Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Hii kitu noma sana nmepiga tangu 2004 hadi 2018 nilipoamua kuacha rasmi, kwa faida ya wengi niliamua tu kuichukia na kusema kuanzia saivi sipigi na ikawa hivyo sijawahi rudia hii kitu hadi leo naichukia sana
 
Nyeto ilinifanya nikapata sperm hyperviscosity....... Yani nilikuwa najikuta nikipiga nyeto natoa shahawa kama kamasi zito au mafuta ya mgando, linachirizika kama mrenda!!!! Likidondoka. Unaweza kuliokota kama unaokota mdudu
 
Acheni wenge na kutishana eti oooh punyeto inamaliza nguvu za kiume mara sijui nini kisaikolojia huu ni mwaka wa 21 narushia tako mkononi hakuna tatizo lolote lile na ninikutana na demu mwendo ni uleule kwenye bampsi napita na speed mia
 
Nimehamia mkoa wa Kaskazini kutokana na harakati za maisha.

Nilipofika nilionyeshwa jamaa na kupewa stor kwamba jamaa anatembea kapinda sababu ya punyeto nilipinga. Jamaa wakanipa na mastori mengine kibao tu.

Nilichoambiwa na kushuhudia jamaa saiv anapiga nyeto hadi kwenye gari akisimama kwenye foleni anafungua zipu anajichua wakati anasubir foleni itembee.

Hali imekua mbaya sana, jamaa anapiga punyeto kwenye foleni akishafikia mshindo anapitiwa na usingizi mzito sana barabarani wanampigia mahoni.

Tunamsaidiaje jamaa huyu yupo namfahamu na anaishi jirani kabisa na nilipo.
 
Nimehamia mkoa wa Kaskazini kutokana na harakati za maisha.

Nilipofika nilionyeshwa jamaa na kupewa stor kwamba jamaa anatembea kapinda sababu ya punyeto nilipinga. Jamaa wakanipa na mastori mengine kibao tu.

Nilichoambiwa na kushuhudia jamaa saiv anapiga nyeto hadi kwenye gari akisimama kwenye foleni anafungua zipu anajichua wakati anasubir foleni itembee.

Hali imekua mbaya sana, jamaa anapiga punyeto kwenye foleni akishafikia mshindo anapitiwa na usingizi mzito sana barabarani wanampigia mahoni.

Tunamsaidiaje jamaa huyu yupo namfahamu na anaishi jirani kabisa na nilipo.
Uraibu ndo nini au unamaanisha urahibu?
 
Nimehamia mkoa wa Kaskazini kutokana na harakati za maisha.

Nilipofika nilionyeshwa jamaa na kupewa stor kwamba jamaa anatembea kapinda sababu ya punyeto nilipinga. Jamaa wakanipa na mastori mengine kibao tu.

Nilichoambiwa na kushuhudia jamaa saiv anapiga nyeto hadi kwenye gari akisimama kwenye foleni anafungua zipu anajichua wakati anasubir foleni itembee.

Hali imekua mbaya sana, jamaa anapiga punyeto kwenye foleni akishafikia mshindo anapitiwa na usingizi mzito sana barabarani wanampigia mahoni.

Tunamsaidiaje jamaa huyu yupo namfahamu na anaishi jirani kabisa na nilipo.
Kwani kawaambia anataka msaada..?

Jamaa ameshaona maisha ndo haya acha ajichukulie hatua mkononi..
Mkuu mtu anaeweza kuacha urahibu ni yule anaesema mwenyewe kuwa anataka kuacha hiyo ndo first step!,so ukipata nafasi muulize kuwa anataka kuacha Kama jibu ni ndio ndo uendelee na hatua nyengine.
 
Nimehamia mkoa wa Kaskazini kutokana na harakati za maisha.

Nilipofika nilionyeshwa jamaa na kupewa stor kwamba jamaa anatembea kapinda sababu ya punyeto nilipinga. Jamaa wakanipa na mastori mengine kibao tu.

Nilichoambiwa na kushuhudia jamaa saiv anapiga nyeto hadi kwenye gari akisimama kwenye foleni anafungua zipu anajichua wakati anasubir foleni itembee.

Hali imekua mbaya sana, jamaa anapiga punyeto kwenye foleni akishafikia mshindo anapitiwa na usingizi mzito sana barabarani wanampigia mahoni.

Tunamsaidiaje jamaa huyu yupo namfahamu na anaishi jirani kabisa na nilipo.
😂😂😂 Pole mkuu
 
Back
Top Bottom