Qatar ilipata utajiri kutokana na gesi. Kwanini Tanzania ilizuia miradi ya gesi?

Kuna wapuuzi waliinadi kwa mabeberu kupitia chama chao na bunge la chama hicho awamu ya 4 kwa rushwa ya wazi kabisa ya bahasha za khaki!
 

Uyo kikwet ndo alisaini mikataba ya kilaghai kwenye gas ya mtwara,
 
Mkuu ni hata na siyo ata,kwa hiyo zile kampuni za ulaya tuluzochonga Nazo juzi hiyo gesi watapeleka Asia kwa kuwa karibu na si ulaya mbali!?
 
Tuliuza kumtoa RIZ MOKO China kisa kukamatwa na Madawa ya kumlevya mtu
 
Tuliuza kumtoa RIZ MOKO China kisa kukamatwa na Madawa ya kumlevya mtu
Hata Kama rizmoko ni muuza ngada,hawezi beba mwenyewe,hayo ni Madai ya watu wasiofikiri,kampuni gani ya china inachomba gesi mtwara!?
 
Mkuu ni hata na siyo ata,kwa hiyo zile kampuni za ulaya tuluzochonga Nazo juzi hiyo gesi watapeleka Asia kwa kuwa karibu na si ulaya mbali!?
Mbona kila siku wenyewe wanaelezea wanalenga soko la Asia.

Mozambique wamepeleka meli juzi Italy but hiyo ni kutokana na mazingira ya vita, otherwise ni very expensive ku import gas kutoka nchi yeyote kwao nje ya Russia.
 
Ili tuchimbe gesi tunahitaji $30b
 
Tanzanite itainuaje uchumi wa nchi kubwa Kama tz!?..acheni bangi,ingesaidia Arusha na manyara kiasi Fulani,lakini ni kiduchu Sana kwa nchi
 
Mbona kila siku wenyewe wanaelezea wanalenga soko la Asia.

Mozambique wamepeleka meli juzi Italy but hiyo ni kutokana na mazingira ya vita, otherwise ni very expensive ku import gas kutoka nchi yeyote kwao nje ya Russia.
Ile ya marekani vipi!?..maana nilisikia wakilima jamaa katake advantage anawapiga parefu kuliko uhalisia..ukweli ni kwamba wazungu wanataka vyanzo vingine vya gesi tofauti na Russia,na haitotoka ulaya,hata trip za mama ukiacha kivuli Cha royal tour,nyuma ya pazia palikua na gesi ya Lindi
 
Marekani na supplier wengine wanafidia shortfall za sasa kutokana na vita na sabotage za kupasua pipe.

Kwanini unadhani waliipa Russia sanctions ya kutouza mafuta ghafi na mambo mengine but not gas? Ni rahisi mno kwao kupata gas nyingi in short space of time and cheaply maana inaondoa shipping costs largely.

Hao waingereza, Norway wanapotoa asilimia kubwa ya gas wanayotumia ni pua na mdomo, lakini wamejenga ma pipe ya kupeleka kutoka kwenye vyanzo vya gas mpaka U.K hakuna meli.

LNG makes it expensive na ukitoa Russia na Iran kwenye equation ya supply side ndio kabisa maana wao kwa pamoja ndio wenye reserve kubwa duniani kushinda wote waliobakia ata wakijichanga.

Kwa maana hiyo Russia na Iran wana power za kuweza shusha bei ya gas given the rules of ‘supply and demand’.

Wazungu sometimes wana misimamo ya kijinga hiyo vita inewaumiza mno, hivi tunavyoongea uchumi wa U.K. umeingia rasmi kwenye recession sababu ya vita na kutoa Russia kwenye equation ya natural resources supply.
 
Nchi za kiafrika zina mambo jambo

Mengi

Ova
 
Hat kwenye dhahabu kabla ya Magufuli tulikuwa tumepigwa sana kwa miaka mingi! Serikali ilikuwa ikiambulia asilimia 3 pekee na asilimia 97 zilizobaki ni za hao wanaoitwa wawekezaji kwenye migodi ! Je hapo unaona hatukupigwa ??!! Magufuli alikuwa ana mapungufu yake lakini kwa mengine kama hayo alikuwa sahihi 101 % ! Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni ! Hata kwenye gesi mziki ni huo huo tu !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…