Mkuu hapo kitu gani ni cha bei nafuu kilichopelekea TV kuungua baada ya radi kupiga. Maana kwenye wiring sikufanya ya kuungaunga ila bado radi imefanya yakepole ila huo ndio mwanzo tu itaungua hadi nyumba kwa ubahili wa kuweka vitu vya bei nafuu
Kuna mtu anatumia sign ya COMMON SENSE IS NOT COMMON, we ukiangalia udongo na tofali la kuchoma vinafanana?Udongo
Umesema Udongo ni kipitishi kizuri cha umeme. Ukitumia tofali za kuchoma kama nyaya za umeme,taa itawaka?
Mfano ukaunganisha betri mbili na tofali moja la kuchoma kisha glopu ukakamilisha circuit,glopu itawaka? Circuit yenye glopu,waya,betri mbili. Ukaamua ufanye tofali kama betri la tatu. Umeme utapita na glopu kuwaka?
Hiyo TV guard yako ni bei nafuu, kawaida haitakiwi kuwaka kwa sekunde 90 baada ya umeme kurudi kama ulizima , we unasema umeme haukuwa low voltage kwa hiyo ikaunguza TV. lakini OG bila kujali umeme ni low au High inatakiwa kusubiri mda huo ndio iruhusu umeme kupta.Mkuu hapo kitu gani ni cha bei nafuu kilichopelekea TV kuungua baada ya radi kupiga. Maana kwenye wiring sikufanya ya kuungaunga ila bado radi imefanya yake
True,Juzi jumamosi mida ya asubuhi mvua ilinyesha Dar na around saa tatu hivi ikapiga radi moja kubwa sana kwa wanaokaa pande za goba, mbezi,tegeta A, Msumi, Makabe etc. wataelewa ninachosema.
Radi ambayo ilipelekea umeme kukatika kwa dakika chache tu ila tayari ilikua imeshafanya uharibifu kwenye vifaa vya umeme nikiwemo mimi na majirani kadhaa tuliounguliwa TV. Binafsi natumiaga fridge guard kwenye TV lakini ngoma haikusaidia sababu haikua low voltage.
Nimekaa Dar muda sijakutana na hali hii maana ilikua ni radi ya level ya zile konki za kanda ya kigoma, katavi na Rukwa.
Nimetoka dukani kwa mangi mitaa ya huku nimekuta jamaa wengine nao wanaongelea kuunguliwa TV sababu ya ile radi. Kuna muhanga mwingine humu?
huwez ukawa na vifaa og alafu radi izingueMkuu hapo kitu gani ni cha bei nafuu kilichopelekea TV kuungua baada ya radi kupiga. Maana kwenye wiring sikufanya ya kuungaunga ila bado radi imefanya yake
Mkuu fridge guard na power stabilizer huwa zinalinda kifaa dhidi ya low voltage, sio high voltage. Ndio maana umeme ukipungua itasubiri hadi urudi sawa ndio inaruhusu umeme upite. Ikiwa high voltage haizuii na hapo kifaa kinaweza ungua kama ilivyotokea radi. Unless kuna guard na stabilizer mpya za majuzi zinazolinda dhidi ya high voltage, sanasana socket breaker ndio inasaidia kwenye high voltage kwa kujizimaHiyo TV guard yako ni bei nafuu, kawaida haitakiwi kuwaka kwa sekunde 90 baada ya umeme kurudi kama ulizima , we unasema umeme haukuwa low voltage kwa hiyo ikaunguza TV. lakini OG bila kujali umeme ni low au High inatakiwa kusubiri mda huo ndio iruhusu umeme kupta.
Kwahiyo tofali la kuchoma sio kipitishi kizuri cha umeme ila udongo ni kipitishi kizuri cha umeme?Kuna mtu anatumia sign ya COMMON SENSE IS NOT COMMON, we ukiangalia udongo na tofali la kuchoma vinafanana?
Ndio maana nikakwambia hicho ndio kimekuponza, mie nimenunua fridge guard hata umeme ukiwa level ukiwasha unasubiri 90 seconds ndio ina kick in. Kawaida ya fridge haitaki mshituko wa umeme maana inatumia moja kwa moja ndio maana guard yake inatakiwa iwe na delay ikitokea umeme umecheza isiwake moja kwa moja. Unatumia fridge guard ya mchongo.Mkuu fridge guard na power stabilizer huwa zinalinda kifaa dhidi ya low voltage, sio high voltage. Ndio maana umeme ukipungua itasubiri hadi urudi sawa ndio inaruhusu umeme upite. Ikiwa high voltage haizuii na hapo kifaa kinaweza ungua kama ilivyotokea radi. Unless kuna guard na stabilizer mpya za majuzi zinazolinda dhidi ya high voltage
Goba imeshakuwa kama marangu tu, ukitembea hatua Tano unakutana na MankaJuzi jumamosi mida ya asubuhi mvua ilinyesha Dar na around saa tatu hivi ikapiga radi moja kubwa sana kwa wanaokaa pande za goba, mbezi,tegeta A, Msumi, Makabe etc. wataelewa ninachosema.
Radi ambayo ilipelekea umeme kukatika kwa dakika chache tu ila tayari ilikua imeshafanya uharibifu kwenye vifaa vya umeme nikiwemo mimi na majirani kadhaa tuliounguliwa TV. Binafsi natumiaga fridge guard kwenye TV lakini ngoma haikusaidia sababu haikua low voltage.
Nimekaa Dar muda sijakutana na hali hii maana ilikua ni radi ya level ya zile konki za kanda ya kigoma, katavi na Rukwa.
Nimetoka dukani kwa mangi mitaa ya huku nimekuta jamaa wengine nao wanaongelea kuunguliwa TV sababu ya ile radi. Kuna muhanga mwingine humu?
umeme wa radi hauwezi kuvunwa mkuu na hakuna mtaalamu anayeweza pima megawatts zakeSasa kwanini huo umeme unaozidi wakati wa radi, Tanesco wasiwe wanaucollect na kuutunza ukatumika kipindi cha mgao, kuliko kupotea ardhini.??
Siku nyingine zingatia factor muhimu ndio maana hatutumii stabilizer kwenye fridge ikawepo fridge guard. Pia uelewe tofauti stabilizer umeme ukiwa chini inauboost uendelee kutumia, kuna buck-boost conveter ndani yake umeme hata ukizidi inaurudisha level.Mkuu fridge guard na power stabilizer huwa zinalinda kifaa dhidi ya low voltage, sio high voltage. Ndio maana umeme ukipungua itasubiri hadi urudi sawa ndio inaruhusu umeme upite. Ikiwa high voltage haizuii na hapo kifaa kinaweza ungua kama ilivyotokea radi. Unless kuna guard na stabilizer mpya za majuzi zinazolinda dhidi ya high voltage
Mkuu fridge guard na power stabilizer huwa zinalinda kifaa dhidi ya low voltage, sio high voltage. Ndio maana umeme ukipungua itasubiri hadi urudi sawa ndio inaruhusu umeme upite. Ikiwa high voltage haizuii na hapo kifaa kinaweza ungua kama ilivyotokea radi. Unless kuna guard na stabilizer mpya za majuzi zinazolinda dhidi ya high voltage
inachofanya udongo uruhusu umeme kupita n ule umaji maji ndani yake ukiwa mkavu umeme haupitiKwahiyo tofali la kuchoma sio kipitishi kizuri cha umeme ila udongo ni kipitishi kizuri cha umeme?
Tupe elimu katika hili mkuuEndeleeni kuweka vi earthrod vya 6000!
Ndicho nilichokuambia kuwa hizi fridge guard zinalinda vifaa dhidi ya umeme wa low voltage ambao unaunguzaga sana vitu pia, ila hazilindi dhidi ya high voltage, unless kuna za kisasa zaidi zimetoka majuziSiku nyingine zingatia factor muhimu ndio maana hatutumii stabilizer kwenye fridge ikawepo fridge guard. Pia uelewe tofauti stabilizer umeme ukiwa chini inauboost uendelee kutumia, kuna buck-boost conveter ndani yake umeme hata ukizidi inaurudisha level.
Pumba kama pumbaNa maeneo haya Uliyoyataja ndoyo yanaongoza kwa kuwa na Wanaume wengi WAPIGA MILUZI kwa sasa huko Jijini Dar es Salaam hivyo huenda Mwenyezi Mungu kaamua Kuwaadhibu Kimtindo.
Huko radi nyingi ni za kiutamaduni, mnatengeneza radi zenu wenyewe.Mkuu toa ushauri Earthrod ipi inashauriwa kwa mziki wa radi za Rukwa maana nipo kwenye ujenzi eneo ambalo radi kwakweli ndio kama nyumbani kwake.
Uko sawa lakin kama earthing system haiko vizur hiyo circut breaker itachelewa kusensi kwa haraka hence unaunguza vitu kwahiyo huwa vinategemeana earthing system na circuit breakerKifaa kinacholinda mfumo wako wa umeme dhidi ya Radi ni aina hizi mbili za circuit breaker
1. Residual Current Circuit Breaker (RCCB)
2. Residual Current Device (RCD)
Radi (lightning) inapopiga circuit breaker hizi hu trip (huzima mfumo wote wa umeme), hivi ndio inavyolinda sakiti yako.
Note; binafsi naikubali RCCB kampuni ya EUROTRIX.
Kazi ya earthing system ni;
1. Kumlinda mtu asipigwe na shock ya umeme.
Mfano. Waya wenye umeme (live wire) unapogusa bati la friji, maana ake mtu akigusa lile bati la friji atapigwa na shock ya umeme, badala yake sasa endapo mfumo wako ukiwa na earthing basi umeme wote uliovuja kwenye bati la friji hupelekwa chini ya ardhi, hivyo basi hata mtu akigusa lile bati hatapigwa na shock ya umeme kwa maana umeme tayari unaelekea chini.
2. Kulinda kifaa kisiungue dhidi ya umeme unaovuja.
Mfano. Kama umeme utavuja, yaani waya ukagusa bati la friji kama hujafanya earthing kwenye sakiti yako basi kuna uwezekano wa friji lako kuungua endapo waya mwingine wenye potential tofauti ukagusa bati hilo la friji, endapo utafanya earthing basi umeme wote hupelekwa chini na friji lako litabaki salama.
Note; Earthing system hailindi kifaa dhidi ya Radi (lightning)
radi inapiga thena umeme unaunguza vyombo? Maana yake Radi iliongeza voltage za umeme?Juzi jumamosi mida ya asubuhi mvua ilinyesha Dar na around saa tatu hivi ikapiga radi moja kubwa sana kwa wanaokaa pande za goba, mbezi,tegeta A, Msumi, Makabe etc. wataelewa ninachosema.
Radi ambayo ilipelekea umeme kukatika kwa dakika chache tu ila tayari ilikua imeshafanya uharibifu kwenye vifaa vya umeme nikiwemo mimi na majirani kadhaa tuliounguliwa TV. Binafsi natumiaga fridge guard kwenye TV lakini ngoma haikusaidia sababu haikua low voltage.
Nimekaa Dar muda sijakutana na hali hii maana ilikua ni radi ya level ya zile konki za kanda ya kigoma, katavi na Rukwa.
Nimetoka dukani kwa mangi mitaa ya huku nimekuta jamaa wengine nao wanaongelea kuunguliwa TV sababu ya ile radi. Kuna muhanga mwingine humu?