Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
jamaa ana strees za siasa muache tu huyo.siku akija kujua siasa za bongo za kihuni ataachana nazo.Hii inahusiana vipi na ajali? Hivi wewe jamaa uko Sawa kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaa ana strees za siasa muache tu huyo.siku akija kujua siasa za bongo za kihuni ataachana nazo.Hii inahusiana vipi na ajali? Hivi wewe jamaa uko Sawa kweli?
hata upande huo wa kumtumikia Mungu pia kuna ajali zinatokea.Sinaga starehe.
Labda starehe yangu ni Kumtumikia Mungu.
Pesa yao wamelipia nauli wakati wewe pesa yako kila mwisho wa wiki na mwezi unampelekea mwamposa au kuhani musa.Sinaga starehe.
Labda starehe yangu ni Kumtumikia Mungu.
Hao wamepatwa na Ajali kwa kuendekeza upumbavu utoke mbeya hadi Dar kisa Mpira hapana kwakweli.
Starehe nyingine ni ujinga.
Zaidi ya km 822 na mwendo wa saa 15 kisa Mpira wa akina Fredy..
Hizo ni coaster za hakuna kulala ,dereva anasukuma chuma usiku kucha aisee ili dar waingie asubuhi wakimaliza mechi jioni chuma inageuka bila ya kujali uchovu wa dereva. Hiyo gari ilitakiwa walale chalinze kukipambazuka waendelee na safariKweli kabisa
Robo fc wanaamini sana ushirikina ila kilichotokea naamini ni uchovu kwa dreva huenda hakuwa na uvumilivu wa safari ndio maana kapata ajali akiwa mwisho kabisa wa safari akili ikiwa imeanza kuchoka
I second you.Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Mbona husemi kuwa wewe na uchoko ni damu damu?Simba na Makafara, ushirikina ni Damu Damu.....mmm!
Kupitia post yako ni kwamba umelisema lile lile unalolikemea kufanywa na washabiki wa Simba.Dhihaka mnaletaga nyie mimi nawakumbusha tu kuwa leo imewafika upande wenu nashangaa anayejifanya anajua za ndani kakaa kimya. Kwani unadhani nyuzi hakuna humu mnavyoleta dhihaka kwenye misiba ya upande wa Yanga? Nawakumbusha dhihaka mnazotufanyiaga mfanye na ikitokea na kwenu pia.
Mkuu kila mtu ana namna yake ya kufurahia maisha yake,si sahihi kuwaona waliotoka mikoani kuja kushangilia timu kuwa ni wapumbavu,basi na wao wakuone wewe ni mpumbavu kwa staili yako ya maisha?Mtakuja kufa na kuacha Familia zenu yatima kwa kuendekeza Ujuha wa simba na yanga.
FICHA UPUMBAVU WAKO.
Mbona na wewe kutwa nzima uko humu kujibishana na hao hao unaowaona ni wapumbavu sasa wewe tukuite nani unayeshinda kutwa nzima kujibishana na wapumbavu?UJINGA WA MTU MWEUSI.
Yani akina Fredy Jobe Onana, Saido Babakar nk
Haya ni magalasa ambayo hayawezi kuifikisha simba popote.
Binafsi siwezi kutoka Mikocheni hadi Taifa kisa mpira hata kwenye TV kuangalia tu ni shida iwe ndio Mbeya hadi dar shame.???????
KUWENI NA AKILI BASI
Jali Mambo yako achana na kauli za kitoto wakati watu wanaomboleza vifo vya wapendwa wao.Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Watu wanasafiri kutoka bara 1 kwenda lingineMtu unatoka mbeya had dar kuja tu kuangalia mpira kweli kichwan tunatofautiana
Na mwisho wa siku limekuuma, ndipo ujue hata nyie mnavyofanya huumiza hisia za watu vile vile. Mkuki kwa nguruwe..........Kupitia post yako ni kwamba umelisema lile lile unalolikemea kufanywa na washabiki wa Simba.
Labda wakati mwingine atapatikana wa kuwaza hivi nimeona wengi wametoboa wako taifa saa 12 Ile ni hatari sna basi tu ni tumefundishwa kutokujali tukiamini Kila kitu ni mipango ya MunguH
Hizo ni coaster za hakuna kulala ,dereva anasukuma chuma usiku kucha aisee ili dar waingie asubuhi wakimaliza mechi jioni chuma inageuka bila ya kujali uchovu wa dereva. Hiyo gari ilitakiwa walale chalinze kukipambazuka waendelee na safari