Anne Maria
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 399
- 98
Pole kwanza: Nikupe hongera kwanza, kiwango cha wewe kutaka kuacha ni ishara nzuri tayari
Kila kitu ni maamuzi, na maamuzi yanaanzia akilini, Naelewa sio kitu rahisi lakini kinawezekana
Kwanza kabisa, Ukiwa na mpenzi wako natumai ni mdada unayempenda na unamtamani ukimwona, hivyo basi chukua muda wakati mnaandana, ku enjoy alivyo kwa kumuangalia na kumtomasa,, weka akili yote kwake,, kwanini nasema hivi, ili akiwa hayupo na una hamu ya kupiga punyeto, vuta hisia zako kwake, mpigie simu au uende ukaonane nae,, itasaidia sana
Kwa ushauri wa kiroho::: Hakuna linaloshindikana kwa Mungu kwasababu wakati mwingine unashindwa kwasababu unapambana na roho za giza hivyo, piga goti usali na kumwomba Mungu ukionesha dhamira ya kuacha mbele za Mungu na utaona mafanikio,,
All the best
Kila kitu ni maamuzi, na maamuzi yanaanzia akilini, Naelewa sio kitu rahisi lakini kinawezekana
Kwanza kabisa, Ukiwa na mpenzi wako natumai ni mdada unayempenda na unamtamani ukimwona, hivyo basi chukua muda wakati mnaandana, ku enjoy alivyo kwa kumuangalia na kumtomasa,, weka akili yote kwake,, kwanini nasema hivi, ili akiwa hayupo na una hamu ya kupiga punyeto, vuta hisia zako kwake, mpigie simu au uende ukaonane nae,, itasaidia sana
Kwa ushauri wa kiroho::: Hakuna linaloshindikana kwa Mungu kwasababu wakati mwingine unashindwa kwasababu unapambana na roho za giza hivyo, piga goti usali na kumwomba Mungu ukionesha dhamira ya kuacha mbele za Mungu na utaona mafanikio,,
All the best