PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

Waislamu wanamuonaga putin kama mtume wao na wanachuki na Netanyahuu wanamuona kama adui wa uislamu
Mimi sio muislam soma post ya #96, na pia Netanyahu sio mkristo. Hivyo haina haja ya kuhamisha magoli.

Mada ni Putin au Netanyahu, huna jibu unapita kimya kimya kusoma comment tu.
 

Attachments

  • 13820411_474e176b5f9b4f73a0efd5c863b1537b_jpeg9007ab240faecd3b84b2d425535ccbd1.jpeg
    107.9 KB · Views: 2
Nenda kafuatilie news sipo hapa kukuchambulia habari muwe kama hujui english siyo kosa langu
Suala la Urusi kutaka kuingilia uchaguzi 2016 lilijulikana kabla ya uchaguzi kufanyika. Sidhani kama FBI au CIA wangekubali Urusi ifanikiwe kuweka kibaraka wake pale U.S.A. Hivyo, naweza kusema Russia (Putin) kama alikuwa na ajenda ya kuweka pandikizi nchini Marekani basi ilikwama.
 
Mambo
 
Aliye kwambia kuwa mtu akiwa myahudi basi ni Muisrael na anatakiwa kutumikia maslahi ya Israel ni nani?
Wayahudi walioko Urusi ni warusi na sio wa Israel na wanafanya mambo kwa maslahi ya Urusi na si Israel.
 
Israel ina teknolojia gani ya juu kuizidi Urusi?
Hebu katafute orodha ya nchi zenye teknolojia ya hali ya juu uone kama Israel yupo hata kumi bora?

Israel inazidiwa mpaka na Taiwan ndo uje kumlinganisha na Urusi.
 
Ah
Sasa kama unasema tukio halina ushahidi wewe unapata wapi ushahidi wa kuandika haya?

Ama kweli ujinga ni mzigo.
🤣🤣🤣 Hatari Sana Wana sifu Iran kapewa chai ,mnataka ushahidi ,Nyau akishafanya yake hukaa kimya mtafute Majibu wenyewe kama alivyopiga air base ya Iran kwani alisema kitu si mlisema wenyewe tumepigwa bila kuona hata tumepigwaje na hii mtasema tu muda ni Mwalimu

Alafu mrusi si alipereka jeshi Syria je limefanya nn pale ,Nyau anapiga airport Kila uchao na Putin Yuko hapo hapo na S 400 kopo kopo
Chezea Nyau ww hao mgambo Hezbollah Hamas sio mgambo unavyowaza ww ni jeshi liko kiraia gambo anakuwa na kirungu hao Wana piga misille s Bado wakula kipigo tu
 
hata iran mlikiwa mnamsifia kama putin cha ajabu mmekiona juzi tu apo limepigwa tukio alafu hata ushaidi halina mnabaki tu kusema ooh ooh ilifeli mala ayatollah kumuangusha bla bla kibao wakati alichokoza mzinga wa nyuki.
Siku baba yako akifa naye atakuwa amepigwa tukio na Israel?
 
Aliye kwambia kuwa mtu akiwa myahudi basi ni Muisrael na anatakiwa kutumikia maslahi ya Israel ni nani?
Wayahudi walioko Urusi ni warusi na sio wa Israel na wanafanya mambo kwa maslahi ya Urusi na si Israel.
Asipokuelewa mwache na upumbavu wake.
 
Waulize Iran na Hamas wanamjua Netanyahau.
Urusi soko la silaha limekufa baada ya kuwa anapigwa na Ukraine air defense S400 na mengine yanapigwa na vi dron zinaingia Hadi Moscow nani anataka mabati bati yake ,ndege meli vita karibu zinaisha ,amebaki kutishia nyuklia kupiga Ukraine yaani ni sawa unapigana na katoto alafu unaokota mawe ili ukapige kwa mawe huyo ndo Putin Hana tecnologia kyshinda Israel , soma history ya Israel ni mpango wa Mungu
umemwona Iran katulia ajichanganye tena kama Nyau hajawasha base zake zote ogopa Mtu anapiga eneo lenye Ulinzi mji mkuu ni kama ikulu Hilo ni onyo kwamba ww bado Sana pamoja na kurusha makombora na drone 350
 
Ah
Sasa kama unasema tukio halina ushahidi wewe unapata wapi ushahidi wa kuandika haya?

Ama kweli ujinga ni mzigo.
🤣🤣🤣 Hatari Sana Wana sifu Iran kapewa chai ,mnataka ushahidi ,Nyau akishafanya yake hukaa kimya mtafute Majibu wenyewe kama alivyopiga air base ya Iran kwani alisema kitu si mlisema wenyewe tumepigwa bila kuona hata tumepigwaje na hii mtasema tu muda ni Mwalimu

Alafu mrusi si alipereka jeshi Syria je limefanya nn pale ,Nyau anapiga airport Kila uchao na Putin Yuko hapo hapo na S 400 kopo kopo
Chezea Nyau ww hao mgambo Hezbollah Hamas sio mgambo unavyowaza ww ni jeshi liko kiraia gambo anakuwa na kirungu hao Wana piga misille s Bado wakula kipigo
Waulize Iran na Hamas wanamjua Netanyahau.
 
IPO wazi #WARAKA WA WAROMA👊
 
Ww hapo unahema kwasababu ya Netanyahu anapambana na magaidi wafia dini ww mawazo yako ni ya kichumba kichumba israel unawajua ww au unawafananisha na washamba washamba ambao wana ndoto ya kupewa wanawake 72 pepon halafu wake zao wanapewa ......nishie hapo
 
Tofautisha kati ya kupewa na chako kikiwa mkononi,Israel ana technology hana pesa tuu.
Israel wanaipa sifa nying ambazo 70% ni za uongo. Nchi zenye teknolojia kubwa duniani zinajulikana kwa matendo yao.

Nchi kama China inateknolojia kubwa mpaka Marekani na Ulaya zinaihofia. Inakuwa wakiona puto tu juu wanaanza kupambana nalo wakizani limetumwa na China kuchota siri za nchi 😂😂😂

Pamoja na yote hauwezi kusikia wanatengeneza propaganda za kuwasifia na kuwaogopa kama wafanyavyo waisrael ambao kiuhalisia hawana lolote la maana zaidi ya kutegemea msaada wa kiteknolojia, kijeshi na kiuchumi kutoka Marekani na Ulaya.
 
Netanyahu Hana umwamba wowote
 
Hebu angalia mwaka ambao jamaa walikamatwa na mwaka ambao uchaguzi ulifanyika.

Jamaa wamemuweka Trump mwaka 2016, FBI na CIA wakaja kushtuka mwaka 2018 ishakuwa too late kijana.

Vijana wamefanya kosa kubwa kumfananisha Putin na kibaraka wa wamarekani (Netanyahu)
 

Attachments

  • Screenshot_20240522-161920.jpg
    274 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240522-162029.jpg
    464.3 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…