mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,258
- 22,552
Nasikia juzi kapiga mitungi ya Nuclear ya ukraine bahati tu haijagonga kwenyewe.imeharibu tu miundombinu
Huyu mtu adhibitiwe
Alianza kumsaidia mapema sana hata mwezi haukuisha ndio us wakatenga bajeti ya kumsaidia,Siyo kweli; Urusi alibnawa tangu mwanzo tu, akaishia kubadili gia angani kuwa anahamishia majeshi huko Mashariki. Marekani ilisita sana kuisaidia Ukraine silha ikiamini kuwa jeshi la urusi ni Imara sana, ila baada ya jeshi kuwa linapoteza majenerali kwa njia za kijinga ndipo Marekani ikaamua kuisaidia Ukraine baada ya miezi mitatu ya vita. Iwapo Marekani ingeisaidia Ukraine tangu mwanzo huenda kusingekuwa na vita kabisa kwani urusi ingefeykwa kabla hata jaijaaza vita kwa vile ilikuwa inafanya mobilization za kizamani sana. Angalia mobilization ya jeshi la Urusi; unadhani kama kweli Ukraine ingelikuwa na HIMARS za marekani wakati huo jeshi hili lingesalimika?
View attachment 2363784
View attachment 2363785
[emoji629]The Bundestag deputy called those who support the supply of weapons to Kiev "insane".Russia hana jipya asaiv mtampamba tu kujipa moyo but deep down yeye yenyewe anatamani hii vita iishe maana ni aibu tu kwa sasa hamna nchi yoyote ina fear nae kwenye military fight ulaya mzma
Nyuklia nazo ni silahaHuyo Russia mwenyewe alikuwa na silaha za kizamani, akabaki anaamini kuwa ni mbabe, baada ya kuingia kwenye mapambano ndio amejua kuwa yuko outdated. Atatumia nuclear kweli maana anaona aibu kushindwa vita. Ni kama CCM kabisa, huwa wanaamini wanapendwa, ikifika uchaguzi wanaona matokeo hayawabebi inabidi wapore uchaguzi kuepuka aibu.
Amezidiwa maarifa. Walimuacha apambane, naona amekata pumziNguzo pekee aliyobakiza ni kutumia nyuklia pekee.
Ukraine ameishakuwa impowered na hao NATO.
Nyuklia nazo ni silaha
Akiona zinafaa kutumiwa kwanini asitumie MKUU
Hazijajengwa ziwe sehem yamaonesho zile
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukraine ni kichaka tu. Anayepigana naye ni USA + NATO 99%Mrusi hapigani na Ukraine ikiwa peke yake.
Sasa ndio mtajua urusi ninini?
Vita ilipoanza, Ukraine ilijhiandaa kwa kugawa Rifle na molotov cocktail; hawakuwa na silaha za kivita za kupambana ana kwa ana na Urusi. Marekani ilianza kwa kutaka kumhifadhi Rais wa Ukraine kwa kutegemea kuwa Ukraine isingeweza vita ile. Misaada ya silaha ilikuja baadaye sana baada ya Urusi kubwana na kushindwa kuikamata Kyiev ndipo Marekani ikaanza kutoa misaada ya silaha za kujikinga.Alianza kumsaidia mapema sana hata mwezi haukuisha ndio us wakatenga bajeti ya kumsaidia,
Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Vita si ya US wala NATO. Ukraine kavamiwa anataka ardhi yake. Hana silaha kadaidiwa.Ukraine ni kichaka tu. Anayepigana naye ni USA + NATO 99%
Kwa msingi huu USA na malaya wake NATO wamefeli sana. Wameshindwa kuiondoa Urusi wakati walifahamu tangu vita vinaanza na walianza naye.
Unajua outcome za nukes? Au unafikir hizo ni baruti?Nyuklia nazo ni silaha
Akiona zinafaa kutumiwa kwanini asitumie MKUU
Hazijajengwa ziwe sehem yamaonesho zile
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba tyson aachwe apigane na mwakinyo na mbaya zaidi yeye ndiye mchokozi?Wenye huruma bado wapo.Hilo lingewezekana kama us asingejipendekezamo
Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Wrong concept.So sad Putin Hana lolote atakalofanya , mtu mmoja dhidi ya watu wengi ni kujipumbaza tu ,
Zelensky yeye ni mshereheshaji wa vita vinavyopiganwa nchini mwake. Hadi sasa anatambua fika kuna mabeberu 30 yanapumulia nyuma ya mgongo wake na isingekuwa hao mabeberu huenda tungeshamsahau.Vita si ya US wala NATO. Ukraine kavamiwa anataka ardhi yake. Hana silaha kadaidiwa.
Wamesaidia silaha tu si kwa kiwango kikubwa.
Na hawajatuma wanajeshi wowote
Nashanga sana ukraine anavyoondolewa kwenye picha wkt yeye ndio key player.
Sasa urusi anashindwaje kuyamaliza mabeberu kama uwezo anao?Zelensky yeye ni mshereheshaji wa vita vinavyopiganwa nchini mwake. Hadi sasa anatambua fika kuna mabeberu 30 yanapumulia nyuma ya mgongo wake na isingekuwa hao mabeberu huenda tungeshamsahau.
sema mwamba huna akili kabisaVita si ya US wala NATO. Ukraine kavamiwa anataka ardhi yake. Hana silaha kadaidiwa.
Wamesaidia silaha tu si kwa kiwango kikubwa.
Na hawajatuma wanajeshi wowote
Nashanga sana ukraine anavyoondolewa kwenye picha wkt yeye ndio key player.
Wakati anaanzisha, hizo harakati zake hakujua hiloMrusi hapigani na Ukraine ikiwa peke yake.