Punyeto ni nini na nini madhara yake?
[emoji30][emoji30][emoji30] Kwann chaputa wanapungua hivi,mwenyekiti tafadhali chukua hatua za haraka.

Akili za usiku
 
Tafadhali usiwaongelee wanachama wangu, na kadi yako ya uanachama haitaeksipaya mpaka 2034
 
Kama una test mitambo hutafanikiwa,ila kama umedhamiria utaacha.Ila kiwango chako kiko juu mara 3 kwa siku🙁🙁🙁🙁🙁
 
mkuu ata uje useme kila mara unaacha unaacha kama ujaamuwa mwenyewe kutoka moyoni ni ndoto

ila wee komaa tu na nyeto au unataka uwanze kupigwa mizinga roho mtakatifu alikuwa anakuepusha na mizinga shauri lako
 
Back
Top Bottom