antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
🚮 🚮 🚮Tatizo kijana unakimbilia ku comment huku ukiwa chooni unaku.nya.
Ni wapi nilipoandika kuwa Putin anatumia silaha zake pekee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🚮 🚮 🚮Tatizo kijana unakimbilia ku comment huku ukiwa chooni unaku.nya.
Ni wapi nilipoandika kuwa Putin anatumia silaha zake pekee!
Acha ujinga wewe....habari ndo iyo ajichanganye tu aone
Kupata kichekesho kama hiki, bonyeza alama ya #.Netanyahau angekuwa anapigana na Jeshi kwa Jeshi now angekuwa ameshashinda vita, na amepiga bonge la tukio ambalo Ukraine ingekaa kwa kutulia.
Anachofanya Gaza ameamua kuupanga Upya Mji wa Gaza, na kusafisha vichochoro na makazi ya Magaidi.
Katika Watu ambao Putin amewasisitiza na kuwapigia magoti wasiingie kwenye mgogoro wa Ukraine ni Israel na Netanyahau
Netanyahau ni namba nyingine
Waendelee vipi na wakati maangamizi yao yalishindwa kuzuiwa na nchi 8 kwa ujumla?Iran walijitekenya kuwa wanaweza Sasa mbona hawakuendelea baada ya Military base yao kupigwa si mlisema mtajibu wapi Sasa Hadi Raisi kahujumiwa kwa kushindwa kutimiza Ahadi ngoja Rusia awadanganye awauzie tena madege ya hovyo kama S400 iliyoshindwa hata kuona kipigo
Putin ananunua silaha Iran na China tu.Putin vita ya miaka 3 kila kitu Urusi ni made in China na India , ebu tuache ushabiki wa kitoto
Ona ulivyo Popoma.View attachment 2996932View attachment 2996931View attachment 2996930
Huyu ndo kiongozi tunaambiwa anaishi Kwa kujificha 🤣🤣
View attachment 2996934View attachment 2996933
Na huyu ndo kiongozi tunaambiwa anapenda kujichanganya na watu na hamuogopi mtu yeyote . Cha ajabu hataki kabisa kusogeleana na mtu . 🤣🤣🤣
Mkuu RWANDA usiitolee mifano na mambo serious bwana.Mbona resources anazo kibao tu lakini ameshindwa kujisimamia mwenyewe. Kwani wewe unafikiri kuwa na resource ni mpaka uwe tu na mafuta au dhahabu?
Rwanda ina resources ndogo kushinda Israel na imezungukwa na maadui kibao kila upande wa nchi yao (ukitoa Tanzania tu) lakini mpaka leo hakuna anaerusha hata jiwe nchini kwao. Na hapo hawategemei silaha wala bajeti ya jeshi itokea Marekani au Ulaya kama wanavyotegemea waisrael.
Hoja yako ni mufilisi kabisa, haina mashiko.
Mwaka 2006 waisrael walichakazwa na hezbulla ambao hawana serikali, hawamiliki resource yoyote ya nchi na hawatumii silaha nzito nzito kama waisrael.
Mkuu hauko serious.Uchambuzi wako unatokana na chuki uliyonayo kwa Israel! Kulimlinganisha
Putin na Netanyahu kwa lengo la kumdharirisha Netanyahu sidhani kama uchambuzi wako uko fair!
Kwanza ukiachia Urafiki wa karibu wa Putin na Netanyahu,wote wawili waanafanana misimamo wote ni wazalendo halisi wa nchi zao! Wako tayari kufa wakipigania maslahi ya nchi zao kwa gharama yo yote.
Wakati Putin anapambana na Mataifa yenye nguvu kijeshi na kiuchumi yakiongozwa na US
Netanyahu anapambana na Mataifa yenye utajiri wa Mafuta na Silaha hatari yakiongozwa na Iran.
Hata kama unamsimanga Netanyahu,bado anaongoza Taifa lenye uwezo wa hali ya juu kiteknolojia na kisayansi kulinganisha na Russia ambayo haina teknolojia ya juu sana kulinganisha na Israel.
Kwa hayo machache ambayo muda hautoshi kueleza mengi sioni tofauti ya Putin na Netanyahu.
Waulize NATO na EU wanamjua Putin.Waulize Iran na Hamas wanamjua Netanyahau.
Wewe una ushahidi kama Israel ndio kahusika!?hata iran mlikiwa mnamsifia kama putin cha ajabu mmekiona juzi tu apo limepigwa tukio alafu hata ushaidi halina mnabaki tu kusema ooh ooh chopper ilifeli mala ayatollah kumuangusha bla bla kibao wakati alichokoza mzinga wa nyuki.
Iran yeye alikuwa na Rusia noth Korea Hezbollah Hamas Syria Iraq Yemen na wengine game ni team , ww unaficha ukweli Nyau angeamua kulipa sawasawa angewafanya ila kapiga kichwa eneo lenu la Ulinzi mnaojisifia ndo maana hamkujibu tena ,Waendelee vipi na wakati maangamizi yao yalishindwa kuzuiwa na nchi 8 kwa ujumla?
Hivi uende kwenye nyumba ya mtu ukampige kipigo cha mbwa mwizi mbele ya mabwana zake nane wanaona, halaf uliempiga aje kwako kurusha kajiwe na kukimbia utamfata tena kumpa kipigo kingine au utamdharau maana hakuonesha kujibu kipigo ulichompa.
Ndo alivyofanya Iran, amemdharau muisrael baada ya kumtembezea kipigo mbele ya mabwana zake US, UK, France, Ujeruman na wajinga wenzao Saudia na Jordan😂😂
Sasa dogo kwa aibu et kaenda kurusha kajiwe na kukimbia 🤣🤣🤣
Hayo mengine sijui ya raisi umeshasema mwenyew hayana ushahidi hivyo hayana maana yoyote.
Mkuu umesahihishwa ila bado unaropoka uharo.Ah
🤣🤣🤣 Hatari Sana Wana sifu Iran kapewa chai ,mnataka ushahidi ,Nyau akishafanya yake hukaa kimya mtafute Majibu wenyewe kama alivyopiga air base ya Iran kwani alisema kitu si mlisema wenyewe tumepigwa bila kuona hata tumepigwaje na hii mtasema tu muda ni Mwalimu
Alafu mrusi si alipereka jeshi Syria je limefanya nn pale ,Nyau anapiga airport Kila uchao na Putin Yuko hapo hapo na S 400 kopo kopo
Chezea Nyau ww hao mgambo Hezbollah Hamas sio mgambo unavyowaza ww ni jeshi liko kiraia gambo anakuwa na kirungu hao Wana piga misille s Bado wakula kipigo tu
Tukuletee ripoti ya mauzo ya silaha ya Russia!?Urusi soko la silaha limekufa baada ya kuwa anapigwa na Ukraine air defense S400 na mengine yanapigwa na vi dron zinaingia Hadi Moscow nani anataka mabati bati yake ,ndege meli vita karibu zinaisha ,amebaki kutishia nyuklia kupiga Ukraine yaani ni sawa unapigana na katoto alafu unaokota mawe ili ukapige kwa mawe huyo ndo Putin Hana tecnologia kyshinda Israel , soma history ya Israel ni mpango wa Mungu
umemwona Iran katulia ajichanganye tena kama Nyau hajawasha base zake zote ogopa Mtu anapiga eneo lenye Ulinzi mji mkuu ni kama ikulu Hilo ni onyo kwamba ww bado Sana pamoja na kurusha makombora na drone 350
Magharibi akafanye nini?Pamoja na ubabe wote uyo putin anaongopa kusafili ichi za maghalibi