Poleni sanaKuna taarifa kuwa mashabiki wa Simba kutoka Mbeya wamepata ajali maeneo ya Vigwaza Pwani, wakiwa njiani kuelekea Dar, kushuhudia mechi ya Simba na Ahly.
Ajali hii imetokea baada ya gari lao kigongana na roli Alfajiri ya Leo!
Mungu wape wepesi ndugu zetu!
Tutaendelea kupata taarifa kamili kutoka Eneo la tukio.
Tumeoita hapo na sikutaka kuchukua picha Kwa sababu za kimaadili.
Najua Kuna watu watataka picha !
Basi majeruhi wote wqpumzike kwa amani. Au hakuna majeruhi pia?Umepata wapi taarifa za vifo? Uzi haujasema kama kuna vifo. Ila ajali imetokea na nimeiona kule istagram. Lakini boda pia hamna taarifa za vifo.
"royal" customer, shida nini boss wangu unanitukana? Si tungeeleweshana tu. 😄Acha upumbavu,kwani umeambiwa Kuna aliyefariki?mchawi mkubwa wewe
Hii inahusiana vipi na ajali? Hivi wewe jamaa uko Sawa kweli?
Sasa Ina Uhusiano gani na ajali... Fal kweli wewe!
Mkuu mbona akili zako finyu hivi.. wewe huna starehe au kitu unavhokipenda! Ajali huwapata watu wakiwa katika hekaheia za maisha Yao... Mshukuru Mungu upo mzima! Mpuuzi wewe!UJINGA WA MTU MWEUSI.
Endekeza sana Ma mipira.
Nenda kwa Gari hadi Misri kaangalie Deby yao Alhly na Zamaleki.
Watu wanaweza kupoteza hadi Familia kisa simba na yanga, mtu anapata Ulemavu au anaacha Watoto yatima .
FICHA UJUHA
Nawe utakufa tu... Acha watu waishi maisha Yao, bila shaka wewe starehe Yako ni ngono😁 nandijo utakapo fia!Mtakuja kufa na kuacha Familia zenu yatima kwa kuendekeza Ujuha wa simba na yanga.
FICHA UPUMBAVU WAKO.
Wiki hii ina hekaheka sana. Pole kwa wote walioumia katika ajali hii.
Wachezaji wa Simba hasa ambao bado ni wageni waonyeshwe hizi taarifa ili wajue kuna watu wanaumia huku kitaa kwa ajili ya hii timu, wasichukulie poa haya mambo
Unahoja Usipingwe Watu wazima tumekuelewaUkishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Ubarikiwe kwa jibu la hekima....kaifute sasa ile postBasi wapone haraka.
Mkuu mbona akili zako finyu hivi.. wewe huna starehe au kitu unavhokipenda! Ajali huwapata watu wakiwa katika hekaheia za maisha Yao... Mshukuru Mungu upo mzima! Mpuuzi wewe!
Labda anataka wawe kafara la ushindi wa SimbaWa Nyang'au wa Kijani. Hakuna aliyekufa. Unataka wenzako wafe ili wewe unufaike na nini?
Tafta mme uolewe upo so desperateUkishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Wanakuhusu nini?Yanga pamoja na kuambiwa bure hakuna walio safiri?