Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Na kaz unayo.Za mbayuwayu changanya na zako.Humu soma,comment then rudi kwenye maisha uliyoyazoea
Hata hivyo siji-stress kujilazimisha kuacha kwa sababu pia ni jambo ambalo lina faida kiafya, kama itatokea kuacha basi niache automatically na sio kwa kujilazimisha, kwa nini nijitese😀😀
 
Hata hivyo siji-stress kujilazimisha kuacha kwa sababu pia ni jambo ambalo lina faida kiafya, kama itatokea kuacha basi niache automatically na sio kwa kujilazimisha, kwa nini nijitese😀😀
Ha ha haa,kumbe umeridhika
 
Nakumbuka 2003 nimetoka zangu maskani nikaenda kununua floppy disk stationery, nikaenda kkoo kuna internet cafe ilikuwa kituo cha mafuta karibu na njia ya kwenda kkoo sokoni, pale nikasetiwa lisaa limoja nikadownload web page za mapicha mapicha ya kikubwa( enzi izo hakuna flash wala smart phone kwa hiyo kupata video inshu, labda uende kwa wataalam wakuchomee cd). Nikarud na mapicha yangu maskani nikaingiza diskette yangu kwenye desktop yangu nikaanza kuyacheki yale mapicha picha kwenye website page nilizosave kwenye diskette, mzuka unavopanda unasogeza mafuta na tissue karibu unapiga cha fasta then akili inakaa sawa maisha yanaendelea.
 
Nakumbuka 2003 nimetoka zangu maskani nikaenda kununua floppy disk stationery, nikaenda kkoo kuna internet cafe ilikuwa kituo cha mafuta karibu na njia ya kwenda kkoo sokoni, pale nikasetiwa lisaa limoja nikadownload web page za mapicha mapicha ya kikubwa( enzi izo hakuna flash wala smart phone kwa hiyo kupata video inshu, labda uende kwa wataalam wakuchomee cd). Nikarud na mapicha yangu maskani nikaingiza diskette yangu kwenye desktop yangu nikaanza kuyacheki yale mapicha picha kwenye website page nilizosave kwenye diskette, mzuka unavopanda unasogeza mafuta na tissue karibu unapiga cha fasta then akili inakaa sawa maisha yanaendelea.
Omba isikukae sana mwilini mademu utaanza kuwaona kama vyura
 
Sijui ilikuwaje,nahisi nilianza tu.Ila nakumbuka ni baada ya kutendwa na baba wa mtoto nilikaa sana bila mpenz kwa miaka kadhaa.Nadhani ule upweke ndo chanzo
Nenda kaediti kule juu uzi uwe na mvuto
 
Sijui ilikuwaje,nahisi nilianza tu.Ila nakumbuka ni baada ya kutendwa na baba wa mtoto nilikaa sana bila mpenz kwa miaka kadhaa.Nadhani ule upweke ndo chanzo
Njoo Pm
 
Mkuu binafsi nyeto nilifundishwa tena shuleni na nilimlaani sana yule jamaa.

Kipindi Kuna wale jamaa wanakuja mashuleni kufundisha elimu rika sasa wakawa wanatukaza kujihusisha na ngono so wakawa wanatuelekeza jinsi ya kupiga punyeto.

Kabla ya kupiga punyeto nilikuwa sijawahi kuonja mbususu . Hivyo nilivyopiga punyeto kwa mara ya kwanza nilihisi raha sana lakini ikanipa maswali kama punyeto ndio hvi je hiyo mwanamke itakuwaje! Hivyo nilijitengenezea mtazamo kuwa mwanamke atakuwa zaidi ya punyeto.

Nilipokuja kujaribu kwa mwanamke sikuona utamu kama wa punyeto niliishi kwa kupiga punyeto for almost 26 years hadi nilipoingia Kwenye ndoa bado nilipiga punyeto ingawa ilikuwa inaweza kutokea kwa mwaka mara Moja.

Ila sasa hivi nina karibia mwaka wa tatu sijapiga punyeto nahisi nimeacha. Isitoshe nakuwa busy sana na kazi zangu nikipata muda wa kupumzika sipati hata muda wa kuwaza mbususu. Wife akiwa karibu nahudumia ndoa nikimaliza napiga usingizi tu maana kwa sasa hivi nikipiga punyeto basi nitakuwa legend [emoji28][emoji28] nina two wives sijui huo muda nitapata wapi.
Miaka 26 aisee
 
Back
Top Bottom