Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Seriously huna mapenzi na mke wako kwasababu ukipata hamu si umtombe yeye kuliko kupiga punyeto?? cha kukushauri, kwasababu huna mapenzi na mamaa tafuta nyumba ndogo ili ukisikia hamu uende ukatombane huko na utafanikiwa kuacha punyeto.

habari za leo dada mzuri nimekumiss kweli
 
Kuna ugumu kidogo kuacha vitu ambavyo vina 'addiction', ni sawa na mlevi kuacha pombe, mvutaji kuacha sigara/bangi, teja kuacha unga etc.. Ni kitu amabcho kinawezekana lakini kinahitaji committment. Mara nyingi kuacha si kazi sana, bali kujizuia kurudia ndio huwa tatizo kubwa sana.

Katika case yako hii nachelea kuamini kuwa unapiga sababu upo mbali na mkeo, kwani ni tabia umekuwa nayo kwa miaka 14 hata wakati mkeo alikuwepo..kwa hiyo uwepo wa mwanamke (awe mkeo au nyumba ndogo) hautakuzuia kupiga punyeto.

Usahuri wangu ni kuwa..utakapojiskia ashki na kutaka kupiga puchu basi fanya kitu/kazi nyingine yeyote mbadala. Mazoezi ni njia nzuri zaidi, waweza kwenda jogging, au kutembea tu umbali mrefu, kubeba vyuma, au kazi yeyote ya nguvu mpaka uchoshe mwili. Kama una tabia ya kuangalia sinema/porn au kusoma majarida ya ngono inabidi uache...kama una DVDs/VCDs/CDs/Majarida ya aina hizo ziharibu kabisaaa.

Epuka vipindi vya television au movies zenye mahadhi ya ngono, na mazingira mengine ambayo huwa yanakushtua upige punyeto. Kama kuwa peke yako nyumbani pia kunakupulekea hali basi jaribu kuepuka mazingira hayo na kujaribu kuwa na watu/marafiki/ndugu pindi unapoona unaelekea kuvutiwa kupiga punyeto.

NB: Punyeto ina madhara kwa kiwango/uwezo wako wa kumridhisha mkeo/mwanamke ikiwa utakuwa unafanya sana (kama unavyofanya wewe), hivyo epuka mapema. Raha ya maisha kwa mwanaume ni kuwa rijali..hata uwe tajiri vipi. Tunza urijali wako!
 
kama miaka yote hiyo haujadhurika endelea tu kupuchuka ila kama hayo maumivu ni makubwa upunguze kidogo. Wanasayansi wanasema almost 99% ya wanaume wote wameshawahi kupiga puchu ila wengi wanaacha wanapo-oa au kupata wenzi sasa wewe naona umezidisha ila puchu kila mtu ameshawahi piga
 
hilo kuliacha ni ngumu inaonekana umeanza kulipiga tangu boarding o'level.
 
Punyeto ina raha yake jamani! Mi pia nashindwa kuacha. K haioni ndan
 
Kuna ugumu kidogo kuacha vitu ambavyo vina 'addiction', ni sawa na mlevi kuacha pombe, mvutaji kuacha sigara/bangi, teja kuacha unga etc.. Ni kitu amabcho kinawezekana lakini kinahitaji committment. Mara nyingi kuacha si kazi sana, bali kujizuia kurudia ndio huwa tatizo kubwa sana.

Katika case yako hii nachelea kuamini kuwa unapiga sababu upo mbali na mkeo, kwani ni tabia umekuwa nayo kwa miaka 14 hata wakati mkeo alikuwepo..kwa hiyo uwepo wa mwanamke (awe mkeo au nyumba ndogo) hautakuzuia kupiga punyeto.

Usahuri wangu ni kuwa..utakapojiskia ashki na kutaka kupiga puchu basi fanya kitu/kazi nyingine yeyote mbadala. Mazoezi ni njia nzuri zaidi, waweza kwenda jogging, au kutembea tu umbali mrefu, kubeba vyuma, au kazi yeyote ya nguvu mpaka uchoshe mwili. Kama una tabia ya kuangalia sinema/porn au kusoma majarida ya ngono inabidi uache...kama una DVDs/VCDs/CDs/Majarida ya aina hizo ziharibu kabisaaa.

Epuka vipindi vya television au movies zenye mahadhi ya ngono, na mazingira mengine ambayo huwa yanakushtua upige punyeto. Kama kuwa peke yako nyumbani pia kunakupulekea hali basi jaribu kuepuka mazingira hayo na kujaribu kuwa na watu/marafiki/ndugu pindi unapoona unaelekea kuvutiwa kupiga punyeto.

NB: Punyeto ina madhara kwa kiwango/uwezo wako wa kumridhisha mkeo/mwanamke ikiwa utakuwa unafanya sana (kama unavyofanya wewe), hivyo epuka mapema. Raha ya maisha kwa mwanaume ni kuwa rijali..hata uwe tajiri vipi. Tunza urijali wako!

Mkuu unahitaji tiba ya kisaikolojia zaidi, kama kweli una mke na bado unapiga nyeto... hii balaa!!!


Punyeto ina raha yake jamani! Mi pia nashindwa kuacha. K haioni ndan

Duuu kumbe ni janga la kitaifa!!!
 
Kwakuwa athari kubwa zinajitokeza kwa vijana wanao fanya masturbration, wengi kwa kutokujua hamuoni sasa wakati umefika vijana waelimishwe kupitia media,na iwekwe katika mitaala na vijana wafundishwe mashuleni kinyume na hapo tutaendelea kupoteza nguvu kazi,watoto,na migogoro mingi katika ndoa maana hupoteza nguvu za kiume na kushidwa kumudu katika tendo, wakati huohuo taifa bado linahitaji watu kwa maendeleo zaidi million 40 bado wachache.Eti wengine wanasema ni njia ya kujikinga na ukimwi basi ifundishwe jinsi ya kuitumia yaani iwe masturbration salama isiyo na athari zozote kinyume na hapo ipingwe na vijana wahamasishwe kuachana nayo.Mwisho napenda kusema kwamba kwa kuhakikisha hili wapeleleze vijana na wanafunzi wa boding na wanandoa baadhi.
 
Masturbration ni kitendo cha kujichua kwa kutumia mikono ukiwa peke yako hadi kuzitoa mbegu za kiume nje.
 
Kwa ufupi,
Punyeto ni kujichezea mwenyewe hadi manii yatoke au kumchezea mpenzi wako mpaka atoe manii. Masturbation - Wikipedia, the free encyclopedia
hiyo hapo juu ni link kama unataka kujua zaidi,
sasa lililopo hapa ni kutaka kujua hasara au negative impacts za punyeto, wale mlio wahi kufanya sana huu mchezo na sasa mko kwenye ndoa kama ni mwanamke au mwanaume ndio utueleze hapa matokeo yake...
nawasilisha
 
Punyeto ni janga la kitaifa but kwa kautafiti kangu nimegundua wa2 kibao walifanya au wamesha fanya au bado wanafanya..
 
Aisee wee Adam waTZ mbona umeikomalia hii mada ya masturbration (nadhani unamaanisha masturbation), na tena kwenye International Forum. Leo umeamkia wapi? Hainiingii kichwani kuchanganya punyeto na maswala ya kimataifa!
 
Back
Top Bottom