Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji

Mimi ndio maana mambo ya kuingiana mwilini siyapendi kabisa.....najitahidi sana kuziepuka shari kwa namna yoyote ile..........

Pengine ilikuwa tu purukushani ya kawaida lakini ndio hivyo tena unapotoka uhai wa mtu huwa hakuna dogo........

Mungu atuepushie mbali na hasira za kijinga......

KWA SHUJAA HAKUISHI MISIBA.......
 
450k per week lazm uwe mwehu ni biashara gan inakupa faida hiyo..
 
Hii ni noma.
 
Sio poa kabisa...

Mkopo tu ndio hadi kutoana roho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…