Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
"Kila mtu ana mkakati mpaka pale atakapopigwa ngumi ya pua" Mike Tyson , tunajua kwamba mtu muoga ndio hujifanya jasiri lakini subiri siku SATAN2 litue sehemuNa ukiona west wana mpuuza kadiri anavyotoa onyo jua intel yao wana uhakika nayo zaidi[emoji847][emoji847]
[emoji1][emoji1][emoji1]Na ukiona west wana mpuuza kadiri anavyotoa onyo jua intel yao wana uhakika nayo zaidi[emoji847][emoji847]
Marekani alipigana Afghanistan zaidi ya miaka 20
Acha tu itokee mkuu, haiwezekani WW1&2 zote 2 hatujazishuhudia.Irudiwe irudiwe.Putin hapendi vita ila amechokozwa sana ikawa hakuna namna! Na style ya mapigano anayotumia ni ya kihuruma sana maana ni ya vita ya pili ya dunia kilichobadilika ni mavazi ya jeshi tu! Ila ukweli nikwamba the rest wanamuogopa na wanachofanya nikumchokoza waone silaha zake mitindo yake mipya yakupigana na silaha zake!
Muhimu tuombe isitokee vita ya tatu ya dunia!
[emoji1][emoji1] wavaa MAKUBAZI sio wa mchezo mchezo.Alikuwa anapigana ama ana chota coal?[emoji2][emoji2]
Sio kweli., baada ya kumkabili osama bin laden hawakuwa tena na issue ya kufanya zaidi ya kuikalia ile nchi kijeshi lakini lengo lake likiwa limetimia kitamboo ndio mana biden kaona bora warudishe majeshi yao Afghan wajitawale wenyewe kwenye nchi yao tofauti na malengo ya russia UkraineMarekani alipigana Afghanistan zaidi ya miaka 20
Wengine hawana?Watu wanaona Kama masihara hivi lakini Kuna silaha ukiachana na nuclear Russia anazo
Licha ya kutishiwa kutoa hiyo misaada ila bado US anatoa. Tena wametenga bajeti ya miaka 5 ya vita hii.Na ukiona US hasikii hiyo mikwala ujue anajua na yeye anazo za uwezo gani.
Huwezi kuwa jeuri Kama huna nguvu, we jiulize kwanini wana endelea kutoa misaada toka vita ianze!
Achana na nchi za Ulaya na US. Hawa watu kwanza kabisa wana pesa. Pili wana teknolojia za hali ya juu sana. Hawa wakiamua haswa Ukraine isianguke mikononi mwa Russia basi itakuwa hivyo. Lengo lao kubuma ni ngumu mno.Toka vita inaanza Putini amekuwa mtu wa maonyo halafu anatulia zake kwa mfano alisema:-
1) Finland na Sweden wakijaribu kujiunga na nato atapiga nuclear kwenye moyo wa nchi za ulaya.
3) Alisema akigundua nchi inaisaidia Ukraine silaha ataishambulia on the spot, na hii Marekani walimjibu live kwamba wanaisaidia ukraine silaha na wataendelea kuisaidia duniani na mbinguni mpaka ukraine ibaki salama na mipaka yake alijibiwa ni Waziri wa Mambo Ulinzi na Usalam wa Marekani.
4). Alionya Ukraine wasijaribu kujiunga na Umoja wa Ulaya, lakini tumeona live Ukraine walijaza form live pale Kyiv na kuzikabidhi kwa Rais wa umoja wa Ulaya yule mwanamama.
5) Putini aliwaonya Jeshi la Ukraine wasalimu amri mara mbili na akawapa na masaa Ukraine wakakataa na sasa hatukuona chochote badala yake, wanaume wako kazini
Ulaya na Marekani wamejuwa weaknesses za Putini mara elfu 1 zaidi hivyo ni kama vile wanafanyia visa kwa fujo ili wapate kumtibua halafu hana lolote., kwamfano leo Spain wamentangaza kupeleka mitambo Ukraine ya kuzuia zile long range missiles
Putini bora angetulia dunia bado ingekuwa inamuhofia kwamba yeye ni strong kuliko alivyovamia Ukraine na kwa muda mfupi ulimwengu kupata majibu ya madhaifu yake., bongo wanamuita Putini wa Mchongo
Unayajua malengo ya Russia kule Ukraine?Sio kweli., baada ya kumkabili osama bin laden hawakuwa tena na issue ya kufanya zaidi ya kuikalia ile nchi kijeshi lakini lengo lake likiwa limetimia kitamboo ndio mana biden kaona bora warudishe majeshi yao Afghan wajitawale wenyewe kwenye nchi yao tofauti na malengo ya russia Ukraine
Vifaru vimelipuliwa Kyive chanzo ALJAZEERA muda huu1. Atoa onyo kwamba watayateketeza
2.Nchi yoyote itakayojiingiza moja kwa moja na kutishia usalama wa Russia itapewa majibu ya haraka na mazito
3.Asema wana silaha ambazo hakuna nchi yoyote duniani wanazo kwa sasa na watazitumia
Kwanini mpaka sasa mwezi wa tatu unaenda na wa nne bado putin hajaiteka Kyiv?Hebu amgalia Urusi inavyojipigia sehemu mbali mbali na makombora pasipo kujibiwa au kutunguliwa kwa makombora hayo. Nchi 35 zinatoa msaada wa kijeshi, silaha na vifaa vya vingine lakini kila kukicha vinahabiriwa kwa makombora.
Je ukraine ina nguvu za kupambana na kuishinda Urusi? Jeshi lake linaweza kusustain vita muda mrefu? Urusi amepata uzoefu Syria, Ukraine wamepata wapi uzoefu?
Ukraine ni chambo, Kuna anayetafutwa.Watu wanaona Kama masihara hivi lakini Kuna silaha ukiachana na nuclear Russia anazo
Kuna Mtu anamlenga. Ukraine ni chambo tu!Putin akamilishe kazi aache beat za akina kipigo cha mbwakoko muroto
Ni za kujikinga pia za masafa mafupi.Silaha zinaingia kila siku, afanye hayo mashambulizi tumuone.
Kaaribu vifaru vilivyotoka West, chanzo ALJAZEERA.Nakukumbusha tu leo asubuhi Putin kadondosha mabomu Kyiv..
Tuwekee clip ya sleepy Joe akisema wanajeshi wa Marekani walikuwa Kyiv
Elewa kwamba wakati vita haijaanza Marekani walihamisha balozi yao pale Ukraine kwa kuhofia lakini juzi wamerejesha balozi yao kwa mbwembwe zote na kikosi maalum Biden amepeleka kulinda ule ubalozi Kyiv sasa kama Putin ana ubavu mwambie arushe japo kijiwe kidoogo tu kikapige ule ubalozi wa US pale Kyiv.
[emoji2]Msome Putin katikati ya mstari na ukimuelewa utajiona mwenye bahati Sana kuwa miongoni mwa watu wachache wenye bahati.
Kwani Russia ndo anazo peke yakeWajapan walikua hivi hivi waliambiwa waachane na vita wakakataa, vilipo dondoshwa vitu hawakuamini