duh kijana mchele mchele ktk ubora wakeSema wewe ni zuzu unajua urussi anazo nuclear submarine ngapi na hadi sasa zimeteketea ngapi ,je unajua bomu la father of all bomu la urussi limetumika wapi mpaka sasa ,unajua viwanda vya kijeshi vya urussi vinaunda nini kwa sasa? Je unajua ukubwa wa jeshi la urussi na askari wangapi mpaka sasa wamekufa? Kwa kifupi kujidanganya kuwa urussi ni dhaifu wakati ujaua hata askari wake milioni 1 ni ujinga mtupu ,marekani ndiyo inadanganya kuhusu nguvu zake za kijeshi. Marekani kivita na urusi marekani ni dhaifu tu
yaan umeulizwa swal jepes huna hoja unataka kutuingiza kweny media , ebu jibu swaliOooh. Shauri yenu. Shida vijana mnasikiliza BBC NA CNN.
waafrika view yetu ni fupi sanaVita haijaisha, usije shangazwa. Hata WW2 ilipoanza Ujerumani iliiteka Ufaransa, Poland na majirani wote walikuwa hawafurukuti. Kilichotokea mwishoni? Ujerumani ikagawanywa twice.
Ujerumani ile hadi Hitler alifikia kupigiwa gwaride akiwa mbele Eiffel tower Mwishoni bendera nyekundu yenye nyundo na kotama ikasimama juu ya Reichstag
hahahaaaaWabongo ni noma kwa uchambuzi wa vita. As if ni Afisa wa Jeshi la Russia ulivyochambua hapa, mkuu upo Tanzania kweli?? [emoji3][emoji3]
wazee wa kamikazee hahahaaa hapo kwanza nchekeAmeshidwa kumtoa madarakani comedian zelensky ndio atawaweza Japan aka wazee wa Kamikaze?!
Mpuuzi sana huyu nduli
mbona kajielezea binafs yake , ww ni nan ushangae mtizamo wake?Who are you!?
eti sitachukulia maneno ya Putin seriously!
are you serious !
duh ushabadili hoja ss hv , ww ni 3/4 ya ile takwimi yetu ya vichaaKelele mtapiga wenyewe kipondo kinaendelea gas wananunua kwa rubles mwisho kilaza atajulikana ni nani.
Man of actions
Sawa mimi kichaa nipe sifa yangu nyingine daktari.duh ushabadili hoja ss hv , ww ni 3/4 ya ile takwimi yetu ya vichaa
kwan tulimuekea maneno mdomoni , mliita Operation ss hv mmekubali ni vita imedumu miaka nane so asingeweza kuimaliza km alivyotamba siku za awali , ss hayo maneno yalipaswa kutamkwa mwanzon kbs sio leo baada ya kukumbuka kuwa sio rahisVita iliyodumu miaka 8 ulitaka Urussi aje aimalize siku moja?.
Japan ilikuwa ndogo kieneo ila ilikuwa kubwa kiutawala na uchumI enzi hizo usisahau kuwa Japan ndo alikuwa anapigana na East Asia nzima huku USA pamoja na China zikimchangia ila alikuwa anatembeza kichapo mpk USA alipotumia nukes ndo upepo ukawarudia , so Acha uongo Japan alikuwa ni superpower wa Asia kwa kipind hichoUrusi aliwahi tumia Nuke wapi?
Mbona mnalazimisha ionekane kwamba yeye ndio mtumiaji wa Nuke?
Taifa pekee lililowahi tumia Nuke ni US, tena thidi ya taifa dogo Japan ( walikuwa washachoka kivita).
Eneo gani la Finland ambalo Russia alimega? USSR alipigwa na Finland akafanya withdraw, kama unabisha leta facts zako mezani sijui utazitoa wapi nami nilete za dunia ambazo hata Russia wenyewe wanajua.Mkuu huoni aibu kudanganya umma,?
Urusi anajuwa Porojo yet Tank lake ndio User name yako.
Alipigwa na Finland ila alimega eneo, analikalia mpaka leo.
Mtu aliyepigwa huwa anamega maeneo?
yaan umeulizwa swal jepes huna hoja unataka kutuingiza kweny media , ebu jibu swali
Hizi porojo zote huoni aibu kuandika mkuu....Eneo gani la Finland ambalo Russia alimega? USSR alipigwa na Finland akafanya withdraw, kama unabisha leta facts zako mezani sijui utazitoa wapi nami nilete za dunia ambazo hata Russia wenyewe wanajua.
Kuna interesting tactic walitumia Finland, walikuwa wakipata intelligence information kwamba ndege za adui zinakuja kufanya bombing raids mji mkuu wao pendwa wa Helsinki wanatangaza kuzima taa zote mjini kisha mapori yaliyo karibu na mji wanapanga mistari ya taa za barabarani ionekane ni mitaa. Usiku bombing raids kipindi kile hazina navigation nzuri walikuwa wanatafuta kwenye taa nyingi ndio inaonekana mitaa yenye majengo mazuri na muhimu. Warusi wanadondosha mabomu porini kisha wanarudi. Finland mpaka vita inaisha mji mkuu umesimama wima.
Snipers wa Finland hao ndio usiseme walikuwa hatari sana. Kupigana kwenye snow ndio kipaji chao, vifaru vya Urusi vilifeli mbele ya spirit ya watetezi wa taifa lao. Finland wana msemo wanasema nchini kwao kuna wanajeshi wengi wa Urusi ila wamejificha ardhini chini ya mita tano wakimaanisha waliofia vitani
Kinyonga huwa Anajibadili rangi!Ingekuwa hivyo basi Roma ingeendelea kutawala dunia, Ottoman empire engeendelea kutawala, Germany pia
Yes na commander wao alishawaambia kuwa Japan haina uwezo ...Japan ilikuwa ndogo kieneo ila ilikuwa kubwa kiutawala na uchumI enzi hizo usisahau kuwa Japan ndo alikuwa anapigana na East Asia nzima huku USA pamoja na China zikimchangia ila alikuwa anatembeza kichapo mpk USA alipotumia nukes ndo upepo ukawarudia , so Acha uongo Japan alikuwa ni superpower wa Asia kwa kipind hicho
Waliokwambia kuwa itaisha Mapema?kwan tulimuekea maneno mdomoni , mliita Operation ss hv mmekubali ni vita imedumu miaka nane so asingeweza kuimaliza km alivyotamba siku za awali , ss hayo maneno yalipaswa kutamkwa mwanzon kbs sio leo baada ya kukumbuka kuwa sio rahis
Labda Roma kupitia kanisa lakini Ottoman empire anatawala wapi? Germany je? Babylon je? Bila kisahau mwenemtapa empire 😀Kinyonga huwa Anajibadili rangi!
Yaani huoni wanavyo Endelea kututawala???![emoji12]
Urusi aliwahi tumia Nuke wapi?
Mbona mnalazimisha ionekane kwamba yeye ndio mtumiaji wa Nuke?
Taifa pekee lililowahi tumia Nuke ni US, tena thidi ya taifa dogo Japan ( walikuwa washachoka kivita).