PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

Waulize NATO na EU wanamjua Putin.
Mwamba alotikisa miamba ya dunia kiasi anakamata silaha zao na kuziweka makumbusho RUSSIA.
Hiyo ni kawaida tu mbona silaha za Putin zilizoko Ukraine huziona makumbusho ya Ukraine ?
ama umeona za uk na usa
Putin si alisema ni masaa 72 tu game over ,na atakaesaidia Ukraine naye anakula kipigo ,tunaona silaha Zina ingia Ukraine Kila uchao na hafanyo lolote ,Sasa miaka 2 inapita Bado anapigwa na ka willaya tu Ukraine Hadi kaishiwa silaha Sasa Kawa ombaomba anaomba msaada iran
 
Netanyahau angekuwa anapigana na Jeshi kwa Jeshi now angekuwa ameshashinda vita, na amepiga bonge la tukio ambalo Ukraine ingekaa kwa kutulia.

Anachofanya Gaza ameamua kuupanga Upya Mji wa Gaza, na kusafisha vichochoro na makazi ya Magaidi.

Katika Watu ambao Putin amewasisitiza na kuwapigia magoti wasiingie kwenye mgogoro wa Ukraine ni Israel na Netanyahau

Netanyahau ni namba nyingine
Madai yako ni mfu.
Mnaimba wimbo ule ule Hamas anajificha nyuma ya raia ila ushahidi hakuna.
Basi sawa tuwatoe Hamas,vipi kuhusu Hizbollah?
Mbona Hizbullah ni jeshi kamili na ameshindwa kuliangamiza na kila siku anashambulia kaskazini mwa Israel!?
 
Tukuletee ripoti ya mauzo ya silaha ya Russia!?
Kijana we wa wapi?
Weka hapa tuone na uweke na ya usa mi niko buza kwani Dunia ni Kijiji una Dhani ww kukaa Kariakoo ndio uko Dunia nyingine kwa Sasa kumbe Bado uko bush japo upo Kariakoo
 
Hiyo ni kawaida tu mbona silaha za Putin zilizoko Ukraine huziona makumbusho ya Ukraine ?
ama umeona za uk na usa
Putin si alisema ni masaa 72 tu game over ,na atakaesaidia Ukraine naye anakula kipigo ,tunaona silaha Zina ingia Ukraine Kila uchao na hafanyo lolote ,Sasa miaka 2 inapita Bado anapigwa na ka willaya tu Ukraine Hadi kaishiwa silaha Sasa Kawa ombaomba anaomba msaada iran
We jamaa huna unalojua.
Unaweza ukanambia ni mkoa gani Ukraine amekomboa toka kwa Russia!?
Hivi unajua kuwa USA na UK wamepenyeza mercenaries wao wakapigane na Russia!?
Russia inapigana na Ukraine,USA na UK.
Inapigana na mataifa makubwa,papo hapo ikiwa imewekewa vikwazo.
Russia inastahili kuitwa nchi dume.
Kama Ukraine angesimama yeye kama yeye tungekua tunaongea mengine,ila NATO wameingilia kati.
Na still HAKUNA SEHEMU HATA MOJA UKRAINE AMEIGOMBOA TOKA KWA RUSSIA.
Unaifananishaje Russia na Israel?
Ntakuchapa makofi we jamaa.
 
Weka hapa tuone na uweke na ya usa mi niko buza kwani Dunia ni Kijiji una Dhani ww kukaa Kariakoo ndio uko Dunia nyingine kwa Sasa kumbe Bado uko bush japo upo Kariakoo
Hapa ni Russia vs Israel.
Wewe si unadai soko la silaha la Russia limeshuka!?
Mbona unaanza kuhama mada tena kijana!?
 
Madai yako ni mfu.
Mnaimba wimbo ule ule Hamas anajificha nyuma ya raia ila ushahidi hakuna.
Basi sawa tuwatoe Hamas,vipi kuhusu Hizbollah?
Mbona Hizbullah ni jeshi kamili na ameshindwa kuliangamiza na kila siku anashambulia kaskazini mwa Israel!?
Israel ni ndogo Sana ukilinganisha muumgano wa majeshi mgambo hao pro Iran hivyo ni mshindi zaidi ya ushindi
 
Vichwa vinachemka, IQ kubwa, wanaweza isimamisha dunia.

Eti Netanyahu ni mchumba, kamuoe tuone.
Ndio ni mchumba.
Hizbullah tu kaishindwa.
Vita ya miezi 6 imeharibu uchumi wake kiasi anakopa USA kuziba mianya ya kifedha Israel.
Halafu nenda Russia mwaka wa pili ngoma inogile haombi msaada sehemu yeyote anakiwasha mpaka sasa huko Ukraine.
 
Mbona amrushi tena makombora muone moto wa Nyau ,vita ni techinics Iran anatangaza zana zake akijua atalifuta Taifa Israel nae kajipanga na allies wake ,Iran si nae alipewa silaha na Putin north Korea na hao washirika wake Hezbollah Hamas,kwa vipi Israel isipewe ushirika na ulaya
Umechanganyikiwa mpaka unaji quote mwenyewe 😂😂😂 ama kweli wayahudi wa bonyokwa mna shida sana mwaka huu.

Sema naelewa.. maanake kipigo mlichopigwa na Iran plus na hii style ya kuvurumishiwa makombora kila siku na hezbulla huku mateka wenu wakiwa mikononi kwa Hamas zaidi ya miezi 8 bila kuwapata, lazima mchanganyikiwe na kujikuta mnaji quote wenyewe 🤣🤣🤣
 
Hapa ni Russia vs Israel.
Wewe si unadai soko la silaha la Russia limeshuka!?
Mbona unaanza kuhama mada tena kijana!?
😆Cjahama mada mada ni ileile weka hapa hizo fact za Putin na usa tuone nani ka drop
 
Shida ya watoto wa 2000 hawajui hata historia, ndo maana wanaongea kitu wasichokijua, miaka ya 1990 Iraq ikiwa na nguvu sana chini ya Sadam Huseni aliwahi kuipiga Israel na makombora ya Scurd yaliyotengenezwa Rusia, alifanya hivyo hivyo kama Iran ilivyofanya na Israel yakirudisha hata kidogo lakini kilichokuja kutokea Iraq wote tukijua mpaka leo ni failed state, Iran na Israel wako vitani hata kama vita haijatangazwa, tutaona mengi halafu mwisho wa siku tutapata majibu.
Usiifananishe Iraq na Iran.
 
Israel ni ndogo Sana ukilinganisha muumgano wa majeshi mgambo hao pro Iran hivyo ni mshindi zaidi ya ushindi
Hao mgambo unaosemea hata 30k hawafiki.
Israel ina zaidi ya 300k millitary personnel ambao ni active,na zaidi ya 200k reserve personnel.
Unafananisha laki tatu na elfu 30!?
Mbaya zaidi hao mgambo hawana silaha kama anazotumia Israel.
Naona unaanza kuishiwa hoja unabwabwaja sasa.
 
Ndio ni mchumba.
Hizbullah tu kaishindwa.
Vita ya miezi 6 imeharibu uchumi wake kiasi anakopa USA kuziba mianya ya kifedha Israel.
Halafu nenda Russia mwaka wa pili ngoma inogile haombi msaada sehemu yeyote anakiwasha mpaka sasa huko Ukraine.
Ww Putin anaomba msaada iran china noth Korea kaishiwa angalia hata super market hakuna bidhaa Gase yenyewe Kuna mahali ndani ya Rusia hakuna
fanya tafiti uone usije na mahaba humu
 
Uwezo wa Israel umejengwa katika misingi ya propaganda na uongo mwingi.
Hebu ona sasa hivi waiIsrael wa simanjiro wanavyo razimisha kuhusika kwa Israel kwenye ajali ya rais wa Iran.
Ni kwa sababu 95% wana uwezo mdogo mno wa kufikiri. Yani wana macho lakin wanashindwa kuona kuwa kila siku Israel inaletewa silaha na nchi za magharibi ili ijilinde.

Wenyewe uwezo wa kutengeneza silaha zake za kujilinda haina. Hata North Korea wamewaacha mbali sana aisee.
 
Ww Putin anaomba msaada iran china noth Korea kaishiwa angalia hata super market hakuna bidhaa Gase yenyewe Kuna mahali ndani ya Rusia hakuna
fanya tafiti uone usije na mahaba humu
Leta ushahidi wa Russia kuomba msaada hizo nchi ulizotaja?
Kwani unadhani sisi hatufuatilii habari?
 
Usiifananishe Iraq na Iran.
Iraq alishambulia Israel siku hiyo hiyo ambayo Iran ilirusha makombora Israel that's y nasema ni Mshirika wa Iran ,ubaya uko wapi ikiwa israel kasidiwa na washirika wake?
 
Putin vs Usa au Putin vs Israel!?
Embu toa jibu.
Putin v/s Israel ? Ukraine tu anamjambisha Putin ataweza mziki wa Israel ,drone zinginga Hadi ikulu ya Moscow Kuna kitu hapo Putin Hana lolote mnampaisha tu ,Sasa kaokota mawe ampige Ukraine baada ya ngumu kavu kavu katolewa kamasi
 
io israel iliopigwa na hitler ilikuwa haina makao maalumu wala haikuwa na jeshi walikuwa wakimbizi nchi za ulaya na kwengine hata ivyo pamoja naukimbizi wao walikuwa ma milionea kuwazidi hata wazawa wenyewe apo ndo hitler alipo amua kuwamaliza
israel hii imeshaweka miziz kidiplomasia,kiteknolojia,kibailojia mpaka kijiografia ni ngumu sana mzee baba
Kwahiyo sasa hivi israel inajitegemea?!
Kwamba sasa hivi inaweza pigana na adui zake bila kutegemea msaada?
 
Putin v/s Israel ? Ukraine tu anamjambisha Putin ataweza mziki wa Israel ,drone zinginga Hadi ikulu ya Moscow Kuna kitu hapo Putin Hana lolote mnampaisha tu ,Sasa kaokota mawe ampige Ukraine baada ya ngumu kavu kavu katolewa kamasi
Zinagonga ikulu sorry
 
Kwahiyo sasa hivi israel inajitegemea?!
Kwamba sasa hivi inaweza pigana na adui zake bila kutegemea msaada?
Hukumsikia Nyau ,tunafanya maamuzi yetu ,akaamsha kipigo Iran ,Kisha kamalizia rapha kakomboa na mateka wote ww uko sitimbi ipi maana unauliza vitu watu wamesha Amina matanga
 
Back
Top Bottom