Umenena vyema sana Mkuu,Kila siku tunapiga kelele suala la upanuzi wa barabara ya Morogoro road, line mbili za kupishana zitaendelea kusababisha ajali kila siku
Kuna haja ya upanuzi wa hivi barabara serikali iangalie hili ni muhimu sana maana hizi barabara inatumiwa sana na magari mengi na ndio inayofungua nchi.
Kuwa makini 160kph Kwa hii mikweche ya kijapani na Barabara zetu ni risk.Wengi wetu tuna overtake kwa papara sana mimi marafiki zangu wa karibu wananishangaa mbona naendesha gari kezee zee sana wananiacha lakini nawakuta mbele wanavyopaparika ku overtake wanachungulia mara wanarudi mimi nakua nyuma yao tu nawazoom sasa nikikaa mimi kulia nawakata wote kisha nasimamia ukucha 160 kwa saa wananikuta mbele kwenye mgahawa namalizia kula
Pole sana mkuu. Hili lilinishangaza kuliona ni kawaida sana kwa warombo. Watoto wengi wametelekezwa na mama zao either kwa baba zao au babu na bibi.Yes mkuu,ujue watu wana-base kusema mama/bana hata awe kichaa ni baba/mama tu,No ni uongo,binafsi sipatani na mama mzazi kabisa,kaniacha mikononi mwa baba nikiwa na mwaka mmoja na miezi minne,baada ya mwaka mmoja kabeba mimba na kuzaa na mwanamme mwingine,bila ya kuja hata kuniona,I was to die,ila mungu akawa upande wangu.
Hadi sasa nikisikia mtu anasema nani kama mama huwa nakasirika sana,nafarijika sana nikisikia nani kama baba,
Shukrani mkuu kwa kunikumbusha🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿Kuwa makini 160kph Kwa hii mikweche ya kijapani na Barabara zetu ni risk.
Hii utakaaa usahau kabisa, ulitumia nguvu na akili nyingi sana mkuu hongera sana.Daaah rest in paradise 😢... Kuna mwaka boss wangu walibadilishana gari na rafikiake sasa tukapanga safari kwenda tanga usiku kupita njia ya bagamoyo sasa wakati tunakaribia mto ruvu mbele kuna scania ikajaa upande wangu kila nikimpigia full light+honi wapi ikabidi nitoke nje ya barabara daah yule fala akapita na side mirror yani ilibaki kidogo atuue pale pale tukashauriana na mshua tukageuza kumfukuzia tukamkuta sijui ndo mizani pale wanapaita daraja la makofia kumbe dereva limelewa kampa gari turnboy aendeshe aisee uwo moto tulio uswasha alijuta hata sahau maisha yake yote.
Huna pointi!Mi nimesema "ogopa", swala la ubovu wa madereva umesema wwe!!
Kwani wwe pia hujui kuendesha Manual!!??Huna pointi!
Point ya maana hii.Yes kwa barabara zetu speed 80 - 100 sio mbaya sana, sema watu wqnaendeshea sifa, kama unataka kufika sehemu saa flani weka masaa 2 mengine ya ziada (mfano safari inachukua masaa 8 ondoka masaa 2 kabla ili uweze ku-balance speed in case barabarani kuna foleni etc.
Najua kidogo tu...Kwani wwe pia hujui kuendesha Manual!!??
UNIVERSAL LAWMzee kawapoteza watoto wote wanne kwa wakati mmoja
Umezoea kuendesha AutoNajua kidogo tu...
Nilijifunzia kuendesha sehemu ambako manual ni za mawenge sana!
Ila nataka nijifunze....
Yes Universal law ndio hivyo tenaUNIVERSAL LAW
Hata mimi wakati mwengine night nikiwa pekeangu hua nafanya hivyo natanguliza tanker la mafuta au gari yoyote ndogo lakini sio V8 au wakina crown huko labda na mimi niwe na mashine kubwa km ya cc 2500 au 3000 na kuendelea😀Alafu usiku ukimtanguliza mtu inapendeza maana atakusaidia ku-block mwanga wa mbele alafu ndo kipimo cha Barabara maana akilivaa shimo /speed bumb unaona anavyorushwa au akipunguza na wewe unapunguza, kikubwa ni "ku-keep distance" na taa za gari za breki na parking za gari ya mbele ziwe zinafanya kazi na iwe inakwenda speed ambayo na wewe unaimudu. Sio kuongozana na VIETEEE alafu gari lako halina kifua
[emoji23][emoji23][emoji23] kabisa. Leo kuna bitozi alitupita jioni na subaru speed kali mitaa ya kyabakali kila mtu akawa anasonya...Kwa uzoefu wangu mdogo wa kuendesha "highway" aka mkoa kwa mkoa, yaani hata gari likupite kwa kasi ya jabu huku wewe ukiendesha speed ya kawaida lazima utalikuta mbele limebananishwa na malori linahangaika ku-overtake maana kila likichungulia kuna chombo kinakuja na mbele take kuna Lori 3 zimeongozana
Wengine akiwa peke take anakwenda speed ya kawaida ila akiliona gari mbele yake au nyuma ndo anaamua kufanya manjonjo ya kukimbia bila kupanga[emoji23][emoji23][emoji23] kabisa. Leo kuna bitozi alitupita jioni na subaru speed kali mitaa ya kyabakali kila mtu akawa anasonya...
Kufika lamadi tukamkuta kaegesha gari pembeni anakunywa supu! Sasa tukawa tunajiuliza alikua na sababu gani ya kuchomoka mwendo mkali ule kama alichokua anawahi ni supu ya kongoro [emoji848]..
Mimi naona ni ushamba wa hali ya juu.Wengine akiwa peke take anakwenda speed ya kawaida ila akiliona gari mbele yake au nyuma ndo anaamua kufanya manjonjo ya kukimbia bila kupanga
Hata prado 120,na hilux d4d ndio mfumo wa miguu ya mbele inafanaaPRADO MCHAGA zina katikaga mguu wa mbele, ball-joint.View attachment 2707764
Wapare ni wabahili mno watu wa budget[emoji3][emoji3]Kabisa,uzembe wa hali ya juu.Sijui kwa nini dada zake hata walimwamini.Halafu wana hela si wangepanda hata précision air jamani.
Hiyo Precision Air nayo ingeanguka tu halafu muanze kusema wana ma Prado si wangeendesha tu? Zikifika zimefika. Cha muhimu sisi binadamu tujiweke tayari maana tunaweza kuitwa wakati wo wote 🙏🏿Kabisa,uzembe wa hali ya juu.Sijui kwa nini dada zake hata walimwamini.Halafu wana hela si wangepanda hata précision air jamani.