Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Hayo majimaji kama gundi sio yako, hayo yanatoka kwa demu wako (mkono) ndo kafika kileleni nae.
 
Yawezekana kuwa chanzo, kwani punyeto hukamua pengu kwa wingi hivyo unahitaji kujipumzisha bila kupunyeka kwa muda wa week 3, utakuwa sawa,

Kama unahisi maumivu sehemu za viongo vyako vya uzazi nenda hospital kwani pengine umepata maambukizi ya ugonjwa,

Pia jaribu kupunguza upigaji wa nyeto kwani hakika siku ukipata demu hutamkuna vizuri kutokana na kiungo chako kuwa legevu kutokana na punyeto ya kila mara misuli huwa laini,
 
Habari za saa hii wana JF,

Mimi ni mmoja wa member wa CHAPUTA kwa muda wa takribani miaka miwili sasa.
Sasa leo asubuhi nilipokuwa nikipiga punyeto nikashangaa kuona badala ya shahawa kutoka yakatoka maji maji hivi kama gundi.

Sasa wadau hapa naweza kuwa na tatizo lipi na mpaka umri huu sijawahi kukutana kimwili na mwanamke yoyote.
Mkuu kabla ya kukuseidia labda uniambie kwanza kwasku unaweza kupiga punyeto mara ngapi ??
 
yani wewe kupiga nyeto miaka miwili tu unaanza kujishtukia wakati wenzio ni active member wa chaputa since 1992 na bado tko vizuri nikingia bafuni nachagua tu kama ni beyonce, j lo au rihana wale wote mademu zangu hata nikicheki video zao wanaonaga aibu wanaangalia chini!
 
yani wewe kupiga nyeto miaka miwili tu unaanza kujishtukia wakati wenzio ni active member wa chaputa since 1992 na bado tko vizuri nikingia bafuni nachagua tu kama ni beyonce, j lo au rihana wale wote mademu zangu hata nikicheki video zao wanaonaga aibu wanaangalia chini!
Duh!umetisha sana
 
Back
Top Bottom