Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Punyeto za nini nyie, mbona tumejaa kibao. wanaume wa siku hizi madomo zege!!

we we we. acha hizo! mtoto amegundua njia nzuri ya kukwepa ukimwi, wewe unataka kumrudisha kulekule tena? he...we ukoje?
 
u are wrong my dia. misuli klegea ni physical damage hiyo. unapozoea kupiga punyeto misuli ya uume hulegea hivyo kufanya uume kushindwa kusimama vizuri kwa nyakati za mbeleni. the real problem is the technology used in masturbation does not mimic the natural environment of vagina, so guys If m2 angekuwa anatumia kifaa ambacho kinafanana na vagina yenyewe interms of temperature, pressure, lubrication then no any physical damage/effect can occur BUT still thr are some psychological effect.




Nina hakika mshauri nasaha wa kidini anayetaka mume awe na mke mmoja atakupinga kabisa. Wanasema ni afadhali damage ndogo ya kujichua kuliko kutafuta vigina tofauti na ya mke wako. Hamna kutwanga ingine ukiwa safari. Unafanyaje sasa kichaa kikipanda baada ya kula vizuri dinner, na upo Hong Kong hapo katika safari ya kibiashara. Unatafuta hoocker? au unashusha vitu chooni? Sema...
 
Boy dies after masturbating 42 times

​
A 16-year-old boy died after masturbating 42 times without stopping in Rubiato town, in Goiás region, Brazil.
His mother told a local newspaper that she already knew about his son’s addiction and that she planned to see the doctor, but the decision came too late.
The young man began to masturbate at midnight and spent the whole night to compulsively touch himself.
At school, his classmates commented on the boy’s problem and some said he asked them to connect to the webcam for being observed.
They further said that his attraction to women was extreme; he was attracted to all kind of women, regardless of texture physics, color and age.
In his room a great amount of pornography was found, including photographs and videos of nude women that were saved on his PC. Source
 
Punyeto mara tatu kwa siku ndo mbaya Ila Ile ya once per week iko mzuka Ila inaumiza kichwa hiyo, Jaman Kwan madem mbona hizi Ukienda fesbuk huchelewi kukapata tena Masaa tu. tuache uoga wa kutongoza Punyeto haifai, hata kwa mungu ni Dhambi.

punyeto na zinaa bora nn
 
Pun-yeto means demu wangu kimexico hcho
 
oyeee! kuanzia nianze balehe nalikung'uta daily, mpaka nilipofika secondary magamba boys, hadi tosamaganga boys mpaka UCLAS-boys(sasa ardhi university, enzi hizo mademu wakuhesabu) sijapungukiwa na nguvu za kiume wala kukosa ufundi kwa wale ninaokutana nao, nimeacha puli mara tu nilivyooa, sasa mke ana mimba ya miezi 8, nimeurudia puli hadi atakapojifungua na kuwa fit tena, inanisaidia sitongozi vimalaya, na nikitongoza kakiringa ringa sibembelezi

kweli mwana ata mimi ni doz yangu toka nina myaka 20 mpaka sasa nina miaka 30 sina madhara yoyote nikiwa na my love wangu nachapa kisawa sawa.
 
Mkuu mzizimkavu kuna suala la kusuguliwa kwa wanawake kutumia mkono. Au kujichua kutumia mikono hili limekaaje? Kuna madhara?
 
Mkuu mzizimkavu kuna suala la kusuguliwa kwa wanawake kutumia mkono. Au kujichua kutumia mikono hili limekaaje? Kuna madhara?
@Remmy ingawa bado sijakuelewa vizuri swali lako ,lakini ikiwa wewe ni dume naanaye kuchezea ndizi yako ni mwanamke hakuna madhara. Siyo mambo ya Usagaji lesbian hayo yana madhara yake hata katika mambo ya dini yamekatazwa.
 
Je kwa mwanamke anaependa kujichua mwenyewe kwa mikono kuna madhara gani..?
 
Punyeto ni kitu ambacho huja kawaida kwa wavulana wakati wa kufikia umri fulani.Hauhitaji mafundisho yoyote.Na katika baadhi ya kesi, inaweza kuendelea hadi kuwamtu mzima, na inaweza kudumu katika maisha yote. Ni maarufu miongoni mwawavulana kwa sababu inatoa au kupunguza matatizo yao ya kuchanganyikiwaktuokakana na kutojamiiana, na haina hathari yoyote katika kijamii, ila inaweza hatarisha kutotamanimpenzi wako. Aidha, ni shughuli ya siri, hakuna haja mtu kujua ninikinachoendelea huko bafuni au jinsi ya kuifanya.
Wazaziwamekuwa wakiwakanya watoto wao kutofanya hivyo. Wazazi huogopa au huwa nawasiwasi zaidi kwa ajiri ya kejeli yakijamii na kwamba huenda punyeto baadaea ikaharibu afya za watoto wao. Lakini sasa, masuala yaafya ya Punyeto
Takwimuzimeonyesha kuwa angalau 87% ya wanawake wote na 95% ya watu wote wamejaribu kupigapunyeto, (kwani kwa mwanamke husgua kisimi ili apate orgasm, hiyo ndo aina yapunyeto kwa mwanamke). Ni jambo la kawaida kwamba watu wanapuuzia afya zao nakupiga punyeto, lakini tatizo hili kwa baadae humuingia mtu kichwani na kuwanalifikiria tu, na hivyo kufanya awe anawaza kufanya mapenzi saa zote, nahumsababisha kupiga punyeto mara kadhaa kwa siku. Kitendo cha kufikirianakufanya kila siku chaweza hatarisha uimara wa uume wako kusimama kwa mdamrefu na pia neva zako kuharibika.
Hebu kwanza tujaribu kuangalia inavyo kuwa. Wakati wa kufanya hivyo, ubongo huamshahamungono. Hii ni hufanyika kwa kuhamasisha mfumo wa neva huitwaoparasympathetic nervous system. mfumo wa parasympathetic kuchochea ujasiri wachombo cha uzazi, ambacho huamka baada ya kusuguliwa kwa mda. Aina hii yamawasiliano kati ya mishipa ya uume hufanywa na kemikali ijulikanayo kamaasetilikolini. Asetilikolini husababisha msisimko na kuchochea neva za pembeni Peripheral nervous system.
Ini pia hujumuishwa. Moja ya kazi ya ini ni kutoa kemikali ili kuruhusuutendaji wa mfumo wa neva. Kemikali hizi hujulikana kama neurotransmitters. inihutoa neurotransmitters kama vile dopamine na serotonin, pamoja na asetilikolini.Sasa, unaweza jua kwamba kama ini litakuwa na kazi ya ziada ya kutoa hizikemikali basi litaanza taratibukushindwa kufanya kazi yake kuu ambayo ni ya kutolewa Enzymes (vimeng'enyo) na misaadakatika majukumu kadhaa ya mwili, ikiwa ni pamoja na uyeyushaji wa wa chakula nahomoni. tezi ubongo na Adrenal pia hutoa homoni nyingi na neurotransmitterswakati wa tendo hili, kama vile norepinephrine epinephrine, na dopamine.

Kama hupiga punyeto mara moja kwa kipindi fulani au baada ya mda mrefu, kemikalihizi hurudi katika hali yake ya kawaida dakika chache baada ya kuridhik (kupataorgasm). Hata hivyo, kupiga punyeto mara kwa mara husababisha uendelaji wakutolewa kwa kemikali hizi hivyo kuharibu mfumo wako wa neva na kukufanya kuwaunawaza hayo mambo

Kwa kawaida, wakati mfumo waparasympathetic neva unaharibika,uwezo wa nguvu zakiume pia hupungua au ahta kuwa *******. Uhanithi ni kawaida sana kwa wazee, na pia yawezatokakana na baadhi ya madawa. Lakini uhanithikwa vijana unawezatokana na upigaji punyeto wa mara kwa mara. Pia punyeto ya mda mrefu hukufanya kumwagamapema wakati wa kujamiana (premature ejaculation) au usiwe na hamu kabisa yampenzi. Kutokana na ukweli kwamba uume wako unasimama mara kwa mara basi hata misuri yake huishiwanguvu. Au kwa watu wengine kutokana na kemikali kuwa zinatoka mara nyingi basihuweza kusimama ghafla na kumletea aibu mbele za watu.


kutokana na kufikiria mambo hayo tu ,unaweza jikuta unaharibikiwa kifikira.


inaweza kuwa vizuri kufanya hivyo lakini isiwe mara kwa mar
 
@Remmy ingawa bado sijakuelewa vizuri swali lako ,lakini ikiwa wewe ni dume naanaye kuchezea ndizi yako ni mwanamke hakuna madhara. Siyo mambo ya Usagaji lesbian hayo yana madhara yake hata katika mambo ya dini yamekatazwa.

Nilikuwa namaanisha ukiwa wewe ni mwanamke Na unajichua kwa kutumia mikono. Yaani kusugua kinembe.
 
ila hii ina sababishwa na wazazi paleameshakuwa dume umeweja uzio kubwa toka mtoto hajazoea kucheza na wenzeka ni kwenye komputer na screen ya tv matoke chanel E afu domo zege
ina mplekea kija kweny self sex
*Wale wa mara tatu kwa cku kupoteza uwezo wake
*kumpeleke kushindwa kupiga saond
*kuwafundisha wenzake
Ivo bas wazazi kaka wakubwa wakaee na vijana wanao pevuka ili kuwaeleza jins anavyo paswa kukaa na kujieshim
 
Punyeto ni kitu ambacho huja kawaida kwa wavulana wakati wa kufikia umri fulani.Hauhitaji mafundisho yoyote.Na katika baadhi ya kesi, inaweza kuendelea hadi kuwamtu mzima, na inaweza kudumu katika maisha yote. Ni maarufu miongoni mwawavulana kwa sababu inatoa au kupunguza matatizo yao ya kuchanganyikiwaktuokakana na kutojamiiana, na haina hathari yoyote katika kijamii, ila inaweza hatarisha kutotamanimpenzi wako. Aidha, ni shughuli ya siri, hakuna haja mtu kujua ninikinachoendelea huko bafuni au jinsi ya kuifanya.
Wazaziwamekuwa wakiwakanya watoto wao kutofanya hivyo. Wazazi huogopa au huwa nawasiwasi zaidi kwa ajiri ya kejeli yakijamii na kwamba huenda punyeto baadaea ikaharibu afya za watoto wao. Lakini sasa, masuala yaafya ya Punyeto
Takwimuzimeonyesha kuwa angalau 87% ya wanawake wote na 95% ya watu wote wamejaribu kupigapunyeto, (kwani kwa mwanamke husgua kisimi ili apate orgasm, hiyo ndo aina yapunyeto kwa mwanamke). Ni jambo la kawaida kwamba watu wanapuuzia afya zao nakupiga punyeto, lakini tatizo hili kwa baadae humuingia mtu kichwani na kuwanalifikiria tu, na hivyo kufanya awe anawaza kufanya mapenzi saa zote, nahumsababisha kupiga punyeto mara kadhaa kwa siku. Kitendo cha kufikirianakufanya kila siku chaweza hatarisha uimara wa uume wako kusimama kwa mdamrefu na pia neva zako kuharibika.
Hebu kwanza tujaribu kuangalia inavyo kuwa. Wakati wa kufanya hivyo, ubongo huamshahamungono. Hii ni hufanyika kwa kuhamasisha mfumo wa neva huitwaoparasympathetic nervous system. mfumo wa parasympathetic kuchochea ujasiri wachombo cha uzazi, ambacho huamka baada ya kusuguliwa kwa mda. Aina hii yamawasiliano kati ya mishipa ya uume hufanywa na kemikali ijulikanayo kamaasetilikolini. Asetilikolini husababisha msisimko na kuchochea neva za pembeni Peripheral nervous system.
Ini pia hujumuishwa. Moja ya kazi ya ini ni kutoa kemikali ili kuruhusuutendaji wa mfumo wa neva. Kemikali hizi hujulikana kama neurotransmitters. inihutoa neurotransmitters kama vile dopamine na serotonin, pamoja na asetilikolini.Sasa, unaweza jua kwamba kama ini litakuwa na kazi ya ziada ya kutoa hizikemikali basi litaanza taratibukushindwa kufanya kazi yake kuu ambayo ni ya kutolewa Enzymes (vimeng'enyo) na misaadakatika majukumu kadhaa ya mwili, ikiwa ni pamoja na uyeyushaji wa wa chakula nahomoni. tezi ubongo na Adrenal pia hutoa homoni nyingi na neurotransmitterswakati wa tendo hili, kama vile norepinephrine epinephrine, na dopamine.

Kama hupiga punyeto mara moja kwa kipindi fulani au baada ya mda mrefu, kemikalihizi hurudi katika hali yake ya kawaida dakika chache baada ya kuridhik (kupataorgasm). Hata hivyo, kupiga punyeto mara kwa mara husababisha uendelaji wakutolewa kwa kemikali hizi hivyo kuharibu mfumo wako wa neva na kukufanya kuwaunawaza hayo mambo

Kwa kawaida, wakati mfumo waparasympathetic neva unaharibika,uwezo wa nguvu zakiume pia hupungua au ahta kuwa *******. Uhanithi ni kawaida sana kwa wazee, na pia yawezatokakana na baadhi ya madawa. Lakini uhanithikwa vijana unawezatokana na upigaji punyeto wa mara kwa mara. Pia punyeto ya mda mrefu hukufanya kumwagamapema wakati wa kujamiana (premature ejaculation) au usiwe na hamu kabisa yampenzi. Kutokana na ukweli kwamba uume wako unasimama mara kwa mara basi hata misuri yake huishiwanguvu. Au kwa watu wengine kutokana na kemikali kuwa zinatoka mara nyingi basihuweza kusimama ghafla na kumletea aibu mbele za watu.


kutokana na kufikiria mambo hayo tu ,unaweza jikuta unaharibikiwa kifikira.


inaweza kuwa vizuri kufanya hivyo lakini isiwe mara kwa mar
Mkuu@vicent tibaijuka Unaruhusu Watu wapige Punyeto? Nakuona upo Negative na post zangu asante sana.
 
Nilikuwa namaanisha ukiwa wewe ni mwanamke Na unajichua kwa kutumia mikono. Yaani kusugua kinembe.
Mkuu@Remmy kuna Faida gani ya mwanamke kujichuwa mwenyewe wakati wanaume wapo tele duniani? Na je kuna Faida gani ya Mwanamme kupiga Punyeto wakati wapo Wanawake tele duniani? Anayepiga Punyeto mimi humuona ana matatizo ya akili kwa kizungu tunaita (Mental illness) Ugonjwa wa Akili Mpigaji wa Punyeto anafaa kwenda hospitali kutibiwa maradhi ya akili ikiwa ni mwanamke au ni mwanamme.
 
Mkuu@vicent tibaijuka Unaruhusu Watu wapige Punyeto? Nakuona upo Negative na post zangu asante sana.
no muu, siko negative. naongezea kidogo. ni nzuri nizisomapo. ila matibabu ndo huwa yananifurahisha sometimes huwa naishia kupata glass ya mvinyo baada ya kuzisoma. Punyeto hata ktk biblia limekatazwa, lakini ktk janga hili la ukimwi ni bora tu wafanye.
 
Punyeto mara tatu kwa siku ndo mbaya Ila Ile ya once per week iko mzuka Ila inaumiza kichwa hiyo, Jaman Kwan madem mbona hizi Ukienda fesbuk huchelewi kukapata tena Masaa tu. tuache uoga wa kutongoza Punyeto haifai, hata kwa mungu ni Dhambi.

kwa hiyo ukizini siyo dhambi?
 
Nadhani hapa JF tuna tatizo ambalo huwa naliona mara kwa mara, kuna issues zinazoletwa hapa ambazo kwa kweli ni so technical na kwa msingi huo huwa tunatarajia wenye ueledi na fani hizo ( kwa mfano hii ya punyeto) ni madaktari au watu wa saikolojia ndio wangetujuza kwa kutupa findings/takwimu ambazo wanazijua kutokana na wao kufanya tafiti au surveys mbalimbali katika mazingira halisi ili kuweka mambo sawa. Sasa pale ambapo sisi wengine tusio na hizo facts ila tuna hisia au hear say kwa kweli haipendezi na italifanya hili jukwaa lisiwe la kuelimisha. Hivi kuna tatizo gani mtu kusoma post na kuiacha kama huna clue yoyote juu ya jambo hilo? Hivi hatujui kwamba kuna faida kubwa tu kwa kusoma mtiririko wa hoja unavyokwenda kwa wengine wanaochangia? You learn alot!! Changia pale unapoona mchango na ufahamu wako utamsaidia mwingine!

You are a Layer kuna madharaa tena makuwa sana
 
Jamani mimi kwa kutokujua nilijikuta nimeingia kwenye mkumbo wa kupiga punyeto toka form one na nikashidwa kuacha hadi sasa hivi
naombeni msaada katika haya
1.nifanyeje ili kuacha?
2.kama nimepata upungufu wa nguvu za kiume kwa ajili ya kupiga hii punyeto mfano kuwahi kufika kileleni je nikiacha nguvu zitarudi?
3.kama hazitarudi mnanishauri nichukue hatua gani?? Madokta wanaweza nisaidia??
Kumbuka sikupenda kuingia kwenye hii kitu ila nilijikuta ninakifanya bila kujua mdhara yake na kwa siku naweza kupiga hata mara 2 au 3.
Kwa sasa hivi effort yangu kubwa nimeielekeza kwenye kuacha na kumuomba Mungu anisaidie kuacha.
Nahitaji ushauri wa kitaalam zaidi.
 
Back
Top Bottom