Radi yapiga wapenzi wakizini

Kwa wanaojiuliza ni wapi huko... Itakua ni kanda ya Ziwa mpaka itakapobainika sio [emoji1787][emoji1787]
Nadhan ni singida huko! Pole Hassani na R I.P Vaileth
 
Mkuu, walikua staili gani hiyo hadi radi iue Mwanamke na kumuacha Mwanaume (Mwizi)?
May be reverse cowgirl hahaha, au kichuma mboga!! Ila kwa uzoefu wangu kwenye pagale hakunaga mbwembwe, ni kifo cha mende cha fastaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…