SHAMAC
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 1,343
- 3,561
Nawashangaa sana kijana anaposimama kifua mbele kuitetea punyeto , akihamasisha kwa namna moja ama nyingine walioathirika kuendelea huku wakijifariji haina madhara, lakini pia kuhamasisha vijana wadogo wasiofanya mchezo huu mchafu kuanza kujichua,, Punyeto ina madhara makubwa kuliko mnavyofikiria.
Madhara yake ni kama yafuatayo.
i) Punyeto inakufanya uwe mbinafsi na mchoyo,,
From scientific point of view ni kwamba kitu chochote ama tabia yeyote ikiwa repetitive ina be adopted in subconsious mind na kuwa sugu, sio tu sugu lkn pia inashawishi tabia zako zingine kufuata mkumbo wa hiyo tabia yako ambayo imeshakuganda na kua addictive behaviour ( kwa kifupi "an addictive bahaviour addicts and influence other behaviors in someone's daily actions.)
sasa unapopiga punyeto always unataka kua peke yako peke yako ili kutimiza haja zako.) that addictive bahaviour must influence other behaviours in its course of action.
ii) Punyeto inafuta kumbukumbu na kukufanya uwe na uwezo mdogo, sio tu kukumbuka hata kufikiri mambo katika mapana yake.
Mpiga punyeto daima hana kumbukumbu,, wengi watajiuliza "mbona namjua fulani anapiga punyeto lakini ana faulu masomo" jibu ni hili ( IQ na MEMORY ni vitu viwili tofauti vinachukua sehem tofauti katika ubongo wa mwanadamu.) Nami nikuulize? hujawahi ona mtu anauwezo mkubwa sana wa kukumbuka mambo lakini in accadermics ni wa kawaida sana..!!! Au hujaahi ona Genius msahaulifu? kimsingi wapo...
Serikali ya magufuli isijiulize mbona vijana wake wanamlilia kila siku "ajira, ajira, ajira" na walioko Kazini wengi wao hawana ubunifu wa aina yeyote ile,, kiufupi hawana effect yeyote wanafanya kaz kimazoea?
Au asijiulize kwa nini vijana wake wanasoma had kua Professors lakini badala ya kuleta changes kutokana na elimu walionayo wanageuka na kua Wezi, na mafisadi wakubwa,,,..................
Madhara ya punyeto hayo yote.... ACHAAAAA....
iii)Punyeto ina uhusiano mkubwa sana na body growth,,,
Kama mlivosoma huko nyuma, mwili unahitaji protein yakutosha ili ukue, na kimsingi protein inayohitajika kutengeneza manii za mwanaume ni protein ya hali ya juu sana ili kwenda kurutubisha yai la mwanamke na kutengeneza mtoto,,
Mpiga punyeto anatoa manii ndan ya mwili wake mara 2 had 3 kwa siku, kwa wiki atatoa mara 14 had 21, kwa mwezi atatoa mara 60 had 90 kwa mwaka atatoa mara 720 had 1080
Ivi unajua ni kiasi gani cha protein uloitoa kwa mara zote izo? Na Je ulipotoa mara zote izo ulikula vizuri ukaingiza protein kiwango kile kile ulichotoa?
Na kama tunavojua ktk maisha itafika muda mwili utaanza kutumia nutrients zilizoko mwilini kwa kias kikubwa kujiendesha kuliko kutumia nutrients mpya zinazoingia( namaanisha uzee) Ss ww mpiga punyeto utatoa wapi icho kiwango ulichopoteza ili ufidie??? ndo hawa miaka 40 mtu kashika mkongojo...... unafupisha maisha yako mpiga punyeto... AMKA....
ACHA PUNYETO......................
iv)Kuzaa watoto punguani, wasio na afya bora, na wenye uwezo mdogo sana wa IQ..
Rejea maelezo yangu hpo juu,, protein inahitajika kwa kiwango kikubwa sana kumjenga mtoto ambaye bado hajatungwa.. Ss ukiwa unapiga punyeto unaweza usifanikiwe kutungisha mimba ama ukafanikiwa lkn manii zako zikiwa na kiwango kidogo sana cha protein.... Ebu nambie wew mpiga puchu, mwili wa mtoto, brain ya mtoto na kila kitu kinachotakiwa kimjenge atakitoa wapi huyu kiumbe?
Usijisifu unatungisha mimba huku mpiga puchu mzuri, au una watoto 10 lkn unapiga puchu, UNAZAA PUNGUANI RAFIKI,,,,, NA WEW NDIE UNAEHARIBU KIZAZI KIJACHO KUKIFANYA KIWE CHA VILAZA,, PUNGUANI,, VICHAA.....
PUNYETO SI RAFIKI KABISA KUJENGA NEXT GENERATION....
v) Punyeto ni dawa za kulevya znazokufanya uwe Teja taratibu....
Kama tunavojua madawa ya kulevya ni addiction drugs ambayo ukiyaendekeza yanaanza kuuongoza mwili yanavyotaka yenyewe,,, yakisema BWIA UNAMBWIA........Punyeto pia ni addictive act ambayo ukiendelea nayo inaanza kuuongoza mwili jinsi inavyotaka,,, Sasa usidhani madhara ya Addiction yeyote ile yanatofautiana..its the matter of time... ""Mpiga nyeto lazima uje kufkia stage umwage udenda"" Amini usiamini.... yan ikikukaa,, af ukiwa unafanya yako kama ilivyoada steem zinakupanda Unatoa udenda kama teja mwingine yeyote wa madawa....!!!! skilazimishi uniamini lakini ukweli lazma tuseme...
WAPIGA PUNYETO WOTE WAENDE SOBBA KUPEWA MSAADA.....!!!!
vi) Punyeto pia inavunja uhusiano na Mungu wako.....!!!
Dhamiri ni Mungu ndani yetu, ingawa wengi hatujui ilo,, unapopiga punyeto unauwa dhamiri yako.... Dhamiri daima inakuongoza kutenda mema, saut unayoiskia ikikukataza kufanya uovu iyo ndio dhamiri ambayo ni sauti ya Mungu mwenyewe,,,,
Wapiga punyeto hii sauti inawakumbusha naamini kila siku unaposhika Dushe lako kabla ya kuanza kulifikicha..na unajifariji ""Napiga leo tu mwisho,, kesho yako maneno hayo hayo had utazeeka,,""
Ss kadiri Dhamiri inavokua disobeyed ndivo inavyokufa na kupotea kabisa ndani yako,,, jaribu kufatilia wapiga nyeto wote hawana Sense ya kutaka kutenda mema ht sku moja,,, ht kwenye jamii si raia wema ht sku moja ...!!! Ingawa wamejificha hatuwaoni,, na ndo mana vitendo vya ajab haviishi,, ushoga, ulawiti, usaliti, ufisadi na mengineyo hayatakaa yaishe......!!!
TUMEUWA DHAMIRI ZETU............!!!
Madhara mengine wengi wanayasema sana ata humu JF sitapenda kurudia......
Nani anakataa kua punyeto si dawa za kulevya???
RC Makonda !!!! Sanua list ya Chaputa.......!!!!!
JAMANI ILI TAIFA LINATUTEGEMEA TULIJENGE, TULIVUSHE HATUA KADHAA,, ILI WANAOKUJA ANGALAU WATAMBUE NA SISI TULIPITA DUNIANI,,,,,,, PUNYETO NI ADUI WA MAENDELEO, HAKI, UTU, na AMANI...........TUMPINGE KADIRI TUWEZAVYO.....
Naomba kuwasilisha.......!!!!
Madhara yake ni kama yafuatayo.
i) Punyeto inakufanya uwe mbinafsi na mchoyo,,
From scientific point of view ni kwamba kitu chochote ama tabia yeyote ikiwa repetitive ina be adopted in subconsious mind na kuwa sugu, sio tu sugu lkn pia inashawishi tabia zako zingine kufuata mkumbo wa hiyo tabia yako ambayo imeshakuganda na kua addictive behaviour ( kwa kifupi "an addictive bahaviour addicts and influence other behaviors in someone's daily actions.)
sasa unapopiga punyeto always unataka kua peke yako peke yako ili kutimiza haja zako.) that addictive bahaviour must influence other behaviours in its course of action.
ii) Punyeto inafuta kumbukumbu na kukufanya uwe na uwezo mdogo, sio tu kukumbuka hata kufikiri mambo katika mapana yake.
Mpiga punyeto daima hana kumbukumbu,, wengi watajiuliza "mbona namjua fulani anapiga punyeto lakini ana faulu masomo" jibu ni hili ( IQ na MEMORY ni vitu viwili tofauti vinachukua sehem tofauti katika ubongo wa mwanadamu.) Nami nikuulize? hujawahi ona mtu anauwezo mkubwa sana wa kukumbuka mambo lakini in accadermics ni wa kawaida sana..!!! Au hujaahi ona Genius msahaulifu? kimsingi wapo...
Serikali ya magufuli isijiulize mbona vijana wake wanamlilia kila siku "ajira, ajira, ajira" na walioko Kazini wengi wao hawana ubunifu wa aina yeyote ile,, kiufupi hawana effect yeyote wanafanya kaz kimazoea?
Au asijiulize kwa nini vijana wake wanasoma had kua Professors lakini badala ya kuleta changes kutokana na elimu walionayo wanageuka na kua Wezi, na mafisadi wakubwa,,,..................
Madhara ya punyeto hayo yote.... ACHAAAAA....
iii)Punyeto ina uhusiano mkubwa sana na body growth,,,
Kama mlivosoma huko nyuma, mwili unahitaji protein yakutosha ili ukue, na kimsingi protein inayohitajika kutengeneza manii za mwanaume ni protein ya hali ya juu sana ili kwenda kurutubisha yai la mwanamke na kutengeneza mtoto,,
Mpiga punyeto anatoa manii ndan ya mwili wake mara 2 had 3 kwa siku, kwa wiki atatoa mara 14 had 21, kwa mwezi atatoa mara 60 had 90 kwa mwaka atatoa mara 720 had 1080
Ivi unajua ni kiasi gani cha protein uloitoa kwa mara zote izo? Na Je ulipotoa mara zote izo ulikula vizuri ukaingiza protein kiwango kile kile ulichotoa?
Na kama tunavojua ktk maisha itafika muda mwili utaanza kutumia nutrients zilizoko mwilini kwa kias kikubwa kujiendesha kuliko kutumia nutrients mpya zinazoingia( namaanisha uzee) Ss ww mpiga punyeto utatoa wapi icho kiwango ulichopoteza ili ufidie??? ndo hawa miaka 40 mtu kashika mkongojo...... unafupisha maisha yako mpiga punyeto... AMKA....
ACHA PUNYETO......................
iv)Kuzaa watoto punguani, wasio na afya bora, na wenye uwezo mdogo sana wa IQ..
Rejea maelezo yangu hpo juu,, protein inahitajika kwa kiwango kikubwa sana kumjenga mtoto ambaye bado hajatungwa.. Ss ukiwa unapiga punyeto unaweza usifanikiwe kutungisha mimba ama ukafanikiwa lkn manii zako zikiwa na kiwango kidogo sana cha protein.... Ebu nambie wew mpiga puchu, mwili wa mtoto, brain ya mtoto na kila kitu kinachotakiwa kimjenge atakitoa wapi huyu kiumbe?
Usijisifu unatungisha mimba huku mpiga puchu mzuri, au una watoto 10 lkn unapiga puchu, UNAZAA PUNGUANI RAFIKI,,,,, NA WEW NDIE UNAEHARIBU KIZAZI KIJACHO KUKIFANYA KIWE CHA VILAZA,, PUNGUANI,, VICHAA.....
PUNYETO SI RAFIKI KABISA KUJENGA NEXT GENERATION....
v) Punyeto ni dawa za kulevya znazokufanya uwe Teja taratibu....
Kama tunavojua madawa ya kulevya ni addiction drugs ambayo ukiyaendekeza yanaanza kuuongoza mwili yanavyotaka yenyewe,,, yakisema BWIA UNAMBWIA........Punyeto pia ni addictive act ambayo ukiendelea nayo inaanza kuuongoza mwili jinsi inavyotaka,,, Sasa usidhani madhara ya Addiction yeyote ile yanatofautiana..its the matter of time... ""Mpiga nyeto lazima uje kufkia stage umwage udenda"" Amini usiamini.... yan ikikukaa,, af ukiwa unafanya yako kama ilivyoada steem zinakupanda Unatoa udenda kama teja mwingine yeyote wa madawa....!!!! skilazimishi uniamini lakini ukweli lazma tuseme...
WAPIGA PUNYETO WOTE WAENDE SOBBA KUPEWA MSAADA.....!!!!
vi) Punyeto pia inavunja uhusiano na Mungu wako.....!!!
Dhamiri ni Mungu ndani yetu, ingawa wengi hatujui ilo,, unapopiga punyeto unauwa dhamiri yako.... Dhamiri daima inakuongoza kutenda mema, saut unayoiskia ikikukataza kufanya uovu iyo ndio dhamiri ambayo ni sauti ya Mungu mwenyewe,,,,
Wapiga punyeto hii sauti inawakumbusha naamini kila siku unaposhika Dushe lako kabla ya kuanza kulifikicha..na unajifariji ""Napiga leo tu mwisho,, kesho yako maneno hayo hayo had utazeeka,,""
Ss kadiri Dhamiri inavokua disobeyed ndivo inavyokufa na kupotea kabisa ndani yako,,, jaribu kufatilia wapiga nyeto wote hawana Sense ya kutaka kutenda mema ht sku moja,,, ht kwenye jamii si raia wema ht sku moja ...!!! Ingawa wamejificha hatuwaoni,, na ndo mana vitendo vya ajab haviishi,, ushoga, ulawiti, usaliti, ufisadi na mengineyo hayatakaa yaishe......!!!
TUMEUWA DHAMIRI ZETU............!!!
Madhara mengine wengi wanayasema sana ata humu JF sitapenda kurudia......
Nani anakataa kua punyeto si dawa za kulevya???
RC Makonda !!!! Sanua list ya Chaputa.......!!!!!
JAMANI ILI TAIFA LINATUTEGEMEA TULIJENGE, TULIVUSHE HATUA KADHAA,, ILI WANAOKUJA ANGALAU WATAMBUE NA SISI TULIPITA DUNIANI,,,,,,, PUNYETO NI ADUI WA MAENDELEO, HAKI, UTU, na AMANI...........TUMPINGE KADIRI TUWEZAVYO.....
Naomba kuwasilisha.......!!!!