pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
takbirrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!
Kuna mtu anaandaliwa kwenda kujitoa mhanga 🤣
Kuna mtu anaandaliwa kwenda kujitoa mhanga 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Luti ni nabii. Nabii wanakosea ila kuna madhambi wamekingwa nayo na ni mja mwema. Nabii wote hawafanyi madhambi makubwa, zinaa ni katika madhambi makubwa na wao wamekingwa na hayo.Nani alikwambia Lutu ni nabii ? na nani alikwambia binadamu hatendi dhambi? biblia imeandika yaliyotendeka kama yalivyotendeka hakuna kuficha ficha kwenye biblia
hiyo sio Koran inayoficha alicho fanya Muhammad kwa Aisha katoto ka miaka 6 alikanajisi vibaya , kaiba mke wa mtoto wake allah kashusha aya kumsifia , kakamatwa anabaka mjakazi (maria the copt) allah kashusha aya kumruhusu kulala na wajakazi
Dhambi ni dhambi na ukisema huna dhambi unajidanyanya
1 Yoh 1:8-10 SUV
Tukisema kwamba hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe, wala kweli haimo mwetu. Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote. Tukisema kwamba hatukutenda dhambi, twamfanya Yeye kuwa mwongo wala neno lake halimo mwetu.
Poa.We nawe punguani kweli mnawakataa hao wenzenu kisa wamekuwa wakweli
Poa.Mtajua wenyewe sisi tunasoma yote ambayo yalikuwa wamefichwa dhidi ya maswahaba wa mtume wetu mudi
takbirrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!
Kuna mtu anaandaliwa kwenda kujitoa mhanga [emoji1787]
Luti ni nabii. Nabii wanakosea ila kuna madhambi wamekingwa nayo na ni mja mwema. Nabii wote hawafanyi madhambi makubwa, zinaa ni katika madhambi makubwa na wao wamekingwa na hayo.
Yesu naye na mwanadamu kama wewe unakubali alikuwa anakosea ?
Hii aya ya pili haya ushajibiwa zaidi ya mara Moja na ukakosa hoja Sasa unapo yarudia unaonyesha huna akili unapotezea watu muda.
Biblia siyo kitabu Cha muongozo ndiyo maana imekusanya takataka zote na mbaya zaidi hazijahakikiwa.
Sasa mimi nakupa kazi moja uje uthibitishe hapa ya kuwa Luti hakuwa nabii na alizini na watoto wake, kisha nikuulizie maswali ya kiuchunguzi juu ya andiko hilo. Utaratibu wangu ni ule ule.
Kwnai iyo aya hapo imezungumziwa mapigano au ndio unadhihirisha upopomaHana huo ubavu huyo Allah wa kumfanya chochote huyo mchomaji.
Kwanza hayupo kwenye milki yake.
Huyo mchomaji anamungu wake,
Ili Allah amshughulikia huyo mchomaji itampasa apambane na mungu wa huyo mchomaji.
Inaitwa vita ya miungu.
Ni sawasawa na waarabu wakipambanaga na Israel. Inakuwa vita ya Yahweh Vs Allah.
Unafikiri ni rahisi mungu wako kushughulika na watu wenye miungu mingine?
Lutu sio nabii kwa majibu wa biblia , ila wewe kama una kitabu chako na kinasema kuna mtu anaitwa nabii lutu husichanganye na kitabu kingineLuti ni nabii. Nabii wanakosea ila kuna madhambi wamekingwa nayo na ni mja mwema.
kwani allah hana huruma? huwa hasamehi? yeye ukitenda tu kosa anacho cha kumfanya mtu?انا نحن نزلنا الذكر و انا له لحافظون
Al Hijr:9.
Ni Allah mwenyewe ndiye ajuaye atakachomfanya huyo mhalifu.
Mwanasiasa mmoja nchini Sweden kachoma quran mbele ya balozi wa uturuki.
Kitendo hicho kimewakasirisha watu hasa RAIA wa uturuki mpaka kusababisha watu kuchoma Bendera ya sweden
Popoma kwenye ubora wakeHivi ni Kwanini Allah ndio awe wa mwisho kuingia Jehanam ?
Yaani atakapo ingia yeye ndio Jehanam itajaa na kufungwa.
Huku ikiimba Qat, Qat, Qat, yaani imetosha imetosha.
Hivi huyu ndio Mungu kweli wa kuijaza Jahanam ?
Sasa wanaomwamini wataenda wapi kama sio kumfuata huko Jehanam.
Surah Qaaf Ayah 30.
يَوۡمَ نَقُولُ لِجَهَنَّمَ هَلِ ٱمۡتَلَأۡتِ وَتَقُولُ هَلۡ مِن مَّزِيدٖ
Siku tutapo iambia Jahannamu: Je! Umejaa? Nayo itasema: Je! Kuna ziada?
(Hiyo ziada ndio Allah)
Allah kasema mguu wake mmoja utaingia wewe unabishaPopoma kwenye ubora wake
Hiyo Ziada ndio wewe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahahahahahahaha mapopoma kwenye ubora wenuAllah kasema mguu wake mmoja utaingia wewe unabisha
RUdi kule ulipotoroka , kuna zawadi yako , allah kiti kipo juu ya maji na jua linaenda kusujudu chini ya kiti cha allah ambapo kuna maji,Hahahahahahahaha mapopoma kwenye ubora wenu
Hamna anae weza kunisumbua hapo
Kuunga unga kwenu ndio kuna waponza tukiingia kielimu hamuna kitu vichwani humo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hakuna cha kutoroka hapo mpaka sasa huja thibitisha kama bado kipo hukoRUdi kule ulipotoroka , kuna zawadi yako , allah kiti kipo juu ya maji na jua linaenda kusujudu chini ya kiti cha allah ambapo kuna maji,
Allah anavyo define dhambi ya zinaa ni tofauti kabisa , Muhammad kamruhusu kufanya zinaa na mwanamke muhumini yeyote anae enda kujitoa kwake bure bila ndoa, ameruhusu kutafuna mjakazi bila ndoa , unaongea zinaa gani mbele za allahzinaa ni katika madhambi makubwa na wao wamekingwa na hayo.
Mwanasiasa mmoja nchini Sweden kachoma quran mbele ya balozi wa uturuki.
Kitendo hicho kimewakasirisha watu hasa RAIA wa uturuki mpaka kusababisha watu kuchoma Bendera ya sweden