Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Nitaendeleaje na punyeto wakati hiyo ndo imesababisha yote
Kumbe jibu unalijua! Acha hiyo kitu kisha tafuta swmu ambae utamuona wa kawaida aio babu kubwa kwako kapige mashine mara mbili au zaidi kisha rudi kwa demu wako mkali utakuwa vizuri tu. Kama vipi huyo demu wako wa leo mchukulie wa kawaida tu kama housegirl wenu uliemtafuna.
 
Pole sana...

Tatizo ni uume wako ushazoea ugumu wa mikono (Nyeto)...

Ulaini wa ukee (maku) hauuwezi ndiyo maana...

Punyeto imekuathiri....


Cc: mahondaw
 
Uzinzi ni dhambi..Acha dhambi jehanamu ipo na ni dhahiri..haya maisha tunayoishi ni ya muda...Acha dhambi ndugu njoo kwa Yesu
 
Jibu ni moja tu hapo acha nyeto na kuanzia leo usiangalie porno tena na ikiwezekana install porn blocker kwenue simu yako... we kuwa bize sana usikubali kibaki idle na muda wako wa ziada piga zoez sio lazma gym hata kuzunguka uwanja wa mpira au kimbia roadin chosha huo mwili mpka uhakikishe unaunguza hyo excess energy inayokufanya uwaze nyeto hakikisha kila siku unalala hoi baada ya muda utasahau kuhusu nyeto then anza kuwapanga sasa we tongoza kila alelie halali yako huku ukiendelea na mazoezi siku chache kabla ya mechi anza dozi ya karanga mbichi na maziwa fresh au Nazi au/tende kama utapata huku unapiga squat za kufa mtu hii huzui ndoto nyevu...
Then jilie zako papuchi utainjoi saaana mkuu mpka wataomba pooo
 
Mtu akiangalia Avatar yako anaweza kubeza mada yako.

Pole sana mkuu, hiyo nyeto ufanyayo ndilo tatizo la kwanza kwako. Jaribu kuanza mazoea ya kuiacha mara moja.
La sivyo utazidi kuaibika zaidi na zaidi mbele wa warembo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu...

Wakuu kuna jambo limenitatiza leo...Tangia nizaliwe nimewahi kula papuchi za wadada wawili wa kwanza alikuwa housgel wetu hapa mambo yalienda sawa kwa kuwa ndo alikuwa wa kwanza...

Huyu wa pili mimi hata sikuelewa nimefanya nini maana sikuingiza ndani ila wazungu walitoka hapohapo.....

Sasa jambo linalonitatiza leo nimemchukua mtoto mrembo kufika muda wa kufanya yetu mhogo hausimami kabisa nimejaribu mara kadhaa ila nimeambulia patupu...nilichoamua kumwambia aondoke kwanza siko vizuri..

Wakuu hapa nilipo nimebaki najiuliza tatizo nini mbona nikipiga punyeto inasimama vizuri...nimebaki kuchanganyikiwa hapa wakuu...
Acha nyeto kijana!
 
Habari wakuu...

Wakuu kuna jambo limenitatiza leo...Tangia nizaliwe nimewahi kula papuchi za wadada wawili wa kwanza alikuwa housgel wetu hapa mambo yalienda sawa kwa kuwa ndo alikuwa wa kwanza...

Huyu wa pili mimi hata sikuelewa nimefanya nini maana sikuingiza ndani ila wazungu walitoka hapohapo.....

Sasa jambo linalonitatiza leo nimemchukua mtoto mrembo kufika muda wa kufanya yetu mhogo hausimami kabisa nimejaribu mara kadhaa ila nimeambulia patupu...nilichoamua kumwambia aondoke kwanza siko vizuri..

Wakuu hapa nilipo nimebaki najiuliza tatizo nini mbona nikipiga punyeto inasimama vizuri...nimebaki kuchanganyikiwa hapa wakuu...
Basi kichwa cha habari ni cha uongo...!
Maana unasema umefanya naye kumbe wala hukuingiza kabisa! Sasa ulifanya nae nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni hari inayojitokeza kwa mwanaume hasa pale unapokuwa na wacwac au woga! Ukihingiwa na hofu hata kwa dawa huwez kucmamisha! Na historia inajionesha kuwa bado ni mgeni katika mmb hayo hivyo bado unaogopa.ushauri,jiamini chukua muda kabla ya tendo lenyewe ili upate muda wa kumzoea mwenzio. Na jipe maandalizi binafsi lakini pia muandae mwenzio au muandaane ili kuleta hisia karibu na kufanya tendo huku akili zenu zikiwa katika hiyo hari ya kujamiiana. Fanya hayo, utapata matokeo mazuri. Wengi tumetokea huku.

Sent using Jamii Forums mobile app
........hiyo HARI...UKIHINGIWA NA HOFU....
hivi hiyo ni lugha gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom