Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kua mkweli bana kumbuka hili ni jukwaa la jf doctorNi kupunguza hamu za kibaiolojia tu. hakuna kingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kua mkweli bana kumbuka hili ni jukwaa la jf doctorNi kupunguza hamu za kibaiolojia tu. hakuna kingine
Sahihi kabisa.Kupiga punyeto kwa kuangalia porn kuna madhara zaidi. Hii ni kwa sababu za kisaikolojia zaidi kama ifuatavyo:
1. Kwenye porno si uhalisia ni fantasy. Wale wanawake wa kwenye porno wapo trained kufanya ngono kwa mtindo ambao kwa maisha halisi ngono haifanyiki. Mfano kuna category mbali mbali. Kuna hii inaitwa incest imeshik hatamu sana, kunacategory ya Anal sex, kuna threesome, kuna teen, milf,
kwann nikudanganye ndugu yangu...PUNYETO inatuliza hamu za papo kwa papo hakuna kingine. Na hii sio njia sahihi ya kutuliza hizo hamuKua mkweli bana kumbuka hili ni jukwaa la jf doctor
😂😂Anayejua madhala ya punyeto ni mpigaji mwenyewe. Hata washuke maraika kama mpigaji hajakutana na madhala yake kuacha ni ngumu. Wapo wanaosema wanaacha kumbe wanajipumzisha kwa muda tu haha.
Upatikanaji wa hilo tunda halisi duniani umekuwa mgumu kwa vikwazo vikuu viwili.Punyeto ni uraibu kama uraibu mwengine tu na wengi hutamani kuacha ila hawajaamua!!.
Ipo hivi nilichogundua wengi wanaofanya huu mchezo Kuna walioona madhara na ambao hawajaona,walioona madhara baadhi wamejitoa na wengine bado wanahangaika na hili jinamizi punyeto!
Una tofauti fani na huyu alieandika hii captionNi miez mitatu sasa tangu niache punyeto najivunia sana Ila Leo itabidi nipige hata bado tatu za kujipongeza sio shughuli ndogo wakuu
hakuna faida kiafya?kwann nikudanganye ndugu yangu...PUNYETO inatuliza hamu za papo kwa papo hakuna kingine. Na hii sio njia sahihi ya kutuliza hizo hamu
HAKUNA. !!hakuna faida kiafya?
Imembidi amjibu mfukunyuz kwanza😃 Mkuu sio Mimi nilieliza mi nimemsaidia tu ilitakiwa huyo ndo uumjibu hivi na hujareply kwake! Buy anyway sawa.
kula mlo kamili, kunywa maji ya kutosha sana. tumia vitu vyenye vitamins, tumia karanga, nazi,Mbegu za maboga, machungwa na matunda mengine kiujumla. fanya zoezi 3times a week. kuna mengi ya kufanya.Ni vyakula vipi nizingatie ilinitoe manii nyingi
Haroo, sikuelewi elewi ujue?Pia PUNYETO acha,,itazidi kukuleteq utegemezi,,akili yako itajijenga kuamini kuwa raha pekee ya kukojoa ipo kwenye PUNYETO.
sijakuelewa, kubisha nnHebu twende hatua kwa hatua...
Kwahiyo unataka kubisha, au?!
Ni mdudu au akili!?Una tofauti fani na huyu alieandika hii captionView attachment 1992094Hahah ... Yan unajipongeza kwa kufanya kitu ulichokiacha..
Emotionally intelligence...!???Wataalamu waliosomea Sayansi ya Ubongo, NeuroScience, waliusoma ubongo wa mpiga punyeto mmoja wakagundua, inarewire brain. Yaani zile pattern za matendo na tabia zinabadilika kabisa, unakuja kuona tabia mpya uliyonayo ni kawaida kabisa. Mpaka kuja kujua upo addicted,...
Puli inaweza kukuweka mbali na prostate cancer, ulikua unalijua hilo?HAKUNA. !!
Je anaepiga mara moja kwa wik anapata madhara gan?kutoa manii nyingi si tatizo. Ni kwamba zimezalishwa kwa wingi mwilini.
lakini pia usipofanya mapenzi kwa muda mrefu pia unakuwa hujamwaga kwa muda mrefu
kinachokuweka mbali na cancer hiyo ni ejaculation ndugu na unatakiwa uipate kwenye sex...sasa hiyo ya kuipata kwenye NYETO itaambatana na madhara menginePuli inaweza kukuweka mbali na prostate cancer, ulikua unalijua hilo?
kama wewe imeondoka yenyewe kuna wenzio wameshindwa na ndio tunapeana misaadaMnatishana Sana kuhusu punyeto
Hiyo kitu inaondoka yenyewe muda ukifika
Mwaka wa pili huu sijafanya