Qatar ilipata utajiri kutokana na gesi. Kwanini Tanzania ilizuia miradi ya gesi?

Qatar ilipata utajiri kutokana na gesi. Kwanini Tanzania ilizuia miradi ya gesi?

Leo hii Tanzania tungekuwa tunauza gesi yetu Ulaya kwa bei ya juuu baada ya Urusi kususiwa.[emoji24][emoji24]


Tazama hiyo ni nchi ya Qatar
Kabla ya kugundua gesi mwaka 2002 uchumi wao ulikuwa dola bilioni 19 tu, baada ya kugundua gesi uchumi wao leo ni dola bilioni 220.

View attachment 2465599

Hii imeniuma sana kwa kuwa Magufuli alitupa kwenye pipa la taka mradi wetu wa gesi.

Akadanganya kuwa gesi yetu imetwaliwa na mabeberu, sasa kama ilitwaliwa aliwezaje kuisimamisha?

Na kama alikuwa Waziri mwandamizi kwenye serikali ya Kikwete kwa nini hakulisema hilo au hata kujiuzulu kuokoa gesi isiende kwa mabeberu?

Samia anawezaje ku negotiate mkataba ya gesi na nchi nyingine hivi sasa?
Haikufaa Tanzanite kutuinua kiuchumi,itakuwa gesi?Ni wapi Duniani Tanzanite inapatikana zaidi ya Tanzania?
Kama haitoshi tuna Ng'ombe kibao lakini tunaagiza jozi za viatu kwa wasio na Ng'ombe!
"Haikufaa rangi,itafaa chokaa Mkuu"
Mwacheni Jiwe apumzike jamani,tumechoka na propaganda uchwara dhidi yake!
 
Magufuli sio raisi wa kwanza kuachana na mradi. Nchi inaongozwa na sera za chama. Nchi ipo hapa ilipo sababu ya tulichokuwa tukikifanya tangu uhuru. JPM kaendeleza walipoishia wengine. Kama nchi inaruhusu mwenyekiti wa chama tawala kufanya maamuzi kwa niaba ya wote utamlaumuje mwenyekiti kwa kufanya maamuzi? JPM alifanya sehemu yake kwa ufasaha kabisa.
Kwa hivo hana kosa na hatakiwi kulaumiwa sababu wengine walifanya hivyo?
 
Maamuzi ya uwekezaji upi ufanyike na upi usubiri hutokana na mambo mengi ikiwemo vyanzo vya fedha.

Ukifuatilia bajeti za JMT tangu utambulisho wa gesi mpaka maamuzi ya awamu ya 5 ya kusitisha kwa muda hutaona sababu ya kuuliza swali hili ulilouliza.
Nimefuatilia na sababu ni kuwa Magufuli alidai gesi yetu ilishauzwa

Wewe kama unafahamu tofauti si unasema unazunguka ya nini?
 
Sina muda wa kwenda kuitisha mikutano ila misukule nyie hamuwezi lolote, ndio maana hata mwendawazimu yule alitumia jeshi kuzuia mikutano akiogopa spana..!

Lissu alikuja akamtukana sana, misukule mlimfanya nini?
Huoni aibu kutukana mtu ambae HAWEZI kukujibu
 
Mama yenu atawauza kwa Waarabu na wanavyopenda taarab,pumbavu hawana maana kabisa
 
Tunakupa miaka mingine kumi. Una nafasi ya kurekebisha unachoona alikosea. Au tukupe ishirini kabisa😅 kuongea ni rahisi
 
Unalizwa na mistress yako tu, acha kumsingizia Magufuli.
Nenda kawaone wataalam wakusaidie kupunguza stress, utajiongezea siku za kuishi.
Rip JPM
 
Yule bwana ukiacha kwamba alikuwa mtu wa mihemko Ila kwa sehemu kubwa hakuwa na akili na exposure ya Uchumi na biashara..

Ni ajabu Sana kina Kikwete waliacha Nchi ikaongozwa na bwana yule wakati wakijua historia yake sio mtu mzuri yaani Ni mtu wa kusimamiwa sio kujisimamia au kusimamia wengine..

Hata miradi aliyoiasisi ukiacha timing mbovu na mechanism aliyoitumia kuanza kuitekeleza Ila mingi ya hiyo miradi Ni tembo mweupe.Mda utasema.
Woooi,wooi kijana wangu,kabla hujamlaumu huyo uliyemtaja,umechungulia vizuri huko nyuma? Una uhakika hivyo visima vya gesi vilikuwa vyetu? wooi wooi kijana wangu hivi unajua hata Angola, Nigeria Wana mafuta lakini wanapanga foleni kwenye vituo vya mafuta kwa uhaba wa mafuta na Bei zikiwa juu kushinda hata tusio na kisima hata kimoja! na huku nchi zao zikiuza nje mafuta kwa mamilioni ya mapipa! Tatizo sio nchi zao Ila Tatizo waligawa rasilimali zao zikawa sio zao ingawa zinapatikana kwao.
Kwa Hali hiyo tatizo halikuwa unae mtaja chungulia vizuri nyuma kijana. Sina uhakika Kama ulikuwepo wakati brother Muhongo anatutambia watanzania tuachane na ndoto za kumiliki visima vya gesi Ila tujikite kumiliki biashara za njugu! Eti hatuna mitaji,Mimi nilimuuliza kwani hao aliokuwa anawatetea huwa wanakuja na pesa zao mfukoni au na wao wanakopa? Baba we acha wajumbe so watu. Chungulia huko nyuma hakika utaliondoa hili bandiko lako.
 
Unasema hastahili kulaumiwa
Nasema lawama kwa JP na raisi yoyote mstaafu kufanya maamuzi kwa kufuata sera za chama chake hazina maana.
Ungekuja na hoja kuwa kutokuwa na sera/mpango kazi wa taifa ambao kila kiongozi anayeingia madarakani anausimamia kisha ukatumia mifano ya miradi iliyoachwa sababu ya kutokuwa na huo mfumo hapo ungekuwa umeleta mjadala wa maana.
 
Mleta mada kafungua mwaka na upuuzi mwingine kama kawaida yake.
 
Population yao hawafiki hata 3m na bado wao walikuwa na mafuta

Tuwaache hao waarabu wanajielewa hebu angalia sisi kama Nigeria na Angola na Ug
Waarabu wanaingia mikataba ya kufaidisha nchi yao na wananchi wao

Saudia kuna wakati walitaka kurudi kwenye tende baada ya wazungu kuzingua miaka ileee
 
Woooi,wooi kijana wangu,kabla hujamlaumu huyo uliyemtaja,umechungulia vizuri huko nyuma? Una uhakika hivyo visima vya gesi vilikuwa vyetu? wooi wooi kijana wangu hivi unajua hata Angola, Nigeria Wana mafuta lakini wanapanga foleni kwenye vituo vya mafuta kwa uhaba wa mafuta na Bei zikiwa juu kushinda hata tusio na kisima hata kimoja! na huku nchi zao zikiuza nje mafuta kwa mamilioni ya mapipa! Tatizo sio nchi zao Ila Tatizo waligawa rasilimali zao zikawa sio zao ingawa zinapatikana kwao.
Kwa Hali hiyo tatizo halikuwa unae mtaja chungulia vizuri nyuma kijana. Sina uhakika Kama ulikuwepo wakati brother Muhongo anatutambia watanzania tuachane na ndoto za kumiliki visima vya gesi Ila tujikite kumiliki biashara za njugu! Eti hatuna mitaji,Mimi nilimuuliza kwani hao aliokuwa anawatetea huwa wanakuja na pesa zao mfukoni au na wao wanakopa? Baba we acha wajumbe so watu. Chungulia huko nyuma hakika utaliondoa hili bandiko lako.
Umiliki wa visima vya gas na migodi ya madini una tofauti gani Sasa? Kwa msingi huo hakuna Cha kwenu.
 
Uko sahihi 100%
Utajiri huanzia mtu mmoja, familia, mtaa, Kijiji, kata, wilaya, mkoa na mwisho taifa.

Hawezekani taifa au nchi kuwa tajiri bila kwanza kuwa na sera za kuwawezesha wananchi wake kuwa matajiri.

Kosa kubwa la nchi za Afrika ni fikra potofu kuwa serikali inaweza kufanya nchi tajiri wakati wananchi ni masikini.

Ni lazima serikali iweke mazingira ya watu binafsi kuwa matajiri (mara nyingi utajiri hutoka nje, unahifadhi ulichonacho na kukusanya kutoka kwa wengine zaidi).

Utumwa, ukoloni mkongwe na mamboleo unathibitisha hilo.
Fikra potofu za kimasikini za kuwakamua wananchi Kodi na tozo huku tukiongeza taasisi za udhibiti/kuzuia ubunifu haziwezi kuondoa umasikini kamwe.
 
Leo hii Tanzania tungekuwa tunauza gesi yetu Ulaya kwa bei ya juuu baada ya Urusi kususiwa.😭😭


Tazama hiyo ni nchi ya Qatar
Kabla ya kugundua gesi mwaka 2002 uchumi wao ulikuwa dola bilioni 19 tu, baada ya kugundua gesi uchumi wao leo ni dola bilioni 220.

View attachment 2465599

Hii imeniuma sana kwa kuwa Magufuli alitupa kwenye pipa la taka mradi wetu wa gesi.

Akadanganya kuwa gesi yetu imetwaliwa na mabeberu, sasa kama ilitwaliwa aliwezaje kuisimamisha?

Na kama alikuwa Waziri mwandamizi kwenye serikali ya Kikwete kwa nini hakulisema hilo au hata kujiuzulu kuokoa gesi isiende kwa mabeberu?

Samia anawezaje ku negotiate mkataba ya gesi na nchi nyingine hivi sasa?
Afu kuna huyu mwamba:

 
Back
Top Bottom