Rafiki yangu alimrusha mtu mwaka 2017/2018: Anamtafuta amwombe msamaha na kumlipa akikubali

Nami kuna mtu namsaka mpaka kesho nimrejeshee pesa yake sijawahi kumpata, nilianzisha uzi humu hajatokea.
 
Hii dhambi 2015 niliikataa baada ya ndugu mmoja kutuma kimakosa kwenye line yangu ya airtel laki nane na hamsini elfu (850,000/=) kwa kumrudishia yote, japo nilikuwa juu ya mawe.
Wewe ni tajiri. Utajiri unaanzia rohoni baadae unakuja kwenye Vitu na umaskini nao ni hivyo hivyo.
 
Mimi ni mstaafu wa jeshi moja hapa nchini, niliwahi mrudishia mtu mmoja hela yake yote laki nane pamoja na ya kutolea niliongezea pale kibo complex

Sipendi dhuluma kabisa
Hongera sana wengi wanatamani wawe Kama wewe na wengi hawawezi generation hii Ina baadhi ya watu Wana tamaa sana
 
Utu
 
Aisee huyo mtu daah
 
Mimi ni mstaafu wa jeshi moja hapa nchini, niliwahi mrudishia mtu mmoja hela yake yote laki nane pamoja na ya kutolea niliongezea pale kibo complex

Sipendi dhuluma kabisa
Unaweza kutuambia ilikuwa mwaka gani!?
 
[emoji3] duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…