Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Aisee,
Nmecheka hapa mpaka basi.

Najaribu kuimagine iyo ya nzi mtu anaipigaje sipati majibu[emoji1787][emoji1787]View attachment 1995644
Kuna mtu alishawahi kusema hiyo nyeto ya nzi mkuu hata Mimi nilistaajabu Sana..😂
Anawakamata nzi anawaweka kwenye mfuko anaufunga huo mfuko na dudu so anaanza kupigapiga mfuko ili nzi warukeruke zile purukushani mule nzi wanavyogusa dudu hapo mtu anafika mpk mwisho..😂

Mkuu sijui ni memba gani tu aliisema hi njia watu ni hatari wengine hutumia mende..🤣🤣
 
Unawaeka kwny kifuko cha nailoni nzi wa kutosha afu unafunga kwny dushe vile nzi wanavohangaika kutoka bila mafanikio mzee unapata stimu....
Dah! Aisee hii Dunia ina mambo[emoji848]
tapatalk_1588321166610.jpg
 
Kuna mtu alishawahi kusema hiyo nyeto ya nzi mkuu hata Mimi nilistaajabu Sana..[emoji23]
Anawakamata nzi anawaweka kwenye mfuko anaufunga huo mfuko na dudu so anaanza kupigapiga mfuko ili nzi warukeruke zile purukushani mule nzi wanavyogusa dudu hapo mtu anafika mpk mwisho..[emoji23]

Mkuu sijui ni memba gani tu aliisema hi njia watu ni hatari wengine hutumia mende..[emoji1787][emoji1787]
aisee,
Haya ni maajabu ya dunia[emoji848]
 
Leo asubuhi nimepiga nadhani cha mwisho ...nataka niache Sasa.

Uraibu wangu huwa kwenye porno Yani bila kuangalia porno siwezi jichua

Juzi nimeenda kwa mwanamke sikudindisha kabisa nikasingizia naumwa
[emoji23][emoji23] njoo pm
 
jamani niwaambie kuacha PUNYETO kuna raha sana .Mimi mwenyewe ni mtaalmu wa masuala ya afya lakini hii kitu nilisumbuka nayo. Si kitu rahisi lakini inawezekana ukiweka nia na ukiwa na msimamizi.

ukiacha PUNYETO unakuwa na confidence ya hali ya juu sana. unaweza ukafanya chochote kile. tangu nimeacha PUNYETO naelekea mwaka wa pili sasa. hali ya uume wangu imeimarika sana yaani nahisi kama nimezaliwa upya. kuna nyakati wife huwa ananiomba kabisa mechi aisee [emoji23][emoji23] na analinda kweli yaani, hapa home kuna mdogo wake kaja kutusalimu, basi huwa anatuchunga sana. (lakini mimi sina mpango nae)

moja kati ya vitu nilivyovishuhudia baada ya kuacha PUNYETO na video za ngono ni kuongezeka kwa confidence yangu. zamani nilikuwa sina kabisa mazoea na wanawake. nilikuwa nahisi kama vile wanafahamu nini nilichokuwa nafanya nyuma ya pazia. lakini baada tu ya kuacha na kuanza kutibu uume wangu. Baraka zilifunguka. nikapata mwanamke ambaye sikutegemea kama nitakuja kumpata na sasa hivi ni mke wangu w ndoa.

Sasa hivi nimekuwa mtu wa kujichunga sana na wanawake. maana naona wengi kama wanajileta sana na sitaki kuharibu ndoa yangu ni changa sana ,ndo kwanza mwaka na nusu.

ACHENI PUNYETO NDUGU ZANGU, INAWAWEKA MBALI NA USO WA MUNGU.

...MWENYE SIKIO NA ASIKIE, NIKO TAYARI KUWASAIDIA KWA YEYOTE ATAKAEHITAJI MSAADA WA KARIBU AHSANTENI
Ndio useme procedures zote za kutibu uume ulizopitia hadi kupona
 
Ivi hii kegel exercise unaweza kufanya hata kama hauna tatizo ili tu kukazia au itakuwa na madhara
 
Na kama mtu ana tatizo akiwa anafanya hayo mazoezi anaweza kuendelea kupiga show kama kawaida au unatenga muda maalumu wa mazoezi mpaka uishe bila kupiga show
unaweza kufanya vyote kwa wakati mmoja, hakuna kizuizi
 
Hua namheshimu mtu anayeweza kupiga punyeto zaidi ya bao moja. Binafsi sijawahi kuzidi bao moja.

Hua sipigi puchu kwakua am horny. Hua napiga nikiwa na hasira. *Kama mm tu puli langu proportional na hasira *don't know why??
 
Back
Top Bottom