KUTOLICHUKULIA SO DIFFICULT. YOU KNOW HATA DHAMBI IMEKUWA NGUMU KUACHA MAANA IMEAMBIWA NI NGUMU. I TRY TO EMARGINE WALE LOST TRIBE MBONA WANAKAA UCHI NA WANAWEZA? NAWAZA HIVI UKITAKA KUACHA HEBU USILICHUKULIE KUWA NI PROGRAM ILA KUWW NI JAMBO LA KAWAIDA TU NA UKIACHA WAKATI HUO HAKUNA MADHAR UNAWEZA KUPATA.
Nikweli ulicho sema.
 
Kunatakiwa kua na Soba ya punyeto.. Maana nikiona matangazo ya magazeti, kina Dr mwaka wanaongezeka, ili ni Tatizo sana kwa jamii
 
Pia wanaume nawashauri mkiona sisi wadada tumekaa vizuri na mapaja yapo nje msiangalie maana nayo inawapunguzia hamu ya ku-duu
Unasema!!!!! Labda tupofuke macho coz midada wengine wanavyojiachia inakuaga ngumu kugeuza uso, ni lazima tu anavyomwaga radhi.
 
Asubui hii kama upo mwenyewe umeamka usishike shike nyeti zako,alafu libane dushe vizuri lilale ili usahau puli
 
punyeto haina madhara,uoga wenu na story za vijiweni ndio unasababisha mshindwe kushiriki tendo la ndoa.
Binafsi nimeanza punyeto tangu darasa la 7 mpka namaliza chuo pale MUHAS bado napiga punyeto,nimeacha punyeto baada ya kuoa.
1-sijawahi kupata madhara ya punyeto napiga mpka bao 4.
2-uume haujasinyaa sio mdogo kama mnavyo-danganyana.
3-sina matatizo ya kusahau,sikupata uchovu wa mwili na kiakili.
NB:life style zenu ndio zinawafanya msiwe na nguvu za kimwili ata za kiume,unakula chips yai+soda,mnajishindilia vyakula vya mafuta mnategemea hizo nguvu mtazipata wapi???
mazoezi hamfanyi mnategemea nguvu mnatazipata wapi???
Wewe unazali tu! Lakini hizo athali zipo tu kwa wapiga punyeto.
 
Back
Top Bottom