Quran yachomwa moto Sweden

Luti ni nabii. Nabii wanakosea ila kuna madhambi wamekingwa nayo na ni mja mwema. Nabii wote hawafanyi madhambi makubwa, zinaa ni katika madhambi makubwa na wao wamekingwa na hayo.

Yesu naye na mwanadamu kama wewe unakubali alikuwa anakosea ?

Hii aya ya pili haya ushajibiwa zaidi ya mara Moja na ukakosa hoja Sasa unapo yarudia unaonyesha huna akili unapotezea watu muda.

Biblia siyo kitabu Cha muongozo ndiyo maana imekusanya takataka zote na mbaya zaidi hazijahakikiwa.

Sasa mimi nakupa kazi moja uje uthibitishe hapa ya kuwa Luti hakuwa nabii na alizini na watoto wake, kisha nikuulizie maswali ya kiuchunguzi juu ya andiko hilo. Utaratibu wangu ni ule ule.
 

Hakuna binadamu aaiyefanya makosa,
 
Kwnai iyo aya hapo imezungumziwa mapigano au ndio unadhihirisha upopoma

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Luti ni nabii. Nabii wanakosea ila kuna madhambi wamekingwa nayo na ni mja mwema.
Lutu sio nabii kwa majibu wa biblia , ila wewe kama una kitabu chako na kinasema kuna mtu anaitwa nabii lutu husichanganye na kitabu kingine

Ndio maana nimekwambia biblia sio kitabu cha kuficha jambo kama lilitokea iwe kwa nabii au mtume au character yeyote

unachosindwa kuelewa ni kwamba Jehovah anakemea dhambi wazi na anachukizwa ila Allah unamkuta anatoa verse za kuruhusu dhambi wazi kabisa na mwisho akampa mtume wake leseni ya kufanya dhambi yoyote anayotaka
 
انا نحن نزلنا الذكر و انا له لحافظون

Al Hijr:9.

Ni Allah mwenyewe ndiye ajuaye atakachomfanya huyo mhalifu.
kwani allah hana huruma? huwa hasamehi? yeye ukitenda tu kosa anacho cha kumfanya mtu?
 
Hivi ni Kwanini Allah ndio awe wa mwisho kuingia Jehanam ?
Yaani atakapo ingia yeye ndio Jehanam itajaa na kufungwa.

Huku ikiimba Qat, Qat, Qat, yaani imetosha imetosha.

Hivi huyu ndio Mungu kweli wa kuijaza Jahanam ?
Sasa wanaomwamini wataenda wapi kama sio kumfuata huko Jehanam.

Surah Qaaf Ayah 30.

يَوۡمَ نَقُولُ لِجَهَنَّمَ هَلِ ٱمۡتَلَأۡتِ وَتَقُولُ هَلۡ مِن مَّزِيدٖ
Siku tutapo iambia Jahannamu: Je! Umejaa? Nayo itasema: Je! Kuna ziada?

(Hiyo ziada ndio Allah)
 
Popoma kwenye ubora wake
Hiyo Ziada ndio wewe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hahahahahahahaha mapopoma kwenye ubora wenu
Hamna anae weza kunisumbua hapo

Kuunga unga kwenu ndio kuna waponza tukiingia kielimu hamuna kitu vichwani humo



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
RUdi kule ulipotoroka , kuna zawadi yako , allah kiti kipo juu ya maji na jua linaenda kusujudu chini ya kiti cha allah ambapo kuna maji,
 
RUdi kule ulipotoroka , kuna zawadi yako , allah kiti kipo juu ya maji na jua linaenda kusujudu chini ya kiti cha allah ambapo kuna maji,
Hakuna cha kutoroka hapo mpaka sasa huja thibitisha kama bado kipo huko

Hata hadithi ulio toa haijathibisha pia kama kipo huko huko

Thibitisha kama mpaka sasa bado kipo huko twambie sasa alipo maliza kuumba kila kitu kika endelea kua kipo huko huko

Kwa aya maana aya ulio toa haijathibitisha wala hadithi pia haija thibitisha kua bado kipo huko.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ivi hiyo inaitwa qulan inauzwa bei gani itakuwa haipungui bei mil 50 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
zinaa ni katika madhambi makubwa na wao wamekingwa na hayo.
Allah anavyo define dhambi ya zinaa ni tofauti kabisa , Muhammad kamruhusu kufanya zinaa na mwanamke muhumini yeyote anae enda kujitoa kwake bure bila ndoa, ameruhusu kutafuna mjakazi bila ndoa , unaongea zinaa gani mbele za allah

  • Muhammad alikuwa na mjakazi anampiga machine
    • Muhammad had a female slave with whom he had intercourse, but 'Aishah and Hafsah would not leave him alone until he said that she was forbidden for him. Then Allah, the Mighty and Sublime, revealed:
  • Akawa wake zake Aisha (mtoto wa miaka 9) na Hafsah wanamletea noma aache kubaka mjakazi, muhammad akajiapiza hata rudia , Allah akashusha aya haraka kumwambia asiache kupiga machine mjakazi
    • "O Prophet! Why do you forbid (for yourself) that which Allah has allowed to you.' until the end of the Verse. Sunan an-Nasa'i 3959
    • Koran 66:1 Tafsiri Al- Jalalayn O Prophet! Why do you prohibit what God has made lawful for you in terms of your Coptic handmaiden Māriya — when he lay with her in the house of Hafsa who had been away but who upon returning and finding out became upset by the fact that this had taken place in her own house and on her own bed
  • Allah hakuishia tu hapo kumgombeza Muhammad kwa nini anataka kuacha kula beki tatu
    Akashusha Aya tena ya kusema Kam Hafsa na Aisha wataendelea kumletea noma Muhammad Allah ,jibril, Malaika wote mpaka waumini wataingilia kumsaidia Muhammad dhidi ya wanawake hao wawili
    • Koran 66:4. Kama nyinyi wawili hamkutubia kwa Mwenyezi Mungu, basi nyoyo zenu zimekwisha elekea huko. Na mkisaidiana dhidi yake muhammad, basi hakika Allah ndiye kipenzi chake, na Jibrili, na Waumini wema, na zaidi ya hayo Malaika pia watasaidia.
 
Mwanasiasa mmoja nchini Sweden kachoma quran mbele ya balozi wa uturuki.
https://www.facebook.com/Kitendo hicho kimewakasirisha watu hasa RAIA wa uturuki mpaka kusababisha watu kuchoma Bendera ya sweden
Sasa hapo hasara si ni ya kwake mwenyewe? Kanunua kwa hela yake, kuberiti ni chake halafu kakoswakoswa kuunguza vidole vyake mwwnyewe.
Kwani amewachoma waislam? Kama kuna watakao umizwa na hilo nasi watakua na mapungufu kiakili na kimaumbile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…