Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji

Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji

Mkumbo!
Kufata mkumbo!
Kuwa wafanyakazi wa kampuni ya ukopeshaji hakukupi haki ya kumshambulia mdaiwa.
Civil case za madai zipo taratibu za kumfikisha mdaiwa mahakamani awajibishwe, sio kumpiga, kumuua..

Nawasubiri cash x, pesa x na mkopo fasta na wengine siku watakayokuja maana walinitukana kwa simu na sms, niwatandike risasi za mkund#
Wakopeshaji wameshindwa kufuata taratibu za madai, mwisho wa siku jinai imewandondokea, mbona kazi wanayo, zigo la jinai si jepesi kihivyo hata kama una pesa!!
 
Mkuu vipi ishawahi kukukuta!?
Umri huu nilionao wa miaka 30+ nimeona Na nimejifunza mengi sana ya Dunia, nimepitia mengi kuliko hata hao wanaojiita wazee, kuna nyakati Huwa naamua kukaa peke yangu Na kucheka tu, hasa ninapomuona mwanadamu anamfanyia mwenzie ubaya, au roho mbaya, , kaka haya maisha ni mafupi sana, tupendane.
 
4m RIBA 1,440,000

Ukipewa 4m maombi ya Mkopo ni 200k hivyo hela unayopewa ni 3.8m

Unapotudsha jumla rejesho na deni urudshe 5,440,000.

Rejesho ni kwa wiki 450k kila wiki usiipitishe, siku wala saaa.

Hivi rejesho la Wiki si kutafutia watu waongee wenyewe.

Mkopo ni wa miezi mi 3 tu... hao ndio OYA/HOPE MICROFINANCE.

Msijichanganye
Aiseee , mke wako akijitumbukiza huko umekwisha kwa hali hiyo
 
Back
Top Bottom