Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Lipeni madeni acheni kutaka maisha ya anasa kwa pesa za watuWana vi IST vyao rangi ya maziwa mudguard nyeusi. Hawa wajinga wakikudai watakusubiri getini Hadi usiku wa manane.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipeni madeni acheni kutaka maisha ya anasa kwa pesa za watuWana vi IST vyao rangi ya maziwa mudguard nyeusi. Hawa wajinga wakikudai watakusubiri getini Hadi usiku wa manane.
Hakuna Kesi hapa wameua bila kukusudia.Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za mauaji ya Juma Mfaume (40), Mfanyabiashara na mkazi wa Mbagala Mlandizi.
Tarehe 07-10-2024 katika Kitongoji cha Mbagala, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi, Mkoa wa Pwani, watu wanne ambao ni wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, walifika nyumbani hapo kwa lengo la kudai fedha za marejesho ya mkopo kwa mke wa Juma Said Mfaume aitwaye Khadija Ramadhan.
Baada ya kufika nyumbani kwa Juma Mfaume, ailiwaelekeza kuwa mkewe hayupo lakini watuhumiwa hao walilazimisha kuingia ndani kwa nguvu huku wakimshambulia sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia fimbo na baadae Bw. Mfaume, alianguka na kupoteza fahamu.
Kutokana na hali hiyo watuhumiwa walimbeba, Juma Mfaume kwa kutumia gari lao ili wampeleke hospitali na alifariki akiwa anapatiwa matibabu katika kituo cha Afya cha Mlandizi. Mwili wa marehemu ulifanyiwa uchunguzi na daktari kisha kukabidhiwa kwa taratibu za mazishi.
Waswahili anaweza kukopa pesa ili afanye birthaday Majirani wakome.Aise,nasikia hao OYA wanadai balaa
Ova
Wapo nyumbani au polisi? Watu wasio na kesi wapo majumbani.Hakuna Kesi hapa wameua bila kukusudia.
AiseeJeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za mauaji ya Juma Mfaume (40), Mfanyabiashara na mkazi wa Mbagala Mlandizi.
Tarehe 07-10-2024 katika Kitongoji cha Mbagala, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi, Mkoa wa Pwani, watu wanne ambao ni wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, walifika nyumbani hapo kwa lengo la kudai fedha za marejesho ya mkopo kwa mke wa Juma Said Mfaume aitwaye Khadija Ramadhan.
Baada ya kufika nyumbani kwa Juma Mfaume, ailiwaelekeza kuwa mkewe hayupo lakini watuhumiwa hao walilazimisha kuingia ndani kwa nguvu huku wakimshambulia sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia fimbo na baadae Bw. Mfaume, alianguka na kupoteza fahamu.
Kutokana na hali hiyo watuhumiwa walimbeba, Juma Mfaume kwa kutumia gari lao ili wampeleke hospitali na alifariki akiwa anapatiwa matibabu katika kituo cha Afya cha Mlandizi. Mwili wa marehemu ulifanyiwa uchunguzi na daktari kisha kukabidhiwa kwa taratibu za mazishi.
Waliponyanyua fimbo zao makusudi lilikuwa nini wakati yeye sio mdaiwa? Walidhamiria kudhuru mwili, kusababisha maumivu, bila kujua mtu amatembea na madude gani. Ona sasa.. na kama ndio tabia yao kuumiza wadaiwa wao, waozee tu jela iwe funzoHakuna Kesi hapa wameua bila kukusudia.
Ndugu zao wawapelekee mafutaDamu zitawakauka wao sasa
Kuna watu wanaishi kwa hofu sababu ya hivyo vigari hata kama haviendi kwao wanakimbia mitaani balaaWana vi IST vyao rangi ya maziwa mudguard nyeusi. Hawa wajinga wakikudai watakusubiri getini Hadi usiku wa manane.
Kukopa kopa hovyo watu wanaishi kama wakimbiziKuna watu wanaishi kwa hofu sababu ya hivyo vigari hata kama haviendi kwao wanakimbia mitaani balaa
Mkuu vipi ishawahi kukukuta!?Kwenye maisha kutana Na kesi zote lakini sio za mauwaji, hii kesi inatesa , maamuzi yake mpaka mahakam kuu, dah....yaani unasota jela mpaka nguo zinakuishia unakuwa kama mwehu, unaugua ugonjwa wa ngozi wafungwa huuita "Pelagius" unababuka kama ngozi ya mamba, .......
Ni kampuni ya makamba hiyoHii kesi mabosi zao watajitenga na kuwasukumia kwenye jivu lenye moto.
Kuna ugumu gani serikali kufukuza hizi kampuni za kuhujumu uchumi?
MakambaHii ni kampuni ya nani?
Mkumbo!Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za mauaji ya Juma Mfaume (40), Mfanyabiashara na mkazi wa Mbagala Mlandizi.
Tarehe 07-10-2024 katika Kitongoji cha Mbagala, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi, Mkoa wa Pwani, watu wanne ambao ni wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, walifika nyumbani hapo kwa lengo la kudai fedha za marejesho ya mkopo kwa mke wa Juma Said Mfaume aitwaye Khadija Ramadhan.
Baada ya kufika nyumbani kwa Juma Mfaume, ailiwaelekeza kuwa mkewe hayupo lakini watuhumiwa hao walilazimisha kuingia ndani kwa nguvu huku wakimshambulia sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia fimbo na baadae Bw. Mfaume, alianguka na kupoteza fahamu.
Kutokana na hali hiyo watuhumiwa walimbeba, Juma Mfaume kwa kutumia gari lao ili wampeleke hospitali na alifariki akiwa anapatiwa matibabu katika kituo cha Afya cha Mlandizi. Mwili wa marehemu ulifanyiwa uchunguzi na daktari kisha kukabidhiwa kwa taratibu za mazishi.