machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Muone daktar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Aisee [emoji855][emoji855][emoji855] watu wanaongeza uume wewe unataka kuongeza mabumbu? Tatizo nini mkuu!?!! Noma sana,au unataka busha.?
Umewazaje aiseee hahahahha
[emoji3][emoji3]sijui ndo mwisho wa dunia maana naona mambo yamekuja kuwa Vice versa. Kijana mwenzetu anataka kuongeza mapupu ilihali kwa wengine ni mizigo! we hushangai mkuu?
Labda wakati wa kuggdn anataka shemeji awe anazimeza vzr zisioneshe utofauti
Anaisingizia nyeto huyuPunyeto haina athari kimwili isipokuwa kisaikolojia, una tatizo lingine ambalo limesababisha hizo korodani kuwa hivyo lakini sio punyeto.
ukistaajabu ya mussa----?Dah! Aisee [emoji855][emoji855][emoji855] watu wanaongeza uume wewe unataka kuongeza mabumbu? Tatizo nini mkuu!?!! Noma sana,au unataka busha.?
Kwa hapo mkuu tafuta watu wa pwani utaweza pata majibu na kama unataka ziwe kubwa nadhani utakuja kutuletea tena uzi hapa ukitaka kujua ni wapi wanapunguza ukubwa wa korodaniWanabodi husika na kichwa apo juu mimi nikjana naelekea 25 yrs,niende kwenye tatizo langu ni kwamba katika balehe yangu 14 yrs niliingia rasmi kwenye hii ishu ya nyeto nilidumu nayo mda mrefu naweza sema niliacha nikiwa na kam 19 yrs.
Hasa naona kabisa haijaniacha salama kimaumbile ya korodani ni kwamba zimekuwa ndogo mpaka naogopa yani moja yaupande wakushoto nikiishika kama vile gololi za watoto vile, dah inaniogopesha endapo ntaingia kwenye ndoa manake nikisex malamoja kwa wiki zinapungua hasa naogopa mfano nimeoa afu wiki nzima nikipiga shoo dah naogopa kweli naonakama zitapotea.
Kwenye ishu yakusimamisha sina tatizo kabisa yani ni rijali ipo strong tatizo ni korodani kuwa ndogo sana
Naombeni msaada wenu nitumie njia gani au vyakula gani kuongeza korodani.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah! Aisee [emoji855][emoji855][emoji855] watu wanaongeza uume wewe unataka kuongeza mabumbu? Tatizo nini mkuu!?!! Noma sana,au unataka busha.?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa hapo mkuu tafuta watu wa pwani utaweza pata majibu na kama unataka ziwe kubwa nadhani utakuja kutuletea tena uzi hapa ukitaka kujua ni wapi wanapunguza ukubwa wa korodani