CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Wewe unaleta dhihaka kata kwenye kifo binadamu gani wewe?Anavyoleta uzi Genta za kuichafua Yanga mnatulia kimya. Nyuzi zenu zilifika mbali hadi kwa Ally Kamwe dhidi ya mtoto wake. Kuna uzi mkaandika kuwa kwanini Yanga wakicheza lazima mtu afiwe au afe hizo nyuzi hazileti malumbano? Hii ajali ingetokea kwa Yanga mada za kafara zingekuwa nyingi hilo halina ubishi.