PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

Hukumsikia Nyau ,tunafanya maamuzi yetu ,akaamsha kipigo Iran ,Kisha kamalizia rapha kakomboa na mateka wote ww uko sitimbi ipi maana unauliza vitu watu wamesha Amina matanga
ww hiyo simu yako unaangalizia bongo movie tu ,hili nalo hujui lilitokea ,hakuna silaha zinazoingia Israel marekani ka goma ,Uk Israel anatengeneza silaha na anauza nje na akiba ipo mwendo wa kipondo tu hao marekani wanajipendekeza tu kwa Nyau Israel Yuko vizuri kipato chake ni kuuza technology na matunda nikusaidie kujua Hilo pia ndio mwamba wa technology duniani kaa kwa kutulia Sasa utizame game , ameza kushikilia mifumo ya anga la Irani mwenzio huyo ,hukumsikia gentamicin alichosema
 
Ni kwa sababu 95% wana uwezo mdogo mno wa kufikiri. Yani wana macho lakin wanashindwa kuona kuwa kila siku Israel inaletewa silaha na nchi za magharibi ili ijilinde.

Wenyewe uwezo wa kutengeneza silaha zake za kujilinda haina. Hata North Korea wamewaacha mbali sana aisee.
Israel anauza silaha nje alafu ashindwe kujlinda nikwambie Sasa marekani na nchi nyingine za ulaya wanategemea Wana sayansi wa Israel ktk technology ya kisasa wao ndio wanajipeteka Israel kuwekeza na kutoa Fedha by the way Israel ni chaguo la Mungu hivyo ndio unaona unalia kuwa anapewa misaada ni Mungu amesema hivyo ,ww mkataze Mungu awambie wadau wasitoe msaada ,na hata wasipotoa Mungu mwenyewe amesimama na Israel ,mlitegemea Israel ifutike siku Iran kanyesha makombora ? lakini si uliuona mkono wa Mungu kupitia wanadamu alivyozuia makombora
ama ww ni mpagani
 
Iraq alishambulia Israel siku hiyo hiyo ambayo Iran ilirusha makombora Israel that's y nasema ni Mshirika wa Iran ,ubaya uko wapi ikiwa israel kasidiwa na washirika wake?
Makombora haijarushwa na serikali ya Iraq bali kundi la kijihadi la Iraq ndio lilirusha.
Nikikwambia huna unalojua utakataa!?
Kuna kundi la Al Quds pale Iraq ndio lilirusha makombora,ila sio serikali ya Iraq kijana.
 
Israel anauza silaha nje alafu ashindwe kujlinda nikwambie Sasa marekani na nchi nyingine za ulaya wanategemea Wana sayansi wa Israel ktk technology ya kisasa wao ndio wanajipeteka Israel kuwekeza na kutoa Fedha by the way Israel ni chaguo la Mungu hivyo ndio unaona unalia kuwa anapewa misaada ni Mungu amesema hivyo ,ww mkataze Mungu awambie wadau wasitoe msaada ,na hata wasipotoa Mungu mwenyewe amesimama na Israel ,mlitegemea Israel ifutike siku Iran kanyesha makombora ? lakini si uliuona mkono wa Mungu kupitia wanadamu alivyozuia makombora
ama ww ni mpagani
Inamaana siku hizi Mungu anashabikia ushoga na uasherati!?
Maana Israel ni kama Sodoma na Gomora.
Uache ujinga kila taifa la Mungu na Mungu amelibariki kwa namna yake.

Israel silaha zake anauza sehemu chache sana.
Duniani wanaoongoza katika soko la silaha USA,China,Russia,UK na wengine wanafuata.
Kuhusu technology usitudanganye,taifa kama Germany lina technology kubwa tokea enzi hizo ambazo KAMWE ISRAEL HATOKUJA IFIKIA MPAKA DUNIA INAFIKA MWISHO.
Habari za kusema Israel inategemewa na wazungu katika tech we umezitoa wapi!?
Ushahidi wake uko wapi!?
 
Putin v/s Israel ? Ukraine tu anamjambisha Putin ataweza mziki wa Israel ,drone zinginga Hadi ikulu ya Moscow Kuna kitu hapo Putin Hana lolote mnampaisha tu ,Sasa kaokota mawe ampige Ukraine baada ya ngumu kavu kavu katolewa kamasi
Mkuu nikikuita we FALA utakataa!?
Nakuuliza maswali matatu halafu nakuacha,maana mie napenda facts sipendi mipasho;
1)Ukraine anasaidiwa na mataifa mangapi dhidi ya Russia??
2)Je Ukraine ameweza kukomboa maeneo yaliyokaliwa na Russia kuanzia Crimea hadi Zaphorrizhia!?
3)Israel kwanini mpaka sasa ameshindwa kuua wanamgambo Hizbullah ambao sio jeshi kamili la nchi kaskazini mwa Israel!?
Naomba unijibu maswali hayo tu.
 
Hukumsikia Nyau ,tunafanya maamuzi yetu ,akaamsha kipigo Iran ,Kisha kamalizia rapha kakomboa na mateka wote ww uko sitimbi ipi maana unauliza vitu watu wamesha Amina matanga
Leta ushahidi wa mateka kukombolewa!?
Na lete ushahidi wa Israel kushambulia Iran?
 
Inamaana siku hizi Mungu anashabikia ushoga na uasherati!?
Maana Israel ni kama Sodoma na Gomora.
Uache ujinga kila taifa la Mungu na Mungu amelibariki kwa namna yake.

Israel silaha zake anauza sehemu chache sana.
Duniani wanaoongoza katika soko la silaha USA,China,Russia,UK na wengine wanafuata.
Kuhusu technology usitudanganye,taifa kama Germany lina technology kubwa tokea enzi hizo ambazo KAMWE ISRAEL HATOKUJA IFIKIA MPAKA DUNIA INAFIKA MWISHO.
Habari za kusema Israel inategemewa na wazungu katika tech we umezitoa wapi!?
Ushahidi wake uko wapi!?
ww hiyo Germany imeitoa wapi ?
na ujue Mungu amesimama na Ahadi juu ya Israel haijalishi Kuna dhambi kiasi Gani , ni sawana alivyosimamia Ahadi ya Ibrahimu kwamba atamwokoa Lutu katikati ya Dodoma na gomora Mungu anamtizama yule Mwema mmoja kati ya waovu wengi na anatimiza Ahadi hivyo Mungu anatimiza Ahadi ya Ibrahimu uzao wako utakuwa Taifa kubwa ndipo Mungu anajionyesha uwezo wake kupitia Wakala wake Taifa Israel.
Haijalishi Kuna shoga kahaba mwizi Bado tunaona nguvu ya Mungu kupitia hao kina Nyau
 
ww hiyo Germany imeitoa wapi ?
na ujue Mungu amesimama na Ahadi juu ya Israel haijalishi Kuna dhambi kiasi Gani , ni sawana alivyosimamia Ahadi ya Ibrahimu kwamba atamwokoa Lutu katikati ya Dodoma na gomora Mungu anamtizama yule Mwema mmoja kati ya waovu wengi na anatimiza Ahadi hivyo Mungu anatimiza Ahadi ya Ibrahimu uzao wako utakuwa Taifa kubwa ndipo Mungu anajionyesha uwezo wake kupitia Wakala wake Taifa Israel.
Haijalishi Kuna shoga kahaba mwizi Bado tunaona nguvu ya Mungu kupitia hao kina Nyau
Nabishana na kichaa ambaye hata Germany haijui kama ni miongoni mwa mataifa yenye higher techs.
Boeing unazosifia ni zao la Mjerumani Wilhelm Boeing,Bullet trains unazozisifia ni zao la Mjerumani pia.
Huyo Mungu wenu wa ajabu.
Siwezi abudu Mungu wa hivyo mimi ambae anabariki watenda dhambi.

Nikuage wacha nijadiliane na watu wenye facts nakuomba unipishe.
 
Mkuu nikikuita we FALA utakataa!?
Nakuuliza maswali matatu halafu nakuacha,maana mie napenda facts sipendi mipasho;
1)Ukraine anasaidiwa na mataifa mangapi dhidi ya Russia??
2)Je Ukraine ameweza kukomboa maeneo yaliyokaliwa na Russia kuanzia Crimea hadi Zaphorrizhia!?
3)Israel kwanini mpaka sasa ameshindwa kuua wanamgambo Hizbullah ambao sio jeshi kamili la nchi kaskazini mwa Israel!?
Naomba unijibu maswali hayo tu.
Gaza ww unaona ni mgambo kwa upeo wako Hilo ni jina tu ila ni jeshi kamili lile ,hiyo imeisha

Khsu msaada wa Ukraine usiseme ,mwamba wenu Putin alitangaza masaa 72 tu ,kabla ya msaadawa mataifa kwa Ukraine,Bado hayajatimia 72 hrs Hadi Sasa , Ukraine ni ndogo Sana kwa Rusia hivyo silaha Hana na hata kama anazo ni kidogo Sana za msaada ,lakini Bado putini anaokota mawe kupiga Ukraine na Bado Putin anakula kipigo Kuna mahali Putin asogezi pua iwe ndege meli vita zinapigwa juzi tu zimepigwa meli 2 ,hivyo uelewe Ukraine angekuwa na silaha kama alizonazo Putin ,Leo hii zelensk angekuwa Magogoni Moscow
 
Mkuu hauko serious.
Mkuu UMEROPOKA.
Yani Israel iwe na technology kuliko Russia!?
Israel inaweza kuunda helikopta au fighter jets!?
Israel wana uwezo wa kuunda Aerospace/space crafts!?
Israel wana uwezo wa kuunda HYPERSONIC MISSILES!?
Mkuu ongea ukiwa unajua bwana,usiwe unaongea mambo ambayo hauna uhakika nayo.

Unasema Israel anapambana na mataifa tajiri wa mafuta wakiongozwa na Iran,mkuu uko serious wewe!?
Iran anapigana na vikundi vinavyofadhiliwa na Iran.
*Hizbullah ni wanamgambo wanaojitegemea sio jeshi la Lebanon.
*Al Qassam brigade ni jeshi la Hamas sio la Palestina nzima.
Aya tutajie nchi gani ya kiarabu inapigana na ISRAEL ikifadhiliwa na Iran!?
Yani watu hamuna mnachojua mnaongea tu,mtajiaibisha.
Bado umejibu ukiwa na chuki dhidi ya Israel! Mtaji wa Israel ni ubongo,tecknology nyingi duniani zimebuniwa na Israel!
Marekani ni taifa lenye nguvu kijeshi na kiuchumi lakini bila Israel hana kitu.
Harafu inaonekana hata hujui vikundi vya Hamas,Hezibollah,nk vinafadhiriwa kifedha na silaha na mfadhiri mkuu ni Iran.
Ukitaka kujua haya mambo usiwe mshabiki wala usiegemee upande wo wote.
 
Bado umejibu ukiwa na chuki dhidi ya Israel! Mtaji wa Israel ni ubongo,tecknology nyingi duniani zimebuniwa na Israel!
Marekani ni taifa lenye nguvu kijeshi na kiuchumi lakini bila Israel hana kitu.
Harafu inaonekana hata hujui vikundi vya Hamas,Hezibollah,nk vinafadhiriwa kifedha na silaha na mfadhiri mkuu ni Iran.
Ukitaka kujua haya mambo usiwe mshabiki wala usiegemee upande wo wote.
Ndio maana nasema hauna unachokijua unaropoka.
Kule juu ulidai Israel anapigana na mataifa tajiri ya mafuta yakifadhiliwa na Iran,au hii kauli hukuongea wewe!?
Ndio mimi nikakuuliza Hizbollah ni nchi!?
Hamas ni nchi!?
Hivyo ni vikundi vya wanamgambo vinavyofadhiliwa na Iran,bimaana Israel anapigana na vikundi washika silaha vinavyolelewa na Iran ila hapigani na mataifa tajiri ya mafuta kama ulivyodai kule juu.

UNAWEZA UKALETA UVUMBUZI WA ISRAEL NA TECHNOLOGY ZAKE!!???
👆👆👆👆Nasubiri jibu hapo.
Maana kama Israel angekua mkubwa hivyo kitechnology USA isingeshirikiana na Russia katika uundaji wa space craft.
Na nilikuuliza maswali hukunijibu.
1)Je Israel anaweza unda Hypersonic missiles?
2)Je Israel anaweza kuunda fighter jets?
3)Je Israel anaweza kuunda passenger jets??

Nasubiri majibu mkuu.
 
ww hiyo Germany imeitoa wapi ?
na ujue Mungu amesimama na Ahadi juu ya Israel haijalishi Kuna dhambi kiasi Gani , ni sawana alivyosimamia Ahadi ya Ibrahimu kwamba atamwokoa Lutu katikati ya Dodoma na gomora Mungu anamtizama yule Mwema mmoja kati ya waovu wengi na anatimiza Ahadi hivyo Mungu anatimiza Ahadi ya Ibrahimu uzao wako utakuwa Taifa kubwa ndipo Mungu anajionyesha uwezo wake kupitia Wakala wake Taifa Israel.
Haijalishi Kuna shoga kahaba mwizi Bado tunaona nguvu ya Mungu kupitia hao kina Nyau
Technology zinazidiana hivyo sipingi kuwa German hawana technology nzuri ni wapi ww hujaelewa ww uweke fact hizo tuone kwani mda Gani si uingie google tu upime Israel na German

Duniani Kuna technology anayotumia Israel kama iron dome nani anayo zaidi ya Israel ,Hadi hapo unabishaje kwamba Israel hayupo mbele zaidi ki technology,Iran ilipigwa military air base pamoja na S400 ya Putin ikiwa imeshangaa tu inafyatuka wakati mzigo ushatua
hapo Syria zipo S400 air defense lakini Kila uchao Israel anashinda hapo kupiga airport huyu Nyau ana nn Cha ziada ? ni kwa technology yake Iko anga za mbali Sasa utakuwa umerlewa hapo sija google ni open fact
 
Bado umejibu ukiwa na chuki dhidi ya Israel! Mtaji wa Israel ni ubongo,tecknology nyingi duniani zimebuniwa na Israel!
Marekani ni taifa lenye nguvu kijeshi na kiuchumi lakini bila Israel hana kitu.
Harafu inaonekana hata hujui vikundi vya Hamas,Hezibollah,nk vinafadhiriwa kifedha na silaha na mfadhiri mkuu ni Iran.
Ukitaka kujua haya mambo usiwe mshabiki wala usiegemee upande wo wote.
ww unanijua history na unaijua Israel ,na huyu hajui kuwa Iran ndio head of the snake ndio mfadhili wa Hamas Hezbollah houth Yemen n.k

na sio mgambo Hilo ni jina tu ni majeshi Yale sababu hwavai gwanda
 
Gaza ww unaona ni mgambo kwa upeo wako Hilo ni jina tu ila ni jeshi kamili lile ,hiyo imeisha

Khsu msaada wa Ukraine usiseme ,mwamba wenu Putin alitangaza masaa 72 tu ,kabla ya msaadawa mataifa kwa Ukraine,Bado hayajatimia 72 hrs Hadi Sasa , Ukraine ni ndogo Sana kwa Rusia hivyo silaha Hana na hata kama anazo ni kidogo Sana za msaada ,lakini Bado putini anaokota mawe kupiga Ukraine na Bado Putin anakula kipigo Kuna mahali Putin asogezi pua iwe ndege meli vita zinapigwa juzi tu zimepigwa meli 2 ,hivyo uelewe Ukraine angekuwa na silaha kama alizonazo Putin ,Leo hii zelensk angekuwa Magogoni Moscow
Bro huna unalolijua.
Gaza sio jeshi kamili kwasababu zifuatazo;
1)Hawana millitary base.
2)Hawana millitary ranks.
3)Gaza sio nchi kamili kiasi iwe na jeshi inamaana Al Qassam haitambuliki kama jeshi.
4)Hawana headquarters.
5)Hawana command centres.
6)Hawana millitary academies.
7)Hawa import silaha bali wanaunda na kununua kimagendo.
Al Qassam wana washika silaha wapatao takriban elfu thelathini,je hilo unaweza liita jeshi!?

*Kuhusu Ukraine huna unalolijua pia,Ukraine ina jeshi na silaha kamili toka mwanzo,silaha ambazo katika mkataba wa amani hawakupaswa kumiliki ni nuclear weapons tu.
Kipindi Russia anaanza hii vita alichukua Zaphorizzhi,Donbas,Donetsk.
Baada ya hapo NATO ndio wakatuma msaada wa silaha,haikutosha wakapenyeza mpaka mamluki wao hasa makamanda na mercenaries wa USA na UK.
Toka vita ianze HAKUNA SEHEMU UKRAINE IMEWEZA KUIKOMBOA.
Zaidi inazidi kupoteza maeneo ukanda wa Kharkiv.
Hivi hata habari unaangalia bro!?

Israel ili deploy millitary personnel laki tatu na ikachukua askari wa akiba laki moja kuingia Gaza,ili deploy kila aina za technology vifaru,surveillance drones mpaka fighter jets.
Walienda mpaka elite forces.
Lakini wakashindwa kufanya kitu hata mateka hawakukomboa.

Nikupe mfano wa Turkiye,Turkiye ni taifa linalosumbuliwa na mashambulizi ya kushtukiza na kundi la PKK kurdish fighters.
Kurdish fighters wana silaha nyingi tu zimeshiba.
Shambulizi lao la mwisho dhidi ya Uturuki ni kijiji kilicho mpakani na Syria.
Turkiye ilituma millitary personnel wasiozidi 150 wakafanye ground offensive maeneo wanayoyakalia PKK.
Ilienda ilifanya operation iliua PKK wengi sana na mamia ya PKK walikamatwa na kurudi nao Turkiye wakahojiwe.

Sasa nakuachia homework,Turkiye amewezaje na Israel ameshindwaje!!??
 
Ndio maana nasema hauna unachokijua unaropoka.
Kule juu ulidai Israel anapigana na mataifa tajiri ya mafuta yakifadhiliwa na Iran,au hii kauli hukuongea wewe!?
Ndio mimi nikakuuliza Hizbollah ni nchi!?
Hamas ni nchi!?
Hivyo ni vikundi vya wanamgambo vinavyofadhiliwa na Iran,bimaana Israel anapigana na vikundi washika silaha vinavyolelewa na Iran ila hapigani na mataifa tajiri ya mafuta kama ulivyodai kule juu.

UNAWEZA UKALETA UVUMBUZI WA ISRAEL NA TECHNOLOGY ZAKE!!???
👆👆👆👆Nasubiri jibu hapo.
Maana kama Israel angekua mkubwa hivyo kitechnology USA isingeshirikiana na Russia katika uundaji wa space craft.
Na nilikuuliza maswali hukunijibu.
1)Je Israel anaweza unda Hypersonic missiles?
2)Je Israel anaweza kuunda fighter jets?
3)Je Israel anaweza kuunda passenger jets??

Nasubiri majibu mkuu.
Rudia kusoma vizuri ,nimesema ni dhambi Gani Israel ikisaidiwa na magharibi ? mbona Iran inasidiwa na Rusia noth Korea china Hamas Hezbollah houth Yemen na iraq na wengine unawajua ww ndio hoja Sasa we umeleta kitu lingine tofauti
 
Rudia kusoma vizuri ,nimesema ni dhambi Gani Israel ikisaidiwa na magharibi ? mbona Iran inasidiwa na Rusia noth Korea china Hamas Hezbollah houth Yemen na iraq na wengine unawajua ww ndio hoja Sasa we umeleta kitu lingine tofauti
Najua yote hayo swala ni hivi nguvu ya Putin kwa Ukraine niara 100 ya Ukraine,lakini Bado puti anapumulia machine Hadi Sasa kwa kipigo anachopokea toka Ukraine,hukuona Putin anaomba silaha china Hadi Bodaboda ,nott Korea makonteiner 1,000 ya silaha uoni kuwa kaishiwa hivyo Putin si lolote zaidi ya vitisho vya nyuklia ,
 
Technology zinazidiana hivyo sipingi kuwa German hawana technology nzuri ni wapi ww hujaelewa ww uweke fact hizo tuone kwani mda Gani si uingie google tu upime Israel na German

Duniani Kuna technology anayotumia Israel kama iron dome nani anayo zaidi ya Israel ,Hadi hapo unabishaje kwamba Israel hayupo mbele zaidi ki technology,Iran ilipigwa military air base pamoja na S400 ya Putin ikiwa imeshangaa tu inafyatuka wakati mzigo ushatua
hapo Syria zipo S400 air defense lakini Kila uchao Israel anashinda hapo kupiga airport huyu Nyau ana nn Cha ziada ? ni kwa technology yake Iko anga za mbali Sasa utakuwa umerlewa hapo sija google ni open fact
Mkuu bishana kwa fact sio kiushabiki.
Isfahan Israel alilenga kushambulia kinu cha nuclear cha Iran ambacho kipo karibia na airbase ya Iran ila shambulio likafeli na mlipuko kutokea katika eneo la wazi la jeshi la anga la Isfahan.
Kuhusu Syria nilishaeleza bro s300 zilizowekwa pale na hizo s400 ni kwaajili ya kulinda kambi ya Russia.
Na mwaka 2022 zilikuwa activated ukanda mzima wa Syria Israel alipoteza fighter jets tatu kwa mpigo.
Nenda kafuatilie habari.

Iron dome haina uwezo kama unaosemea,nenda kafuatie ripoti ya oktoba 7 Hamas aliporusha roketi kwenda Israel.
Hamas alirusha roketi 5000+ hesabu zimedhihirisha roketi 2300+ zilipenya na zilizobaki ndio zikadunguliwa na iron dome.
Iron dome guided rockets/missiles haiwezi kuzuia,hilo limeonekana kaskazini mwa Israel Hizbullah karusha guided missiles na hakuna hata moja Iron dome ilizuia na zote zilileta madhara.

Unapoizungumzia Germany unazungumzia critical technologies mzee.
Kuna gari la Israel we unalipanda!??
Jibu NO.
Ila Tanzania mmezijaza MERCEDES BENZ za kutosha products ya Germany hiyo.
RENAULT pia bila shaka product ya Germany hiyo.
Leta critical technology anazoongoza Israel??
👆👆👆👆Nakuomba hapo tu unijibu mkuu.
 
Ndio maana nasema hauna unachokijua unaropoka.
Kule juu ulidai Israel anapigana na mataifa tajiri ya mafuta yakifadhiliwa na Iran,au hii kauli hukuongea wewe!?
Ndio mimi nikakuuliza Hizbollah ni nchi!?
Hamas ni nchi!?
Hivyo ni vikundi vya wanamgambo vinavyofadhiliwa na Iran,bimaana Israel anapigana na vikundi washika silaha vinavyolelewa na Iran ila hapigani na mataifa tajiri ya mafuta kama ulivyodai kule juu.

UNAWEZA UKALETA UVUMBUZI WA ISRAEL NA TECHNOLOGY ZAKE!!???
👆👆👆👆Nasubiri jibu hapo.
Maana kama Israel angekua mkubwa hivyo kitechnology USA isingeshirikiana na Russia katika uundaji wa space craft.
Na nilikuuliza maswali hukunijibu.
1)Je Israel anaweza unda Hypersonic missiles?
2)Je Israel anaweza kuunda fighter jets?
3)Je Israel anaweza kuunda passenger jets??

Nasubiri majibu mkuu.
Ukipambana na vikundi vinavyofadhiriwa na nchi nyingine,unapambana na nchi hizo!
Pili kuwa na technology siyo lazima uwe mtengenezaji wa vifaa vinavyotokana na technology uliyonayo! Unaweza kuuza technology kwa mataifa mengine wakatengeneza vifaa! Israel anachofanya ni KUUZA technology na akipata fedha ananunua silaha zilizotengenezwa kwa technology aliyouza! Kwa nini apoteze muda kutengeneza silaha kubwa wakati anaweza kuuza technology na kupata fedha za kununua silaha?
Na kingine anachofanya akishanunua silaha anazi modify na kutengeneza silaha bora.
Silaha anazopata kutoka Marekani nyingi zimetengenezwa kwa technology yake.

Ndio maana nasema hauna unachokijua unaropoka.
Kule juu ulidai Israel anapigana na mataifa tajiri ya mafuta yakifadhiliwa na Iran,au hii kauli hukuongea wewe!?
Ndio mimi nikakuuliza Hizbollah ni nchi!?
Hamas ni nchi!?
Hivyo ni vikundi vya wanamgambo vinavyofadhiliwa na Iran,bimaana Israel anapigana na vikundi washika silaha vinavyolelewa na Iran ila hapigani na mataifa tajiri ya mafuta kama ulivyodai kule juu.

UNAWEZA UKALETA UVUMBUZI WA ISRAEL NA TECHNOLOGY ZAKE!!???
👆👆👆👆Nasubiri jibu hapo.
Maana kama Israel angekua mkubwa hivyo kitechnology USA isingeshirikiana na Russia katika uundaji wa space craft.
Na nilikuuliza maswali hukunijibu.
1)Je Israel anaweza unda Hypersonic missiles?
2)Je Israel anaweza kuunda fighter jets?
3)Je Israel anaweza kuunda passenger jets??

Nasubiri majibu mkuu.
 
Bro huna unalolijua.
Gaza sio jeshi kamili kwasababu zifuatazo;
1)Hawana millitary base.
2)Hawana millitary ranks.
3)Gaza sio nchi kamili kiasi iwe na jeshi inamaana Al Qassam haitambuliki kama jeshi.
4)Hawana headquarters.
5)Hawana command centres.
6)Hawana millitary academies.
7)Hawa import silaha bali wanaunda na kununua kimagendo.
Al Qassam wana washika silaha wapatao takriban elfu thelathini,je hilo unaweza liita jeshi!?

*Kuhusu Ukraine huna unalolijua pia,Ukraine ina jeshi na silaha kamili toka mwanzo,silaha ambazo katika mkataba wa amani hawakupaswa kumiliki ni nuclear weapons tu.
Kipindi Russia anaanza hii vita alichukua Zaphorizzhi,Donbas,Donetsk.
Baada ya hapo NATO ndio wakatuma msaada wa silaha,haikutosha wakapenyeza mpaka mamluki wao hasa makamanda na mercenaries wa USA na UK.
Toka vita ianze HAKUNA SEHEMU UKRAINE IMEWEZA KUIKOMBOA.
Zaidi inazidi kupoteza maeneo ukanda wa Kharkiv.
Hivi hata habari unaangalia bro!?

Israel ili deploy millitary personnel laki tatu na ikachukua askari wa akiba laki moja kuingia Gaza,ili deploy kila aina za technology vifaru,surveillance drones mpaka fighter jets.
Walienda mpaka elite forces.
Lakini wakashindwa kufanya kitu hata mateka hawakukomboa.

Nikupe mfano wa Turkiye,Turkiye ni taifa linalosumbuliwa na mashambulizi ya kushtukiza na kundi la PKK kurdish fighters.
Kurdish fighters wana silaha nyingi tu zimeshiba.
Shambulizi lao la mwisho dhidi ya Uturuki ni kijiji kilicho mpakani na Syria.
Turkiye ilituma millitary personnel wasiozidi 150 wakafanye ground offensive maeneo wanayoyakalia PKK.
Ilienda ilifanya operation iliua PKK wengi sana na mamia ya PKK walikamatwa na kurudi nao Turkiye wakahojiwe.

Sasa nakuachia homework,Turkiye amewezaje na Israel ameshindwaje!!??
Hezbollah ,na Hamas boss wao ni Iran hivyo ukisema hawana military base ,Wala commanding center sio kweli ,kwani Iran ndio commanding center ,na military base yao ndo maana Israel anapiga kila shehena ya silaha inayotua pale Syria air port inayotoka Iran Hadi hapo hujui command center na military base Hezbollah Hamas Iko wapi ?
 
Ukipambana na vikundi vinavyofadhiriwa na nchi nyingine,unapambana na nchi hizo!
Pili kuwa na technology siyo lazima uwe mtengenezaji wa vifaa vinavyotokana na technology uliyonayo! Unaweza kuuza technology kwa mataifa mengine wakatengeneza vifaa! Israel anachofanya ni KUUZA technology na akipata fedha ananunua silaha zilizotengenezwa kwa technology aliyouza! Kwa nini apoteze muda kutengeneza silaha kubwa wakati anaweza kuuza technology na kupata fedha?
😂😂😂😂😂😂Mkuu uko serious!?
Mbona unajikanganya!?
Yani ni sawa kusema kuwa kwasababu Hizbollah iko ndani ya Lebanon basi Israel inapigana na Lebabon!?
Iran ndiyo taifa pekee linalofadhili makundi ya washika silaha.
Na hayo makundi yana authority yake tofauti na mataifa yake.
Hapa huna hoja bro hili limeisha.

Tuoneshe sasa hizo technology Israel alizouza kwa USA?
👆👆👆👆👆
 
Back
Top Bottom