Quran yachomwa moto Sweden

Muhammad alikuwa Mtume na ni Nabii, walio andika Biblia hawakuwa mitume wala hawakuwa manabii wala hawakuwa wanafunzi wa Yesu.
Wewe nani alikwambia hawakuwa mitume na manabii,
Mimi mwenyewe simtambui Muhammad kama mtume maana kajipa mwenyewe hakuna shahid yeyote aliona wala kusikia aliyoyadai ,
 
Biblia ambayo imejaa uongo, uzushi, uzandiki, ushirikina na kuwatukana waja wema ?
Huo uongo ni wewe unasema , nilikuuliza kuna mkristo gani anasema biblia ina uongo unarukaruka tu
Ila waislamu mnasema maandiko yenu yana uongo ni nyie wenyewe mmeweka uongo kwenye vitabu vyenu
 
Nimecheka sana, kwanini hamsomi vijana ? Mtume amekufa tayari Qur'aan imekamilika na imehifadhiwa kwa maandishi na imehifadhiwa kwenye vifua vya watu.
Ndio ilikamilika , sasa tuambie hizi aya zipo wapi
Aisha anakiri aya za kupiga mawe na kunyonyesha mtu mzima zilikuwepo mpaka kifo cha muhammad , muhammad kafa aya zipo na aisha anasema zililiwa na mbuzi lakini watu walikuwa wamezikariri,
  • sasa ujibu nani kaziondoa kwenye koran
    • Aishah said: “The Verse of stoning and of breastfeeding an adult ten times was revealed1, and the paper was with me under my pillow. When the Messenger of Allah died, we were preoccupied with his death, and a tame sheep came in and ate it.” Sunan Ibn Majah 1944
  • Sahih Muslim 1452a 'A'isha (Allah be pleased with, her) reported that it had been revealed in the Holy Qur'an that ten clear sucklings make the marriage unlawful, then it was abrogated by five sucklings and Allah's Apostle (ﷺ) died and it was before that time (found) in the Holy Qur'an (and recited by the Muslims).
  • Sahih Muslim 1452b ...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
 
Hhhhhhhhhh pole saaaanaaa
Ww utakua ushaingia zamani sanaa kma usiposilimu
Na hiyo ziada umeitoa kwenye tafsiri ya kitabu gni au akili zako ndo zilokutuma ivo?
 
Biblia hii inomuita Mungu wenu ni mpumbavu ndo ina maneno ya kweli?

Kor 1:25 SUV

Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.

SUV: Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
 
Hupatwi na lolote,kama unabisha uje nao tuwe mtu bee tufanye experiment

Hawa vitisho kuhusu quran ni kawaida yao.

Mbagala iliwahi kukojolewa kabisa enzi za JK sababu za kutishwa kama hivi. Mkojoaji hakupata madhara yeyote. Mwisho wa siku waislamu wakaanza kuandamana kwenda kuchoma makanisa sababu quran imekojolewa.

Bagamoyo pia kuna binti alikojolea quran sababu za vitisho hivi hivi na yye hakupata madhara yeyote. Waislamu wakakasirika wakataka wamuue wenyewe baada ya kuona Allah wao hana madhara wala miujiza
 
Hhhhhhhhhh pole saaaanaaa
Ww utakua ushaingia zamani sanaa kma usiposilimu
Na hiyo ziada umeitoa kwenye tafsiri ya kitabu gni au akili zako ndo zilokutuma ivo?
Ziada ni Allah

Muhammad said, "The people will be thrown into the (Hell) Fire and it will say: "Are there any more (to come)?' (50.30) till Allah puts His Foot over it and it will say, 'Qati! Qati! (Enough Enough!)'" Sahih al-Bukhari 4848
 
Kama lengo sio sisi wasomaji basi ungeenda kumjibu PM huko ambako wasomaji hatuna access

Kwamba una amini huo uwongo ameuandika kwa bahati mbaya thats why unataka kumuonesha?

Kwamba haikuwa lengo lake kuleta habari za uongo ndio maana umeona haja ya kumuonesha mahali uonho ulipo?
 
Wewe nani alikwambia hawakuwa mitume na manabii,
Mimi mwenyewe simtambui Muhammad kama mtume maana kajipa mwenyewe hakuna shahid yeyote aliona wala kusikia aliyoyadai ,
Safi kabisa, thinitisha ya kuwa hao walio andika Biblia walikuwa mitume au manabii. Kisha utuambie kwa mujibu wa Biblia yenu inasemaje kuhusu utume na unabii.
 
Huo uongo ni wewe unasema , nilikuuliza kuna mkristo gani anasema biblia ina uongo unarukaruka tu
Ila waislamu mnasema maandiko yenu yana uongo ni nyie wenyewe mmeweka uongo kwenye vitabu vyenu
Wapi nimeruka ruka wakati nilikujibu zaidi ya mara Moja ya kuwa mtajuaje kama ni uongo wakati hamuhakiki maandiko yenu ? Hali ya kuwa mnajua kabisa Kuna maandiko yapo hawajulikani wa kina nani waliyaandika. Ndiyo maana Biblia haiwezi kuwa ni kitabu kitukufu kuanzia katika namna ya uandishi wake.

Sisi tunasema hivyo sababu Mtume alituachia misingi ya kujua haya ni maneno yake na haya si yake bali Qur'aan ikatupa msingi kabisa wa kuhakiki habari.

Akili tu ya kawaida inakataa upokeaji wa habari mnao upokea nyinyi ndiyo maana huwa tunahitimisha ya kuwa katika masuala ya dini yenu Wakristo ni WAJINGA tena wajinga hasa.
 
Hili unalirudia zaidi ya mara mbili na nimeshakujibu.

Kuna muda huwa nakupuuza sababu ya huu ujinga, unaonekana haupo kielimu zaidi ya kupotezea watu muda. Sasa rejea majibu niliyo kupa kuhusu haya uliyo yaweka.
 
Hakuna haja ya kwenda PM sababu ameweka hadharani na mimi naweka hadharani.

Ameandika makusudi kwa sababu hajui kama alichokiandika ni uongo bali anaamini ni ukweli. Katika Elimu haya mambo yapo sana.

Aya ya pili umerudia kile ulichokiandika katika aya ya juu yake.
 
Kwasababu yeye ameweka hadharani na wewe unataka kujibu hadharani, tuambie hayo majibu tuyategemee kuyaona lini maana mpaka muda huu hakuna sehemu umejibu hoja zake zaidi ya ahadi hewa?
 
Hili unalirudia zaidi ya mara mbili na nimeshakujibu.
Umedai koran uliyonayo leo imekamilika , nimeuliza swali dogo tu jibu acha kukimbia kizembe, najua ukiona kingereza unaweweseka ila jitaidi
sasa tuambie hizi aya zipo wapi
Aisha anakiri aya za kupiga mawe na kunyonyesha mtu mzima zilikuwepo mpaka kifo cha muhammad , muhammad kafa aya zipo na aisha anasema zililiwa na mbuzi lakini watu walikuwa wamezikariri,
  • sasa ujibu nani kaziondoa kwenye koran
    • Aishah said: “The Verse of stoning and of breastfeeding an adult ten times was revealed1, and the paper was with me under my pillow. When the Messenger of Allah died, we were preoccupied with his death, and a tame sheep came in and ate it.” Sunan Ibn Majah 1944
  • Sahih Muslim 1452a 'A'isha (Allah be pleased with, her) reported that it had been revealed in the Holy Qur'an that ten clear sucklings make the marriage unlawful, then it was abrogated by five sucklings and Allah's Apostle (ﷺ) died and it was before that time (found) in the Holy Qur'an (and recited by the Muslims).
  • Sahih Muslim 1452b ...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
 
Kwasababu yeye ameweka hadharani na wewe unataka kujibu hadharani, tuambie hayo majibu tuyategemee kuyaona lini maana mpaka muda huu hakuna sehemu umejibu hoja zake zaidi ya ahadi hewa?
Labda uniambie nijibu mara ngapi, muulize muhusika, kilimtokea nini nilipo anza kumjibu kuhusu aya za kuumbwa adamu ambazo alizi copy na kupaste kadhalika muulize nilimfanya nini pale alipo sema yeye anayo nakala ya tarjama ya Qur'aan ya Yusuf Ali na picha yake akatuwekea.

Kingine majibu hayo naweza kuyatoa popote na muda wowote. Ila nisicho taka mimi ni mtu kukimbia mjadala na kutokujibu maswali kadhalika kutokuwa mkweli.

Kwahiyo msitutanye sisi wajinga kama mlivyo nyinyi watu wa kukimbia hoja na maswali na kuwapotezea watu muda.
 
Hilo swali dogo nimeshakujibu zaidi ya mara ngapi au Leo hii ndiyo mara ya kwanza kuuliza ? Nataka kujadiliana na watu wakweli na wenye kutaka kujifunza. Rejea mijadala ya nyuma usome majibu niliyo kupa.

Sasa hivi nataka hoja mpya. Naona umekimbia maswali yangu juu ya ukweli kuhusu Biblia.
 
Sasa kama umejibu, ulikuwa na haja gani ya kuahidi kuwa utamjibu hadharani wakati ushamjibu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…