Putin; Maadui zetu mjifikirie mara mbili kwa hili bomu

The last paragraph makes sense
 
🤣🤣🤣 Mariupol is gone,be patient lad.
 
Linapoongelewa suala la nuclear power na Kuitaja ujerumani imeonyesha huna taarifa zaidi.

Hebu pitia picha hapo ujipe maarifa angalia idadi kwa upande wa Russia vs angalia idadi kwa hizo nchi ulizozitaja.View attachment 2194903
Germany,South Korea na Japan kwa Technology walizonazo wanaweza kutengeneza Bomu la nuclear ndani ya miezi mitatu tuu.
 
Germany,South Korea na Japan kwa Technology walizonazo wanaweza kutengeneza Bomu la nuclear ndani ya miezi mitatu tuu.
Acha uongo S.korea hana kinu hata kimoja cha nyukilia labda kwa Japan na penyewe kwa miezi 3 umetufunga kamba.
 

Kwa hiyo Russia na nchi za Asia zina Tactical nuclear warheads ambazo "hazina madhara makubwa" alafu nchi za NATO ndio zenye Nuclear zenye madhara makubwa.

Data hapo zinaonyesha US nae kalundika 5,600, vp za kwake ni long range na zina madhara makubwa?

Kabla sijakuingiza kwenye kundi la wajinga nikupe mda wa kujitetea kuleta sources/evidences kusapoti hicho unachosema.
 
Jamaa ana-behave kama Kim Jong Un!! Ajabu na kweli. Asisahau kuwa watu wa kwanza kutengeneza nuclear bombs ni Wamarekani. Haya mabomu yake atushie sisi Wamatumbi tu ambao hatuna kitu.
 
mzee unadhani kwa nini bado hawajatengeneza?
Walishiti, waliona ni ujinga kwani kwao waliona kuna mambo mengi tu ya kufanya yenye tija.

Wao waliathirika sana kwenye WW II na hawakuona faida yake na baada ya kuachana na zile "Belligerent Notions" ndio leo unaona walipo kiuchumi.

They saw that, it's better to leave it to those to whom war is a profession.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…