Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Nipe mawasiliano yake mkuu ...Kuna demu mmoja namuangalia tu alafu nacheka hiiiiihi, ananishawishi mno mtandaoni nijiunge na vikampuni vyao vya mtandaoni anajifanya yupo US kumbe ypo hapa bongo mana mji anaonambia yupo nikimuuliza saa ngapi anajibu uongo nikimuuliza Mr google wanatofautiana kabisa. Sasa ngoja ntamtaftia mbinu zangu shubaamit
Namwita ajeSasa mamdogo wa baba we unamuitaje?
Ndio bibi sasa kama ulikuwa hujuiNamwita aje
Una bagia hapoNdio bibi sasa kama ulikuwa hujui
Mamdogo mi na njaaNdio bibi sasa kama ulikuwa hujui
Hahaa bagia hamna nina maji ya kandoro tu hapaUna bagia hapo
Ndo maji gani hayo mkuu ...Hahaa bagia hamna nina maji ya kandoro tu hapa
Hahaa umenikumbusha kifurushi Cha gold 4.7 we acha tu nashukuru nilijifunza ujasiri ktk maishaMimi binafsi mwaka jana walinipiga kwenye D9, Sitaki tena kusikia hizi longolongo za Qnet.Shemeji yangu yeye ndio kwanza ameingizwa huko na kaingiza hela zake, akanialika nikaenda kuwasikiliza na kuwasilikiza nikasema hawa wapuuzi kabisa yaani kwa tumaneno twao uto ndio niiingize mkwanja wangu!!!??? Hapa hata machungu ya D9 Hayajaisha. Hawanipati kabsaaaa.
Hahaa umenikumbusha kifurushi Cha gold 4.7 we acha tu nashukuru nilijifunza ujasiri ktk maishaMimi binafsi mwaka jana walinipiga kwenye D9, Sitaki tena kusikia hizi longolongo za Qnet.Shemeji yangu yeye ndio kwanza ameingizwa huko na kaingiza hela zake, akanialika nikaenda kuwasikiliza na kuwasilikiza nikasema hawa wapuuzi kabisa yaani kwa tumaneno twao uto ndio niiingize mkwanja wangu!!!??? Hapa hata machungu ya D9 Hayajaisha. Hawanipati kabsaaaa.
Baba mdogo nipo hapaHatari sana, ndio maana kila siku unaulizia bagia. 2005 mimi nilikuwa form two yaani hutakiwi hata kuniita dada niite tu mamdogo
Baba mdogo nipo hapa
hahaha ndio..enzi za ujana wanguHaha na wewe ulikuwa form two mwaka huo?
Hiyo ilikuwa wapi kiongozi?Nimevumilia kutukana ofisi nzima ya qnet baada ya kuniita kilaghai kuniambia upuuzi huo. Kilichosaidia miongoni mwao kuna mtu tunaheshimiana. reception wanedanganyishia mapicha ya maghorofa ukutani unadhani ni ofisi ya waandisi majengo.
Kuna jamaa alinitusi kuwa utakuwa maskini.Nikasema sawa,hiyo Sentensi uniambie siku ukiwa tajiri Kwa ajiri ya hiyo biashara.mpaka Leo hajanifuataSasa hivi kuna ingine inaitwa mellius,jamaa kanifata dm IG nikamwambia siko interested,akarudi na stori zingine hlf akachomekea tena,nikamwambia siko interested,akachukia akaanza kuleta kejeli nikampa block tu.
Sent using Jamii Forums mobile app