Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Mwathirika wa Punyeto anao uwezo wa kuproduce mbegu na mimba ikatungwa??
 
Habari wanajamvi wenzangu,

Watu wengi humu wamekuwa wakichangia na kuonyesha kuwa punyeto ni mbaya na hakuna faida ya kupiga punyeto. Binafsi baada ya kautafiti kangu nimegundua kuwa punyeto ina faida zifuatazo;

1. Kukukinga na STD'S (Sexual Transmited Disease) / magonjwa ya zinaa. Sote tunafahamu kuwa ngozi ya sehemu zetu za siri ni laini sana. Mtu anapofanya punyeto msuguano huwa kati ya ngozi ngumu na ngozi laini. Kwahiyo zinapokutana papuchi kwa anayepiga punyeto siyo rahisi kuchubuka na kupata maambukizi.
2. Haina gharama, sote tunafahamu kummliki mwanaume ni gharama kubwa ila punyeto haihitaji gharama yoyote.

3. Inaondoa stress hasa kwa wale ambao wanaugomvi kwenye mahusiano.

4. Unaweza kuongezea faida nyingine kama zipo.....

ANGALIZO: Usizidishe maana ni hatari kwa afya yako
 
Leo napenda kutoa ushauri kwa wadogo zangu na hata pia watu wazima wenzangu ambao mnatabia ya ajabu ya kujichua.

Kwa wewe ambao unaendeleza huu ujinga nakusihi acha mara moja usije ukawaacha ndugu zako wakiwa wapweke kwa kifo cha kujitakia.

Utafiti unaonesha kuwa upigaji wa punyeto husababisha mwili kukosa nguvu mwisho wa siku mpigaji atakuwa mchovu mchovu na mtu anayependa kulala muda wote. Na kama inavyojulikana kulala lala hovyo husababisha ugonjwa wa kiharusi utakao pelekea kifo.

Pia upigaji wa punyeto husababisha kansa ya ubongo ambayo nayo pia itapelekea kifo. Vile vile upigaji wa puli husababisha magonjwa ya moyo.

Alafu kama tunavyojua Y chromosome ina low life expectancy kuliko X chromosome alafu bado mnaendeleza ujinga ujinga.

Pia napenda kukosoa baadhi ya watu wazima humu kwa tabia yao ya kuwapotosha wadogo zetu na kuwaambia eti puli haina effect yoyote na kuipa sifa kedekede.

NB: Huu ni ushauri tu ukiweza uchukue kama hauna maana yoyote kwako pia nayo iko poa maana imeandikwa Asiye sikia la mkuu huvunjika guu.
 
Leo napenda kutoa ushauri kwa wadogo zangu na hata pia watu wazima wenzangu ambao mnatabia ya ajabu ya kujichua.

Kwa wewe ambao unaendeleza huu ujinga nakusihi acha mara moja usije ukawaacha ndugu zako wakiwa wapweke kwa kifo cha kujitakia.

Utafiti unaonesha kuwa upigaji wa punyeto husababisha mwili kukosa nguvu mwisho wa siku mpigaji atakuwa mchovu mchovu na mtu anayependa kulala muda wote. Na kama inavyojulikana kulala lala hovyo husababisha ugonjwa wa kiharusi utakao pelekea kifo.

Pia upigaji wa punyeto husababisha kansa ya ubongo ambayo nayo pia itapelekea kifo. Vile vile upigaji wa puli husababisha magonjwa ya moyo.

Alafu kama tunavyojua Y chromosome ina low life expectancy kuliko X chromosome alafu bado mnaendeleza ujinga ujinga.

Pia napenda kukosoa baadhi ya watu wazima humu kwa tabia yao ya kuwapotosha wadogo zetu na kuwaambia eti puli haina effect yoyote na kuipa sifa kedekede.

NB: Huu ni ushauri tu ukiweza uchukue kama hauna maana yoyote kwako pia nayo iko poa maana imeandikwa Asiye sikia la mkuu huvunjika guu.

yaani leo umeandika pumba kabisa kuliko siku yoyote,halafu huku ni jukwaa la doctors acha kuandika bila fact. elezea kiundani point zako sio unaungaunga tu dots kama jukwaa la historia
 
Sawa mimi nimeandika kile kidogo nilichokuwa nacho,alafu kingine hii mada sikuileta jukwaa hili bali niliiweka jukwaa la habari na hoja mchanganyiko
 
Mnhhh..kufa mapema.!???em leta idadi ya watu walikufa mapema kwa 7bu ya nyeto..ambao wamechelewa kufa kwa sababu hawakuwahi kupiga punyeto
 
yaani leo umeandika pumba kabisa kuliko siku yoyote,halafu huku ni jukwaa la doctors acha kuandika bila fact. elezea kiundani point zako sio unaungaunga tu dots kama jukwaa la historia
Kumbuka haujaitwa humu ,alafu rejea mwisho wa uzi nimesema nini

Uzi unajieleza wazi kama unaona hauna maana yoyote basi sawa
 
Leo napenda kutoa ushauri kwa wadogo zangu na hata pia watu wazima wenzangu ambao mnatabia ya ajabu ya kujichua.

Kwa wewe ambao unaendeleza huu ujinga nakusihi acha mara moja usije ukawaacha ndugu zako wakiwa wapweke kwa kifo cha kujitakia.

Utafiti unaonesha kuwa upigaji wa punyeto husababisha mwili kukosa nguvu mwisho wa siku mpigaji atakuwa mchovu mchovu na mtu anayependa kulala muda wote. Na kama inavyojulikana kulala lala hovyo husababisha ugonjwa wa kiharusi utakao pelekea kifo.

Pia upigaji wa punyeto husababisha kansa ya ubongo ambayo nayo pia itapelekea kifo. Vile vile upigaji wa puli husababisha magonjwa ya moyo.

Alafu kama tunavyojua Y chromosome ina low life expectancy kuliko X chromosome alafu bado mnaendeleza ujinga ujinga.

Pia napenda kukosoa baadhi ya watu wazima humu kwa tabia yao ya kuwapotosha wadogo zetu na kuwaambia eti puli haina effect yoyote na kuipa sifa kedekede.

NB: Huu ni ushauri tu ukiweza uchukue kama hauna maana yoyote kwako pia nayo iko poa maana imeandikwa Asiye sikia la mkuu huvunjika guu.

Acha Uongo na Upotoshaji!! Mbona Bro Wangu Hajafa Gerezani Na Anagonga Puli Segerea Kama Kawa??
 
Back
Top Bottom