Pwani: Mashabiki wa Simba kutoka Mbeya, Wapata ajali Vigwaza!

Pwani: Mashabiki wa Simba kutoka Mbeya, Wapata ajali Vigwaza!

pole sana kwa ajali hiyo nzito mashabiki wa Simba.
Pole pia majuruhi wote. Mwenyezi Mungu wape ahuweni katika maumivu mnayoyapitia kwwnye majeraha na uponyaji wa mapema🐒

hata hivyo,
katika vipindi vya muhimu vya siku kuu ni vizuri kujizuia au kusafiri kwa kwasababu ya mambo muhimu ya maana na yenye ulazima wa kipekee 🐒

Bado nawaombea neema na baraka za Mungu majeruhi wote wapate nafuu na uponyaji wa mapema 🐒

God bless Simba, God bless Yanga
Happy Easter in Advance
 
Ukizingatia ulikuwa unategemea mechi ikiisha tu mgeuze kurudi mbeya...mkononi umebeba 20 tu ya safari.

Dereva alivamia kicheche nini?
 
FB_IMG_1711698019177.jpg
 
Sinaga starehe.

Labda starehe yangu ni Kumtumikia Mungu.

Hao wamepatwa na Ajali kwa kuendekeza upumbavu utoke mbeya hadi Dar kisa Mpira hapana kwakweli.
Starehe nyingine ni ujinga.

Zaidi ya km 822 na mwendo wa saa 15 kisa Mpira wa akina Fredy..
Pesa yao wamelipia nauli wakati wewe pesa yako kila mwisho wa wiki na mwezi unampelekea mwamposa au kuhani musa.

JITATHMINI
 
H
Kweli kabisa
Robo fc wanaamini sana ushirikina ila kilichotokea naamini ni uchovu kwa dreva huenda hakuwa na uvumilivu wa safari ndio maana kapata ajali akiwa mwisho kabisa wa safari akili ikiwa imeanza kuchoka
Hizo ni coaster za hakuna kulala ,dereva anasukuma chuma usiku kucha aisee ili dar waingie asubuhi wakimaliza mechi jioni chuma inageuka bila ya kujali uchovu wa dereva. Hiyo gari ilitakiwa walale chalinze kukipambazuka waendelee na safari
 
Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
I second you.
 
Dhihaka mnaletaga nyie mimi nawakumbusha tu kuwa leo imewafika upande wenu nashangaa anayejifanya anajua za ndani kakaa kimya. Kwani unadhani nyuzi hakuna humu mnavyoleta dhihaka kwenye misiba ya upande wa Yanga? Nawakumbusha dhihaka mnazotufanyiaga mfanye na ikitokea na kwenu pia.
Kupitia post yako ni kwamba umelisema lile lile unalolikemea kufanywa na washabiki wa Simba.
 
Mtakuja kufa na kuacha Familia zenu yatima kwa kuendekeza Ujuha wa simba na yanga.

FICHA UPUMBAVU WAKO.
Mkuu kila mtu ana namna yake ya kufurahia maisha yake,si sahihi kuwaona waliotoka mikoani kuja kushangilia timu kuwa ni wapumbavu,basi na wao wakuone wewe ni mpumbavu kwa staili yako ya maisha?
 
UJINGA WA MTU MWEUSI.

Yani akina Fredy Jobe Onana, Saido Babakar nk
Haya ni magalasa ambayo hayawezi kuifikisha simba popote.

Binafsi siwezi kutoka Mikocheni hadi Taifa kisa mpira hata kwenye TV kuangalia tu ni shida iwe ndio Mbeya hadi dar shame.???????


KUWENI NA AKILI BASI
Mbona na wewe kutwa nzima uko humu kujibishana na hao hao unaowaona ni wapumbavu sasa wewe tukuite nani unayeshinda kutwa nzima kujibishana na wapumbavu?
 
Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Jali Mambo yako achana na kauli za kitoto wakati watu wanaomboleza vifo vya wapendwa wao.
 
Kupitia post yako ni kwamba umelisema lile lile unalolikemea kufanywa na washabiki wa Simba.
Na mwisho wa siku limekuuma, ndipo ujue hata nyie mnavyofanya huumiza hisia za watu vile vile. Mkuki kwa nguruwe..........
 
H

Hizo ni coaster za hakuna kulala ,dereva anasukuma chuma usiku kucha aisee ili dar waingie asubuhi wakimaliza mechi jioni chuma inageuka bila ya kujali uchovu wa dereva. Hiyo gari ilitakiwa walale chalinze kukipambazuka waendelee na safari
Labda wakati mwingine atapatikana wa kuwaza hivi nimeona wengi wametoboa wako taifa saa 12 Ile ni hatari sna basi tu ni tumefundishwa kutokujali tukiamini Kila kitu ni mipango ya Mungu
 
Back
Top Bottom