Tangu Hitler afariki,Germany toa, nchi ya jumuiya ya ulaya yenye budget kubwa ya jeshi na anayeongoza kwa kuunda vitu ni France ambaye budget yake ni nusu ya budget ya mrusi katika mambo ya kijeshi.
Ujerumani ana tech nyingine zaidi sio mambo ya kijeshi maana alifungwa speed governor.
Kweli kabisa,Kwa dunia ya sasa,nchi inayoheshimika,ni yenye kumiliki silaha za nyuklia. Ndio maana Marekani anahaha kuzuia wengine wasipate maana ubabe wake utafikia ukingoni
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Hivi uturuki ipo Asia!!?acheni kutuchekeshaHuko Asia kuna mturuki pia. Watu wana vyuma ila hawana show off.
Only in ur small imaginary World [emoji846]Meriupol is gone lad,be patient [emoji38][emoji38][emoji38]
The way una explain utadhani Russia is Alpha na Omega in this World[emoji846]Usijidanganye. Kwa teknolojia ilipofikia,ukiwahiwa unaangwamizwa na hata nafasi ya kujibu hutoipata. Ndio sababu wenyewe wanajihami kwakuweka mifumo ya kujiendesha yenyewe kujibu mashambulizi pale watakapokuwa wamewahiwa. Lakini hata hiyo mifumo sio yakuamini,kwani majasusi wanaweza wakawa waeshaijam. Halafu wakakutandika.
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
UK,GERMAN,&FRANCE hawana jipya ,walijisahau kwa kuvimbiwa na legancy ya ku concur dunia enzi za the scramble for Africa,na Berlin conference ,walijua dunia imesimama ,kumbe inazunguka ,wanakuja kushtuka wako outdated kitambo,waliahajikatia tamaa kwenye medani ya kivita wameamua kutulizana walee familia zao tu.sasa hivi hawanajipya hao.hata NORTH KOREA hawamfikii ,sembuse Russia!!!Mambo mengine inabidi ucheke tu,kwani yeue pe ake ndo anazo hizo silaha! Alafu ulaya nchi nyingi za Nato zina silaha kali kama yeye au kupita.Asihangaike na mmarekani na m canada,Asisahau mjerumani hayupo mbali nae,na hawa wajerumani waliitoka dunia makamasi mara 2(vita kuu ya kwanza ya dunia na wa pili), Wana uwezo mkubwa wakitaka lao,hapo sijamuingiza muingereza na mfaransa ambao pamoja na udogo wao walishawahi kutawala karibu nusu ya dunia mpaka leo hii wameacha influence zao ulimwenguni,hao ni wachache tu.Sasa acha putin ajitoe akili ndo atajua kuwa dunia duara.
Mkuu upo sahihi kabisa pro [emoji631] wanaamini usa huwa hatangazi silaha zake wanasah kuwa kila amchokitengeneza lazima atangazeHakuna nchi itagundua silaha mpya bila kuitangaza,ukiona nchi imetulia,jua hawana jipya kaka
Mzee nuclear warhead hazina range...chenye range ni delivery system hapa unaongelea suala la missile na aircraft mfano b2 au tuplov za russia...na changamto kubwa kwenye nuclear warfare ni namna utakavoweza kuzi lunch hizo missiles kwa adui zako na ndio maana mara nyingi north korea anacho test ni missile sio nuclear explosions..so ukija katika teknolojia ya missile urusi kawaacha western mbali sana.Kwa kiingereza wewe unaitwa "Ignorant" kwa sababu wewe ni mjinga.
Hizo Nuclear Warheads unazoona anazo huyo mrusi nyingi ni "Tactical Nuclear Warheads" ambazo range zake ni 300-400 miles halafu hazina madhara makubwa sana na ndio maana kazirundika nyingi kwa sababu gharama zake sio kubwa sana.
Hata yale mataifa ya Asia yenye silaha hizo nyingi zao pia ni hizo "Tactical Nuclear Warheads."
Hakuna anayeweza kuanzisha vita vya nyuklia kisha eti akabaki mshindi, nothing like that. Hivyo Putin anapiga kelele tu za bure na ndio maana anaonekana chizi.
Sikuelewi unaposema nyuklia warhead haina range na kama ni hivyo ina maana haisafiri basi na sio kwamba nyuklia warhead zote zinarushwa na ndege, kuna zinazorushwa kutoka kwenye meli na zingine toka kwenye stationary launch pads.Mzee nuclear warhead hazina range...chenye range ni delivery system hapa unaongelea suala la missile na aircraft mfano b2 au tuplov za russia...na changamto kubwa kwenye nuclear warfare ni namna utakavoweza kuzi lunch hizo missiles kwa adui zako na ndio maana mara nyingi north korea anacho test ni missile sio nuclear explosions..so ukija katika teknolojia ya missile urusi kawaacha western mbali sana.
Kwa wewe taarifa ulizonazo chanzo chako ni nini.Wewe 'ujuaye' kila kitu na 'mtaalamu wa silaha' hebu tuonyeshe hata baruti yako uliyotengeneza mwenyewe,tusije kuwa tunabishana tu hapa kwa maneno matupu ya kugoogle kwa kutumia tech ya Mmarekani kupata hata hizo data tunazotambiana hapa.
Wewe ni mtoto, sina cha kusema na wewe.Kwa dunia ya sasa,nchi inayoheshimika,ni yenye kumiliki silaha za nyuklia. Ndio maana Marekani anahaha kuzuia wengine wasipate maana ubabe wake utafikia ukingoni
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Germany imebaki kua nchi ya amani na kwa sasa hawatengenezi kwa wingi tena silaha kama enzi ya ww2Haya ni makisio tu ya kuuza majarida. Hakuna mtu anayejua nani ana nini mpaka siku akitokea mwendawazimu akalianzisha. Technology ipo juu sana, na ukiona kimya ni kwa vile kila mmoja anamuhofia mwenzake. URUSI naye ana hofu pia ndo maana anaonyesha kuwa ana silaha kali na kuitangazia dunia kama yule wa North Korea. Unaweza sema Ujerumani hana kitu halafu akawa ndo chanzo cha kufuta maisha duniani, unaweza fikiri China ni wa tatu kumbe ana silaha mix ya nuclear na biological ambayo akizipiga ni mwisho wa dunia kama tuijuavyo. Sisi tunashabikia tu ila litakapoanza tunaweza tusiwe na nafasi tena ya kufanya tathimini ya nani ni mbabe.
Embu fikiria tu silaha kama za kusambaza kirusi ambacho ni cha hewa kinachoua ndani ya dakika bomu likapigwa? Litaishia huko lilipopigwa tu?
Na bora usiseme maana utashihirisha uelewa wako duni.Wewe ni mtoto, sina cha kusema na wewe.
Ndio umeandika nn !!!??Hao jamaa wanamsoma tu.
Hamna vita hapo, ndo mana wanamwachia muikraina amalizane nao wao wanampa kila kitu.
Mbinu ya kidiplomasia.
Ikifika wanaenda huko ni kwamba kuna mtu anaondoka.
Hata afanyeje.
Wakiamua kesho tu shughuli imeisha.
Na hawapo mbali wanamsoma tu.
Kabla hata ya vita hiyo EU na NATO
Hawamkubali kabisa Mrusi.
Mpk sasa ni Finland tu wataanzia wakitoka huko.
Ndio pale km vita ya 3 itazimwa pale na wote.
Mkuu, hivi unafikiri wangekuwa na silaha wangemwachia Putin atambe atakavyo, thubutu!Kinachompa jeuri sababu yeye kila silaha lazima aitangaze? Anaamini nchi kama UK, German hawana hivyo vyombo? Usikute vya wenzake ni imara zaidi, maana hata kikawaida tu, bidhaa za ulaya ni jiwe haswa kuliko za asia.
Sawa.Germany imebaki kua nchi ya amani na kwa sasa hawatengenezi kwa wingi tena silaha kama enzi ya ww2
Unaandika simple sana utadhani Nuclear war ni vita ya majimaji, wanaoelewa madhara yake kamwe hawawezi kuandika kitu kama hichi.Mambo mengine inabidi ucheke tu,kwani yeue pe ake ndo anazo hizo silaha! Alafu ulaya nchi nyingi za Nato zina silaha kali kama yeye au kupita.Asihangaike na mmarekani na m canada,Asisahau mjerumani hayupo mbali nae,na hawa wajerumani waliitoka dunia makamasi mara 2(vita kuu ya kwanza ya dunia na wa pili), Wana uwezo mkubwa wakitaka lao,hapo sijamuingiza muingereza na mfaransa ambao pamoja na udogo wao walishawahi kutawala karibu nusu ya dunia mpaka leo hii wameacha influence zao ulimwenguni,hao ni wachache tu.Sasa acha putin ajitoe akili ndo atajua kuwa dunia duara.
Sio wajinga kiasi hicho mtu anakuonesha rungu na AK 47 iko ndani au anakuambia specifications fake za uwezo wa kombora lake ili usijue ukweli lkn pia yale maonesho ya siraha ni taarifa kwa wananchi una ulimwengu kuwa hatujalala bali tumefikia hapaSikuelewi unaposema nyuklia warhead haina range na kama ni hivyo ina maana haisafiri basi na sio kwamba nyuklia warhead zote zinarushwa na ndege, kuna zinazorushwa kutoka kwenye meli na zingine toka kwenye stationary launch pads.
Hakuna uthibitisho kwamba Russia kawaacha nchi za magharibi mbali kwenye teknolojia ya makombora na naona huelewi kwamba ni Marekani na Russia tu ndizo zenye uwezo wa kurusha kombora na likatua sehemu yoyote duniani.
Russia sawa na nchi zingine za kikomunisti zina tabia ya kishamba ya kuonyesha silaha zao hadharani kama njia ya kutisha wananchi wao na mataifa ya nje ili zisikemee tawala zao za kiimla.