PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

Aliye kwambia kuwa mtu akiwa myahudi basi ni Muisrael na anatakiwa kutumikia maslahi ya Israel ni nani?
Wayahudi walioko Urusi ni warusi na sio wa Israel na wanafanya mambo kwa maslahi ya Urusi na si Israel.
Umemjibu kisomi.
 
Israel ina teknolojia gani ya juu kuizidi Urusi?
Hebu katafute orodha ya nchi zenye teknolojia ya hali ya juu uone kama Israel yupo hata kumi bora?

Israel inazidiwa mpaka na Taiwan ndo uje kumlinganisha na Urusi.
Hao vijana wengi wameharibiwa na mihemko ya imani ndomaana kwenye mbili wanasema tatu na kwenye tatu wanasema sita.
 
Ah

🤣🤣🤣 Hatari Sana Wana sifu Iran kapewa chai ,mnataka ushahidi ,Nyau akishafanya yake hukaa kimya mtafute Majibu wenyewe kama alivyopiga air base ya Iran kwani alisema kitu si mlisema wenyewe tumepigwa bila kuona hata tumepigwaje na hii mtasema tu muda ni Mwalimu

Alafu mrusi si alipereka jeshi Syria je limefanya nn pale ,Nyau anapiga airport Kila uchao na Putin Yuko hapo hapo na S 400 kopo kopo
Chezea Nyau ww hao mgambo Hezbollah Hamas sio mgambo unavyowaza ww ni jeshi liko kiraia gambo anakuwa na kirungu hao Wana piga misille s Bado wakula kipigo tu
Kumbe ni maneno ya kwenye kanga ambayo hauna ushahidi nayo. Basi endelea kuamini peke yako ila sisi wenye akili timamu hatukubali kitu kwa sababu ya hisia, bali tunakubali kwa sababu ya vitendo kama vile vilivyofanywa na Iran mchana kweupee mpaka Ulaya nzima na Marekani zikapiga kelele kulaani.

Imagine nchi zaidi ya 8 zimeshindwa kuzuia makombora ya nchi 1 tena zikiwa zimeshapewa taarifa ya kujipanga kuzuia lakini zikashindwa mzigo ukapenya hadi kwa Netanyahu aliekuwa amejificha shimoni 🤣🤣🤣

Kishambulizi cha Israel kilikuwa cha kushtukiza ili kiangamize Iran lakini kilizuiwa bila madhara yoyote kwa nchi, na nchi nyingi hazikufuatilia kashambulio kao 🤣🤣🤣

Mwenye nguvu hawezi kufanya tukio kwa adui yake halaf akaogopa kusema. Anamuogopa nani sasa?

Mbona kwa Gaza hawakukaa kimya, si kwa sababu waliona wanaweza kidogo kujitahidi kuwadhibiti japo mpaka leo wameshndwa kuwapata hata mateka wao.
 
Kumbe ni maneno ya kwenye kanga ambayo hauna ushahidi nayo. Basi endelea kuamini peke yako ila sisi wenye akili timamu hatukubali kitu kwa sababu ya hisia, bali tunakubali kwa sababu ya vitendo kama vile vilivyofanywa na Iran mchana kweupee mpaka Ulaya nzima na Marekani zikapiga kelele kulaani.

Imagine nchi zaidi ya 8 zimeshindwa kuzuia makombora ya nchi 1 tena zikiwa zimeshapewa taarifa ya kujipanga kuzuia lakini zikashindwa mzigo ukapenya hadi kwa Netanyahu aliekuwa amejificha shimoni 🤣🤣🤣

Kishambulizi cha Israel kilikuwa cha kushtukiza ili kiangamize Iran lakini kilizuiwa bila madhara yoyote kwa nchi, na nchi nyingi hazikufuatilia kashambulio kao 🤣🤣🤣

Mwenye nguvu hawezi kufanya tukio kwa adui yake halaf akaogopa kusema. Anamuogopa nani sasa?

Mbona kwa Gaza hawakukaa kimya, si kwa sababu waliona wanaweza kidogo kujitahidi kuwadhibiti japo mpaka leo wameshndwa kuwapata hata mateka wao.
Kumbe ni maneno ya kwenye kanga ambayo hauna ushahidi nayo. Basi endelea kuamini peke yako ila sisi wenye akili timamu hatukubali kitu kwa sababu ya hisia, bali tunakubali kwa sababu ya vitendo kama vile vilivyofanywa na Iran mchana kweupee mpaka Ulaya nzima na Marekani zikapiga kelele kulaani.

Imagine nchi zaidi ya 8 zimeshindwa kuzuia makombora ya nchi 1 tena zikiwa zimeshapewa taarifa ya kujipanga kuzuia lakini zikashindwa mzigo ukapenya hadi kwa Netanyahu aliekuwa amejificha shimoni 🤣🤣🤣

Kishambulizi cha Israel kilikuwa cha kushtukiza ili kiangamize Iran lakini kilizuiwa bila madhara yoyote kwa nchi, na nchi nyingi hazikufuatilia kashambulio kao 🤣🤣🤣

Mwenye nguvu hawezi kufanya tukio kwa adui yake halaf akaogopa kusema. Anamuogopa nani sasa?

Mbona kwa Gaza hawakukaa kimya, si kwa sababu waliona wanaweza kidogo kujitahidi kuwadhibiti japo mpaka leo wameshndwa kuwapata hata mateka wao.
Iran walijitekenya kuwa wanaweza Sasa mbona hawakuendelea baada ya Military base yao kupigwa si mlisema mtajibu wapi Sasa Hadi Raisi kahujumiwa kwa kushindwa kutimiza Ahadi ngoja Rusia awadanganye awauzie tena madege ya hovyo kama S400 iliyoshindwa hata kuona kipigo
 
Iran walijitekenya kuwa wanaweza Sasa mbona hawakuendelea baada ya Military base yao kupigwa si mlisema mtajibu wapi Sasa Hadi Raisi kahujumiwa kwa kushindwa kutimiza Ahadi ngoja Rusia awadanganye awauzie tena madege ya hovyo kama S400 iliyoshindwa hata kuona kipigo
Mbona amrushi tena makombora muone moto wa Nyau ,vita ni techinics Iran anatangaza zana zake akijua atalifuta Taifa Israel nae kajipanga na allies wake ,Iran si nae alipewa silaha na Putin north Korea na hao washirika wake Hezbollah Hamas,kwa vipi Israel isipewe ushirika na ulaya
 
Hao vijana wengi wameharibiwa na mihemko ya imani ndomaana kwenye mbili wanasema tatu na kwenye tatu wanasema sita.
Uwezo wa Israel umejengwa katika misingi ya propaganda na uongo mwingi.
Hebu ona sasa hivi waiIsrael wa simanjiro wanavyo razimisha kuhusika kwa Israel kwenye ajali ya rais wa Iran.
 
🤣🤣 subiri watasema wenyewe waajemi si wamepigwa kimya watakataa kama walivyojlkataa kwamba military air base haikupigwa lakini baadae Dunia ilikuwa na hili litajulikana soon
 
Shida yenu mnaokoteza vitaarifa vya uongo ambavyo CIA na KBG wanatoa ili kuhadaa dunia iamini pumba badala ya ukweli.
1. Rusia kuingilia uchaguzi wa USA ni uongo ili kuaminisha wananchi wa USA kuwa Rusia ni ni nchi adui wa USA.
2. Matajiri wakubwa, scientists na politician , majenerali wa jeshi la USA na Russia ni wayahudi( waisrael)
3. Israel ni nchi ambayo imezungukwa na maadui pande zote lakini kila nchi ya kiarabu inaiogopa, ina silaha za nyuklia.
4. Netanyahu ana nguvu kubwa za kisiasa kuliko Putin, Israel ni nchi ya kidemokrasia ushindani unakuwa mkubwa sana lakini kwa upande wa Putin anabebwa na mifumo ya nchi ya kiujamaa.
5. USA na Russia wote wanamuogopa Israel, Putin akichanganya kwa Israel unaweza shangaa anaondoka madarakani, ndo maana pale Syria ndege za Israel zinaingia na kutoka na wakati kuna S-300 na S-400 .
6. MOSSAD ni bora kuliko CIA na KBG, ukifuatilia mission ambazo Mossad wamefanya kote dunia ni kali sana.
7. Vita ya 11 ya Dunia USA ndo alimaliza vita baada ya kuipiga Japani na kupeleka ndege na wanajeshi Ujerumani, Poland ndo Rusia walipata nguvu ila jeshi la Russia lilikuwa hoi vibaya.
8. Israel ni nchi ndogo sana ambayo ni sawa na mkoa wa Kilimanjaro lakini haijawahi kushindwa kwenye vita yoyote tangia taifa lao lianze 1948, hiyo ya 2006 kati ya Lebabon na Israel, vita hiyo Israel ilishinda , kupigana na vikundi wanaojificha ndani ya raia siyo jambo jepesi, ndoa maana nchi kama Nigeria wameshinda kuondoa boko haramu.
9. Putin alikuwa kachero ,Netanyahu alikuwa pia kachero wote walikuwa kwenye vikosi vya ELITE Soldiers, Netanyahu amepigana vita na kufanya operation mbalimbali.
10. Uchumi wa Russia na Israel hauwezi kuwa Stable vita ni hasara, ni suala la muda tu uchumi utaporomoka sana tu, ndo maana USA anakwepa vita za nyumbani, ndo maana China anakwepa vita sana hata kama amechokozwa.
 
Putin ni mwamba ila asijichanganye kwa muisrael ataaibishwa kama iran kilichompata
Mbona unaropoka bwana mdogo!?
Israel inasaidiwa kijeshi na USA.
Putina kapigana na Ukraine ikiwa imepatiwa msaada wa kijeshi na mercenaries kutoka NATO na bado Putin anaimudu vita.
Ilhali hiyo Israel Hizbollah tu ya Lebanon inamtoa jasho.
 
Niaje waungwana

Leo nimeamua nilete kwenu uzi huu ili tumalizie ubishi uliopo mtaani kwetu kwa muda wa week tatu sasa bila kumpata mshindi wa kweli, huku kila kundi likivutia kamba upande wake.

Ubishi wenyewe unahusu miamba miwili yenye roho ngumu, maamuzi mazito na misimamo mikali isiyoyumba, wala kuyumbishwa na watu wengine. Na miaka hiyo sio mingine isipokuwa ni raisi wa Russia Vladimir Putin na waziri mkuu wa Israel Benjamini Netanyahu.

Kwanza kabla ya watu wengine hawajaingia hapa kutoa maoni yao kuhusu nani bora kati ya raisi Putin na waziri mkuu Netanyahu, naomba kwanza na mimi na mimi nitoe maoni yangu juu ya nani zaidi ya mwenzake.

1. Nikianza na raisi Vladimir Putin, huyu kwangu ni mwamba kweli kweli ambae kumlinganisha na bwege mpenda kulia lia kama Netanyahu ni kumkosea heshima Putin. Netanyahu ni mchumba na hawezi kufit kwa Putin hata kwa nusu ya sifa zake.

Putin ni kiongozi makini, mwenye akili kubwa, misimamo thabiti na intelejensia kali kuliko Netanyahu. Kwa kuthibitisha hili angalia uchaguzi wa uraisi wa 2016 alivyoweza kupachika vijana wake katika mifumo ya Marekani ili wamletee raisi anaemtaka yeye. Ni nani mwengine katika dunia ya leo mwenye uwezo wa kufanya kile alichofanya Putin, tena ndani ya ardhi ya Marekani na mifumo imara ya Marekani? Ni nani mungine?

I hope jibu hakuna maana hata China imeshajaribu kutuma mpaka maputo ili na yenyewe ifanye yake lakini yote yakashushwa. So Putin yeye aliweza tena kwa kuingilia mifumo ya ndani ya nchi bila kugundulika mpaka pale mission yake ilipokamilika, ndo alipokuja kushtukiwa ila akawa ashafanikiwa kwa 100%.

Tukija kwenye misimamo thabiti, jamaa amesimamia kile anachoamini yeye tu, bila kujali vitisho, vikwazo na kelele za nchi za magharibi including NATO. Ameingia nchini Ukraine kukamilisha mission zake bila kujali kelele za mtu yoyote. Si Marekani, NATO wala Umoja wa Ulaya aliethubutu kuingiza jeshi lake Ukraine kupambana na uvamizi wa Russia. Sana sana wameishia kutuma visilaha tu ili kujaribu kudhoofisha mission zake bila mafanikio.

Putin hajawahi kulia hadharani kuwa kaishiwa silaha au mbinu za kijeshi, NEVER. Yeye ni kutoa dozi tu na kusonga mbele daima, huku Marekani na washirika wake wakiendelea kuangamiza silaha zao kuipa Ukraine ili iizuie Ruusia kusonga mbele bila mafanikio.

Putin yeye anapambana na nchi kamili yenye raisi wake, serikali yake, jeshi lake (lenye mamilioni ya wanajeshi), silaha zake (za zamani na kisasa), ulinzi wake (juu na ardhini) Lakini bado haoneshi kushindwa wala kurudi nyuma. Nchi yake bado imeendelea kuogopwa hata na nchi zinazojifanya ni watemi wa dunia. Pia maangamizi yake yamekuwa yakiwalenga zaidi adui zake (wanajeshi na viongozi wa serikali) ikitokea raia ameuwawa basi ni kwa bahati mbaya ile tunaita ajali kazini. Ndiomaana toka vita vianze wanajeshi waliouwawa na wengi kuliko raia wa kawaida.

Putin pamoja na kuwa katika vita vinavyoshirikisha mataifa kibao ya Ulaya kuwa upande wa adui yake, lakini bado economic yake ipo imara mno, na ni nchi ya tatu kwa bajeti kubwa ya kijeshi duniani baada ya Marekani na China. Nchi yake haitegemei bajeti ya kijeshi kutoka nchi yoyote ile hapa duniani. Inajisimamia yenyewe miaka yote ya utawala wa Putin.

2. Tukija kwa waziri mkuu Benjamin Netanyahu, huyu kwangu ni mchumba tu mbele ya Putin, kwa sababu maamuzi yake hutegemea misimamo ya magharibi inasemaje. Yani inaonesha wazi kuwa huwa anapewa maelekeza ya nini cha kufanya na wakubwa zake kutoka huko West, na haswa Marekani.

Kila analolifanya Netanyahu sio ni la kwake bali ni la waliomtuma. Ndomaana wanapocheleweshaga kumtumia silaha za kufanikisha mission aliyopewa, hukimbilia katika vyombo vya habari na kuanza kulalamika kuwa wanamtelekeza na kumuacha apambane kivyake bila msaada wao.

Tukiachana na lile tukio la Oktoba 7, huko nyuma kabla ya Oktoba 7 jeshi la Netanyahu lilikuwa linatumika kwenda kuvamia makazi ya raia wasiokuwa na hatia, wala silaha yoyote zaidi ya mawe huko WEST BANK (katika ardhi inayokaliwa kimabavu na Israel) kuwachomoa watu katika nyumba zao, kuwapiga, kuwakata, kuwatesa na wengine kuwaua. Halafu nyumba zilizovamiwa walipewa waisrael waziishi. Sasa kiongozi (Netanyahu) unakuaje mahiri kwa kuongoza jeshi linalovamia tu raia na kuua ua hovyo eti kisa waliovamiwa wameokota mawe kuwarushia ili kupinga uvamizi?

Netanyahu na jeshi lake lenye wanajeshi zaidi ya laki 2, na wengine wa akiba wamekuwa wakitumia vifaru, meli za kivita, ndege zisizokuwa na rubani pamoja na silaha zingine nyingi za kisasa wanazopewa na Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Uholanzi na Canada kufanya mashambulizi ya kupambana na kundi la vijana elf 20 wa Hamas ambao wanatumia silaha za kawaida zilizoundwa kienyeji na wenyewe ili kujilinda. Lakini mpaka sasa Netanyahu amekuwa akionekana kuua watoto wengi na wanawake wasiokuwa na hatia bila kufikia lengo alilolipanga Netanyahu la kuhakikisha mateka wote wamepatikana katika muda mfupi aliopanga.

Netanyahu bado anategemea hela za bajeti ya jeshi, na uchumi wake zitoke katika mataifa mengine ya Ulaya ili aweze kuwalipa wanajeshi wake, kuongeza baadhi ya silaha na zingine ziishie katika tumbo lake na team yake.

So kumfananisha Putin na Netanyahu ni sawa na kumlinganisha hayati mwl Nyerere na bwana mdogo Pole pole hata kama Pole pole anajaribu kuvaa uhalisia wa mwl Nyerere.

Toa na wewe maoni yako, nikatawakilishe mtaani kwa kuangalia wingi wa comment zinazomkubali mmoja wapo ili tumalize ubishi na kufunga mjadala.

Karibuni sana...
Aisee mkuu mleta mada umemkosea sana Putin kwa kumletea uwiano na Netanyahu.
Netanyahu tulitakiwa tumletee uwiano na Hassan Nasrallah.

Rais Vladimir Putin ni bora kwa sababu zifuatazo;
1)Ni miongoni mwa marais wa Russia walioleta mageuzi ya kiuchumi Russia.Miongoni mwa nyakati Russia imepiga hatua kiuchumi basi ni kipindi cha Vladimir Putin.
2)Ni rais mwenye msimamo na maono makubwa katika sera za kijamii,kiuchumi na kisiasa.
3)Ni rais mwenye msimamo na kile anachokisimamia,sio tu mwenye msimamo lakini pia mwenye kujua nini anasimamia na kwa namna gani atakisimamia.
Mathalan tutizame kupinga kwake kutanuka kwa NATO Ulaya mashariki,hili lilipelekea yeye kuingia vitani na Ukraine ila alisimama na msimamo wake,pia alijua namna ya kuchanga karata zake vizuri mpaka sasa mwaka wa pili yuko vitani na uchumi haujaporomoka na wala hafadhiliwi na mtu licha ya vikwazo vyote alivyowekewa.
4)Vladimir Putin ni rais mbabe mwenye jeshi imara,nahisi labda kwasababu na yeye alikua kamanda wa jeshi.Sote tumeona Russia haipigani tu na Ukraine bali na NATO members.Ila imesimama imara kiasi imeteka mpaka silaha za NATO zilizotumwa na NATO Ukraine.
Pia kwa dunia ya sasa hivi mataifa yenye veto power UN moja wapo ni Russia ukiachana na USA,France,Uk,China.
Pia miongoni mwa mataifa yenye usuper power ukiondoa USA,UK na China basi ni Russia.
Russia pia ni taifa tishio ulimwenguni kijeshi.
Hii haiji bila ya kuwa na raisi mwerevu na mwenye misimamo na sera bora kama VLADIMIR PUTIN.

Netanyahu sijaona ubora wake kwasababu ya madhaifu yake yafuatayo;
1)Ana sera bomovu badala ya jengefu,yani ni mtu wa kuwaza matumizi ya nguvu kuliko diplomasia.
Mfano kipindi Netanyahu anakabiliwa na mashitaka ya rushwa aliyekaimu nafasi yake alikua Yair Lapid,huyu Lapid aliweka sera nzuri zilizowaunganisha wayahudi na wapalestina kiasi waisrael waliwekeza biashara kubwa kubwa Gaza na hakukuwa na vurugu.
Ila aliporudi Netanyahu alirudisha mtindo wa kubomoa makazi ya wapalestina ili kupanua makazi ya walowezi wa kiyahudi,ambayo ndio yamechagiza vita ya oktoba 7 2023.
2)Hana sera nzuri za kijamii,kisiasa na kiuchumi,kijamii mfano ni uenezi wa chuki dhidi ya dini tofauti na uyahudi,mfano wa kisiasa ni kutumia kauli za kibabe azungumzapo na mataifa mengine pale yanapompinga,mfano wa kiuchumi ni kuwa yeye amekua waziri kwa muda mrefu Israel lakini alishindwa kuleta sera za kupunguza utegemezi wa kiuchumi nchi ya USA.
3)Mdini.
4)Mbaguzi wa asili.

Kumfananisha Vladimir ma Netanyahu ni sawa na kufananisha perfume na ushuzi.
 
tatizo anapigana na migambo wanaojichanganya na watoto na wamama kuwakinga akiwafumua kisawasawa wanapiga kelele umoja wa mataifa kwamba wanashambulia watoto yani wanambinu zakijinga sana.
Vipi kuhusu Hizbollah?
Je nao wanajificha nyuma ya raia?
 
Hapa wafia dini ile akina brazaj wote watamsifia Putin na kumponda Netanyahu, ila ukweli unajulikana, ujuha wa Putin umesababisha malaki wa Urusi kufia nchi ya watu na mpaka leo ameshindwa kufumua hako ka-Ukraine.
Lakini upande wa pili Netanyahu anapambana, na magaidi wa kiislamu ambao wameaminishwa kuifuta Israel, wanajificha kwenye watoto na kina mama, amefumua Gaza na kuifanya shamba, ametuheshimisha.

Unapambanaje na majitu yameaminishwa akili kama hizi, eti analinda dushe lisiharibiwe ili likatumie kugegeda mabikira

View: https://twitter.com/gokulnair/status/1723692097650200995

F-vI1AQXsAAIYZ9
 
Tuongee yote Putin yuko calm sana kihisia, ni mara chache sana kumuina amepanick au anabwata ovyo...Huwa nawaza huyu jamaa ana roho gani, utafikiri hana hisia.
Yaani mtu anapigwa spana ulimwenguni kote, viongozi wote wa Ulaya, Biden, Trump, Macron wotee ni Putin..Putin, lkn yeye ndo kwanza anatime zake tu...
Netanyahu analialia sana na kutafuta kuonewa huruma ovyo - hii ya ICC tayari kaishaongea mashairi kama yote - kajitetea weee..
Putin hata kujibu hakujibu kuhusu ICC watu ndo walikuwa wanajikanyaga kumchokonoa ...
 
Niaje waungwana

Leo nimeamua nilete kwenu uzi huu ili tumalizie ubishi uliopo mtaani kwetu kwa muda wa week tatu sasa bila kumpata mshindi wa kweli, huku kila kundi likivutia kamba upande wake.

Ubishi wenyewe unahusu miamba miwili yenye roho ngumu, maamuzi mazito na misimamo mikali isiyoyumba, wala kuyumbishwa na watu wengine. Na miaka hiyo sio mingine isipokuwa ni raisi wa Russia Vladimir Putin na waziri mkuu wa Israel Benjamini Netanyahu.

Kwanza kabla ya watu wengine hawajaingia hapa kutoa maoni yao kuhusu nani bora kati ya raisi Putin na waziri mkuu Netanyahu, naomba kwanza na mimi na mimi nitoe maoni yangu juu ya nani zaidi ya mwenzake.

1. Nikianza na raisi Vladimir Putin, huyu kwangu ni mwamba kweli kweli ambae kumlinganisha na bwege mpenda kulia lia kama Netanyahu ni kumkosea heshima Putin. Netanyahu ni mchumba na hawezi kufit kwa Putin hata kwa nusu ya sifa zake.

Putin ni kiongozi makini, mwenye akili kubwa, misimamo thabiti na intelejensia kali kuliko Netanyahu. Kwa kuthibitisha hili angalia uchaguzi wa uraisi wa 2016 alivyoweza kupachika vijana wake katika mifumo ya Marekani ili wamletee raisi anaemtaka yeye. Ni nani mwengine katika dunia ya leo mwenye uwezo wa kufanya kile alichofanya Putin, tena ndani ya ardhi ya Marekani na mifumo imara ya Marekani? Ni nani mungine?

I hope jibu hakuna maana hata China imeshajaribu kutuma mpaka maputo ili na yenyewe ifanye yake lakini yote yakashushwa. So Putin yeye aliweza tena kwa kuingilia mifumo ya ndani ya nchi bila kugundulika mpaka pale mission yake ilipokamilika, ndo alipokuja kushtukiwa ila akawa ashafanikiwa kwa 100%.

Tukija kwenye misimamo thabiti, jamaa amesimamia kile anachoamini yeye tu, bila kujali vitisho, vikwazo na kelele za nchi za magharibi including NATO. Ameingia nchini Ukraine kukamilisha mission zake bila kujali kelele za mtu yoyote. Si Marekani, NATO wala Umoja wa Ulaya aliethubutu kuingiza jeshi lake Ukraine kupambana na uvamizi wa Russia. Sana sana wameishia kutuma visilaha tu ili kujaribu kudhoofisha mission zake bila mafanikio.

Putin hajawahi kulia hadharani kuwa kaishiwa silaha au mbinu za kijeshi, NEVER. Yeye ni kutoa dozi tu na kusonga mbele daima, huku Marekani na washirika wake wakiendelea kuangamiza silaha zao kuipa Ukraine ili iizuie Ruusia kusonga mbele bila mafanikio.

Putin yeye anapambana na nchi kamili yenye raisi wake, serikali yake, jeshi lake (lenye mamilioni ya wanajeshi), silaha zake (za zamani na kisasa), ulinzi wake (juu na ardhini) Lakini bado haoneshi kushindwa wala kurudi nyuma. Nchi yake bado imeendelea kuogopwa hata na nchi zinazojifanya ni watemi wa dunia. Pia maangamizi yake yamekuwa yakiwalenga zaidi adui zake (wanajeshi na viongozi wa serikali) ikitokea raia ameuwawa basi ni kwa bahati mbaya ile tunaita ajali kazini. Ndiomaana toka vita vianze wanajeshi waliouwawa na wengi kuliko raia wa kawaida.

Putin pamoja na kuwa katika vita vinavyoshirikisha mataifa kibao ya Ulaya kuwa upande wa adui yake, lakini bado economic yake ipo imara mno, na ni nchi ya tatu kwa bajeti kubwa ya kijeshi duniani baada ya Marekani na China. Nchi yake haitegemei bajeti ya kijeshi kutoka nchi yoyote ile hapa duniani. Inajisimamia yenyewe miaka yote ya utawala wa Putin.

2. Tukija kwa waziri mkuu Benjamin Netanyahu, huyu kwangu ni mchumba tu mbele ya Putin, kwa sababu maamuzi yake hutegemea misimamo ya magharibi inasemaje. Yani inaonesha wazi kuwa huwa anapewa maelekeza ya nini cha kufanya na wakubwa zake kutoka huko West, na haswa Marekani.

Kila analolifanya Netanyahu sio ni la kwake bali ni la waliomtuma. Ndomaana wanapocheleweshaga kumtumia silaha za kufanikisha mission aliyopewa, hukimbilia katika vyombo vya habari na kuanza kulalamika kuwa wanamtelekeza na kumuacha apambane kivyake bila msaada wao.

Tukiachana na lile tukio la Oktoba 7, huko nyuma kabla ya Oktoba 7 jeshi la Netanyahu lilikuwa linatumika kwenda kuvamia makazi ya raia wasiokuwa na hatia, wala silaha yoyote zaidi ya mawe huko WEST BANK (katika ardhi inayokaliwa kimabavu na Israel) kuwachomoa watu katika nyumba zao, kuwapiga, kuwakata, kuwatesa na wengine kuwaua. Halafu nyumba zilizovamiwa walipewa waisrael waziishi. Sasa kiongozi (Netanyahu) unakuaje mahiri kwa kuongoza jeshi linalovamia tu raia na kuua ua hovyo eti kisa waliovamiwa wameokota mawe kuwarushia ili kupinga uvamizi?

Netanyahu na jeshi lake lenye wanajeshi zaidi ya laki 2, na wengine wa akiba wamekuwa wakitumia vifaru, meli za kivita, ndege zisizokuwa na rubani pamoja na silaha zingine nyingi za kisasa wanazopewa na Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Uholanzi na Canada kufanya mashambulizi ya kupambana na kundi la vijana elf 20 wa Hamas ambao wanatumia silaha za kawaida zilizoundwa kienyeji na wenyewe ili kujilinda. Lakini mpaka sasa Netanyahu amekuwa akionekana kuua watoto wengi na wanawake wasiokuwa na hatia bila kufikia lengo alilolipanga Netanyahu la kuhakikisha mateka wote wamepatikana katika muda mfupi aliopanga.

Netanyahu bado anategemea hela za bajeti ya jeshi, na uchumi wake zitoke katika mataifa mengine ya Ulaya ili aweze kuwalipa wanajeshi wake, kuongeza baadhi ya silaha na zingine ziishie katika tumbo lake na team yake.

So kumfananisha Putin na Netanyahu ni sawa na kumlinganisha hayati mwl Nyerere na bwana mdogo Pole pole hata kama Pole pole anajaribu kuvaa uhalisia wa mwl Nyerere.

Toa na wewe maoni yako, nikatawakilishe mtaani kwa kuangalia wingi wa comment zinazomkubali mmoja wapo ili tumalize ubishi na kufunga mjadala.

Karibuni sana...
Netanyahu hashindwi hivyo vita. Shida ni kuwa hamas wamejichanganya na raia na huvaa kiraia pia, jambo ambalo humfanya Netanyahu apate wakati mgumu kumtandika hamasi.
 
Netanyahau angekuwa anapigana na Jeshi kwa Jeshi now angekuwa ameshashinda vita, na amepiga bonge la tukio ambalo Ukraine ingekaa kwa kutulia.

Anachofanya Gaza ameamua kuupanga Upya Mji wa Gaza, na kusafisha vichochoro na makazi ya Magaidi.

Katika Watu ambao Putin amewasisitiza na kuwapigia magoti wasiingie kwenye mgogoro wa Ukraine ni Israel na Netanyahau

Netanyahau ni namba nyingine
 
Back
Top Bottom