Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Duh, umenikumbusha mbali sana kwa hili jina la mshika pembe.

Nimekuita uone jinsi nilivyomu-inspire rubii kuacha michezo yake hii, hapo ndo uelewe kwamba kweli ameshikika, soon atakuja na uzi unaokemea kusagana wakati wanaume tupo, then atakuja na uzi wa kunisifu kwa kubadili maisha yake.

Ha ha ha, basi tunakupanikisha kama Omy Dimpozi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mh kumbe na wanawake wapo TEAM SELFIE?
Ulikuwa hujui?!Mr akiwa job ukibanwa unajipoza na kidole tu
Wengine hatuwezi kuchepuka jamani
Km Mr kasafiri kuliko uchepuke ni bora ugonge tu ila iwe ya kidole tu afu sio kila siku
Siku moja moja tu
 
Kwa wanaume wanaiita Punyeto na kina mama wameibatiza ya kwao wanaiita Selfie....So ukisikia demu anawaambia wenzake leo nimejipiga selfie za kutosha...Dont conclude, ask ipi hiyo?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
R

Rubii umeyajulia wapi haya, inawezekana kabisa wanawake wengi siku hizi wamekuwa na tabia hiyo inawafanya kukosa hamu ya tendo la ndoa, mimi yamenitokea umeenda na msichana faragha unajitahidi kumuweka vizuri lakini yeye yupo yupo tu ka zigo vile wala hana hamu na hata uke wake upo upo tu ka gunzi la mahindi duuuuu! niliondoka nikamwacha upo uchi kabisaaaaa kitandani.
Huyo nae yani alishindwa kujifanyisha!! [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom