Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Punyeto ni hatari wandugu, mi nimepiga hiyo tangu niko barehe sasa nina 34 nina mke bado sijapata mtoto miaka 2 sasa. Hamu ya tendo sina ingawa najifosi na nikigonga kamoja usiku mpaka kesho asbh. Wkt mwingine "jamaa" simuelew elew, bas ni shida tu.
 
Kunakipindi liacha kwa muda wa siku 7o baada ya kuombewa. Sasa wiki2 zilizopita nilitoka safar kufika nyumban nikaenda kutafuta picha ya x. Ndio natumia kufanyia.nachukizwa lkn najikuta nafanya na muda mfup nimetoka kufanya.niacheje jaman?

Dhamiria toka moyoni kuacha
Chukia kabisa kitendo hicho
Achana na picha au tamthilia au video au movie za ngono
Fanya mazoezi
 
sijawahi kusikia mzee kama babu asprin au dark city anapiga nyeto........we endelea tu ukizeeka utaacha mwenyewe!
 
Punyeto ni hatari wandugu, mi nimepiga hiyo tangu niko barehe sasa nina 34 nina mke bado sijapata mtoto miaka 2 sasa. Hamu ya tendo sina ingawa najifosi na nikigonga kamoja usiku mpaka kesho asbh. Wkt mwingine "jamaa" simuelew elew, bas ni shida tu.

wenzako walikuwa wanapiga kutwa mara 3 na wana watoto 7 na game wanapiga kwa kwenda mbele,kamuone daktari ujue kiini na dawa ya tatizo lako,acha kuoteaotea
 
Kunakipindi liacha kwa muda wa siku 7o baada ya kuombewa. Sasa wiki2 zilizopita nilitoka safar kufika nyumban nikaenda kutafuta picha ya x. Ndio natumia kufanyia.nachukizwa lkn najikuta nafanya na muda mfup nimetoka kufanya.niacheje jaman?
Dawa nzuri ya kuacha Kupiga Punyeto ni pilipili kali/pilipili kichaa. Ujipake mkononi kila unapofika muda wa kutaka kupiga punyeto. Tumia kisha uje unipe Feedback.
 
Je kuna madhara gani ayapatayo mwanamke awe mjamzito au si mjamzito kwa kuwa na tabia ya kujichua (punyeto).
 
Je kuna madhara gani ayapatayo mwanamke awe mjamzito au si mjamzito kwa kuwa na tabia ya kujichua (punyeto).

Madhara yake ni makubwa dadangu, mwanamke akianza kujisaga akianza kujisaga/kujichua anaathirika Kisaikolojia kiasi kwamba akikutana na mwanaume hawezi kutosheka.
 
Hiv na nyie wanawake mnapiga punyetooo???!!!!

Mie nilidhan ni wanaume tu...

Napita tu jamani
 
for starters its good exercise, it helps release stress, helps you sleep, etc.... but basically from what i've read. masturbation can help a woman to know her 'hotspots' coz unlike men, sexual pleasure is unique to every woman, what feel good to one woman might feel uncomfortable to another. your man can only know what you like through hints or directions that you give. so if you woun't end up feeling guilty about it, go for it.
 
for starters its good exercise, it helps release stress, helps you sleep, etc.... but basically from what i've read. masturbation can help a woman to know her 'hotspots' coz unlike men, sexual pleasure is unique to every woman, what feel good to one woman might feel uncomfortable to another. your man can only know what you like through hints or directions that you give. so if you woun't end up feeling guilty about it, go for it.

I understand
 
for starters its good exercise, it helps release stress, helps you sleep, etc.... but basically from what i've read. masturbation can help a woman to know her 'hotspots' coz unlike men, sexual pleasure is unique to every woman, what feel good to one woman might feel uncomfortable to another. your man can only know what you like through hints or directions that you give. so if you woun't end up feeling guilty about it, go for it.

I am understand
 
Back
Top Bottom