Pwani: Mashabiki wa Simba kutoka Mbeya, Wapata ajali Vigwaza!

Pwani: Mashabiki wa Simba kutoka Mbeya, Wapata ajali Vigwaza!

Kuna taarifa kuwa mashabiki wa Simba kutoka Mbeya wamepata ajali maeneo ya Vigwaza Pwani, wakiwa njiani kuelekea Dar, kushuhudia mechi ya Simba na Ahly.
Ajali hii imetokea baada ya gari lao kigongana na roli Alfajiri ya Leo!
Mungu wape wepesi ndugu zetu!
Tutaendelea kupata taarifa kamili kutoka Eneo la tukio.
Tumeoita hapo na sikutaka kuchukua picha Kwa sababu za kimaadili.
Najua Kuna watu watataka picha !
Poleni sana
 
Watu ni wapumbavu sana. Sasa unakufa kwa ujinga tu na uzembe eti kisa ushabiki. Unaachia watoto wako na ndugu zako maumivu makubwa na mateso mazito kwa upumbavu.

Watu wote mwishowe tutakufa ila kifo cha kipumbavu kama hicho sio cha kujitakia.
 
Ni kweli ajali imetokea.
IMG-20240329-WA0000.jpg
 
Wiki hii ina hekaheka sana. Pole kwa wote walioumia katika ajali hii.

Wachezaji wa Simba hasa ambao bado ni wageni waonyeshwe hizi taarifa ili wajue kuna watu wanaumia huku kitaa kwa ajili ya hii timu, wasichukulie poa haya mambo
 
UJINGA WA MTU MWEUSI.

Endekeza sana Ma mipira.

Nenda kwa Gari hadi Misri kaangalie Deby yao Alhly na Zamaleki.

Watu wanaweza kupoteza hadi Familia kisa simba na yanga, mtu anapata Ulemavu au anaacha Watoto yatima .

FICHA UJUHA
Mkuu mbona akili zako finyu hivi.. wewe huna starehe au kitu unavhokipenda! Ajali huwapata watu wakiwa katika hekaheia za maisha Yao... Mshukuru Mungu upo mzima! Mpuuzi wewe!
 
Wiki hii ina hekaheka sana. Pole kwa wote walioumia katika ajali hii.

Wachezaji wa Simba hasa ambao bado ni wageni waonyeshwe hizi taarifa ili wajue kuna watu wanaumia huku kitaa kwa ajili ya hii timu, wasichukulie poa haya mambo

UJINGA WA MTU MWEUSI.

Yani akina Fredy Jobe Onana, Saido Babakar nk
Haya ni magalasa ambayo hayawezi kuifikisha simba popote.

Binafsi siwezi kutoka Mikocheni hadi Taifa kisa mpira hata kwenye TV kuangalia tu ni shida iwe ndio Mbeya hadi dar shame.???????


KUWENI NA AKILI BASI
 
Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Unahoja Usipingwe Watu wazima tumekuelewa
 
Mkuu mbona akili zako finyu hivi.. wewe huna starehe au kitu unavhokipenda! Ajali huwapata watu wakiwa katika hekaheia za maisha Yao... Mshukuru Mungu upo mzima! Mpuuzi wewe!

Sinaga starehe.

Labda starehe yangu ni Kumtumikia Mungu.

Hao wamepatwa na Ajali kwa kuendekeza upumbavu utoke mbeya hadi Dar kisa Mpira hapana kwakweli.
Starehe nyingine ni ujinga.

Zaidi ya km 822 na mwendo wa saa 15 kisa Mpira wa akina Fredy..
 
Yanga pamoja na kuambiwa bure hakuna walio safiri?
 
Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Tafta mme uolewe upo so desperate
 
Back
Top Bottom