Radi iliyopiga juzi Dar imeacha hasara ya kutosha

Na maeneo haya Uliyoyataja ndoyo yanaongoza kwa kuwa na Wanaume wengi WAPIGA MILUZI kwa sasa huko Jijini Dar es Salaam hivyo huenda Mwenyezi Mungu kaamua Kuwaadhibu Kimtindo.
 
Kipitishi kizuri cha umeme. KIZURI
Vipitisho vya umeme vinapangwa kulingana na ubora wake
Nkisema bora nnamaanisha uwezo wake wa kupitish umeme bila ya kuwa na upotevu wa umeme
Kwahyo hata km kitapoteza kwa asilimia 99 bado kinauwezo wa kupitisha ila sio kwa ubora kama gold,silver..,,au copper
 
Waha na Wakinga na Wasukuma wameongezeka Huko Dar kwenu ndio maana. Bila kusahau wafipa. Ndio wenye kupenda radi
 
Kwa hiyo ukikata kipande cha waya kwenye circuit ukapachika kipande cha tofali la kuchoma Watu watapata umeme? Kipitishi kizuri.
 
Nasikia radi za kigoma zikipiga zinaondoka na zizi zima la ng'ombe.
 
Endeleeni kuweka vi earthlod vya 6000!
Mkuu ata kama ameweka Earth rod ya 200k lakini haijafika kwenye switch socket na metal boxes zote ndani ya nyumba haitakuwa na msaada wowote.
Pia kuna wale mafundi wakati wa maintenance huwa wanazikata Earth wires ili kuzia Earth leakage inayosababisha RCB Kutrip so wanakupa Panadol na sio dawa yakumaliza tatizo
 
huku watu kujua madhara yake ni ngumu maana sio ukanda wa radi,ila nina uhakika wengi wameweka za magumashi, zikipiga radi kama za kanda ya ziwa hata kwa wiki nyumba nyingi yatatokea majanga kwenye vifaa vya umeme
oyaa ee., radi za kanda ya ziwa[emoji23] ni nomaa na nusu!
 
Zamani walikua wana weka kabomba kana pita hadi chini ya ardhi tulikua una viita vya kukinga radi ..now days nyumba nyingi hawana sijui ndo technology
 
Bado hiyo ni copper plated sio kama ile ya 80k na uthibitisho ni katika kuikunja,pure cooper hukunjika kirahisi.Kipindi cha nyuma hizo za 40k zilikuwa zinakunjika lakini sio sasa pia kuwa plated kunaweza kusifanye mvutano na sumaku kipimo kinachodanganya wengi.Bora hata iwe aluminium kuliko hiyo cooper plated.
 
Siku ukienda tena kununua earth rod nenda na sumaku ikiwa original huwa sumaku hainasi
Thanks for this tip mkuu. Ntafuatilia ili kama vp nibadilishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…