Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Wanateseka sana jamaa[emoji22][emoji22][emoji22]Hizo bilogical weapons ni hatari Sana Bora waendelee kupigwa tu na Iskander
Hivi unajua Kuna wakimbizi wangapi waliondoka Ukraine au unabwabwaja tu
๐คญ๐คญ๐คญ๐ฉ๐ฉ๐ฉAcha tu itokee mkuu, haiwezekani WW1&2 zote 2 hatujazishuhudia.Irudiwe irudiwe.
Maelezo mazuri sana haya.Wakati Russia wanasema wataichapa Ukraine na USA na NATO wakawa wanasema Russia akiipiga Ukraine wataingilia mlikuwa mnasema hivyo hivyo kuwa Russia Hawezi kuivamia Ukraine Sasa hivi hamuamini macho yenu Kwa kile kinachotokea na USA na hao NATO wamefyata mikia wamekuwa mbwa Koko , kama ni wanaume kweli wasiishie kufund vijisilaha uchwara Kwa Ukraine wapeleke majeshi kabisa kama ilivyo fanya Russia Kule Syria baada ya USA NA NATO kuivamia Russia.. wanacho ogopa kufanya hivyo ni kipi !? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hail to Putin
Kwa hiyo Urusi inaweza kuzichakaza vibaya nchi zote za NATO? Na yenyewe ikabaki imesimama imara na Putin akuwa anaendelea kuwa Rais wa Urusi?Wengi wao wanafuatilia tamthilia za CNN BBC ALJAZEERA uhalisia wa hii vita hawaujui ni hatari sana kwa ukraine... nguvu za Russia hakuna wa kulinganishwa nae
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐Acha ujinga [emoji16][emoji16][emoji16] walishindwa Nini !? Kumtoa bashar alsaad Kule Syria kama kweli Wana nguvu hiyo dhidi ya Russia!? Kinyume chake baada ya Russia kuingia battlefield na kumsaidis bashar tukaona hao USA na washirika wenzake Nato wakitoka mbio na mpango wao ukatibuka ,,
Pia walipo jaribu kutaka kufanya mapinduzi Venezuela dhidi ya Maduro pia wameshindwa baada ya Russia kutia maguu,
Hivi Huwa mnatumika Nini kufikiri mnashindwa kushurutisha bongo zenu na kung'amua hata hizi logic ndogo ndogo au sio weledi wazuri wa kufuatilia mambo , Russia ndiye baba Duniani Kwa Sasa Kwa sababu sio mara 1 amefanikiwa kutibua mipango ya hao USA na NATO na Wana kosa means nakubali kulia Lia tu [emoji28][emoji28][emoji28]
Hii imenichekesha kwamba Putin arushe hata kajiwe!Elewa kwamba wakati vita haijaanza Marekani walihamisha balozi yao pale Ukraine kwa kuhofia lakini juzi wamerejesha balozi yao kwa mbwembwe zote na kikosi maalum Biden amepeleka kulinda ule ubalozi Kyiv sasa kama Putin ana ubavu mwambie arushe japo kijiwe kidoogo tu kikapige ule ubalozi wa US pale Kyiv.
Si mchezo hawa wehu. Miaka ya 1980s Mrusi alipambana na wahenga (mababa) wao (mujahideen) akaishia kutoka nduki.[emoji28][emoji28][emoji28]
Afu asi zionyeshe kwenye gwaride?Watu wanaona Kama masihara hivi lakini Kuna silaha ukiachana na nuclear Russia anazo
Testing ground ya silaha zao ndo maana USA wanapeleka kwa majaribioNa ukiona US hasikii hiyo mikwala ujue anajua na yeye anazo za uwezo gani.
Huwezi kuwa jeuri Kama huna nguvu, we jiulize kwanini wana endelea kutoa misaada toka vita ianze!
Jana makombora yalimiminika kyiv toka Russia hali tete Sana kyiv kwa Sasa hivi wataibomoa sanaMkuu Putini sio kwamba alisema tu lakini aliunda kikosi kazi cha kuchunguza iwapo kuna nchi inaipa silaha Ukraine lakin kabla wataalamu wake kujibu Mnyama siku ya pili akampa majibu live kwamba sisi ndio tunaisaidia Ukraine na Biden akapiga msumari kwamba Tulishiriki kikamilifu Kyiv kukutia adabu wewe Putini ambako sasa Putin Kyiv anaiona chungu, amerudizake Donbas
Hapo umesema vema mkuu, maana western tokea watangaze misimamo yao ya kum protect Zelensky na nchi yake leo hii wote wapo pamoja nasi kuwa wapenzi watazamaji, its like wamemtumia Ukraine kuipima nguvu ya Russia.Wengi wao wanafuatilia tamthilia za CNN BBC ALJAZEERA uhalisia wa hii vita hawaujui ni hatari sana kwa ukraine... nguvu za Russia hakuna wa kulinganishwa nae
#Kadyrov, Operesheni Maalum ya Kweli nchini #Ukraine kuanza katika siku zijazo
Tunatoa Nafasi ya Mwisho kwa #Zelensky Kujisalimisha
#Severodonetsk #Kherson #Sumy #Kiev #UkraineWar #Poland #Donbass #UkraineRussiaWar
#Bilderberg https://t.co/McwWwOU7i5
Vita ni noma ndugu yangu tumuombe MUNGU aviepushe! Kuna kila aina ya ukatili na uovu na machungu ya ajabu!Acha tu itokee mkuu, haiwezekani WW1&2 zote 2 hatujazishuhudia.Irudiwe irudiwe.
Wengi wao wanafuatilia tamthilia za CNN BBC ALJAZEERA uhalisia wa hii vita hawaujui ni hatari sana kwa ukraine... nguvu za Russia hakuna wa kulinganishwa nae
Putin hakusema takayesaidia silaha atamshambulia,alisema nvhi itakayopeleka wanajeshi atadeal nayo.
๐ฎ๐ฎ๐ฎ...3.Asema wana silaha ambazo hakuna nchi yoyote duniani wanazo kwa sasa na watazitumia