Mungu ni mlipaji pekee mzuriUaminifu ni kitu muhimu na una baraka zake.
Sadaka: Juzi niliona bibi kakaa barabarani kajikunyata nikamfuata vipi mbona hupandi gari akasema anasubiri walipwe hela ya kibarua buku nne ya kufagia barabara ilibaki nusu nilie. Nikampa elf 20. Siku hiyo jioni yake nikapata hiyo mara 30. Niliconnect.
Mbwai mbwai....dadeki🤒
Dah aisee..... Sema hata hivyo sio mbaya sana mwengine angezima na simu kabisa aseeHaya mambo ya hela za mtandao mimi huwa nayaheshimu sana,hujui aliyetuma huko alikokusudia kutuma ilikuwa ikafanye kazi gani?je mgonjwa yupo mahututi?msiba au ada?
sababu za kifo cha mtu tujifunze kutokula visivyotuhusu.(nimekazia sana kwenye suala la kifo kwa sababu ndiyo sehemu pekee isiyokuwa na option ya subira)
[emoji23] [emoji23]Mwambie abaki nayo,,si alijifanya mjanja kula hela yangu [emoji2][emoji2][emoji2]
Sure.Dah aisee..... Sema hata hivyo sio mbaya sana mwengine angezima na simu kabisa asee
hahahahahaMimi ni mstaafu wa jeshi moja hapa nchini, niliwahi mrudishia mtu mmoja hela yake yote laki nane pamoja na ya kutolea niliongezea pale kibo complex
Sipendi dhuluma kabisa
Hela za tala na branch hazina dhambi zile. Sijawah jutaHuwa najiuliza, hivi wanaojisifu kudhulumu hela za mikopo ya hizi apps kama ela uchukue bure na mwenye hela aridhike tu? Tafakari
Kuna niliyemtumia kupitia NBC mobile banking ,nilipompigia alisema pesa kaziweka kwenye kilimo.Alinushia kidogo Kisha akaacha.Kwa madai yake alikuwa anaishi Singida.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Rafiki yangu alitumiwa pesa kimakosa kwenye no. yake ya mpesa inayoishia na 8650. Baada ya kutumiwa hiyo hela huyo rafiki yangu aliitoa yote. Alipigiwa na aliyekosea mwamala akamrudishia elf 50 Kwa ahadi ya kulipa kilichobaki ila aliposhindwa aliacha kutumia hiyo no yake inayoishia na 8650. Kama unaijua story hii jamaa anakutafuta aombe msamaha na kukulipa ukikubaliana maana anasema jambo hili linamtesa sana.
N.b. Jamaa alikua anamtumia pesa wife wake. Ataje kiasi na mkoa aliotoka maana ni vitu anavikumbuka. Asanteni.
TashwishwiHela za tala na branch hazina dhambi zile. Sijawah juta
Unaweza Kumchangia hata sasa, Mfuate na umwambie kipindi umepanga Kumchangia mambo hayakwenda kama yalivyopangiliwa, ila sasa walau yanaenda hivyo Kamata hiki kiasi kama zawadi yangu kwenu, mtanunua kitu chochote ama kufanyia chochote kunikumbuka.Mimi kuna mtu nilimuahidi kumchangia Harusi halafu sikumchangia... kiukweli roho iliniuma Sana kila ninapo kutana nae...
Kama ningejua ningemchangia tu...
Imeniumiza kuliko hela ambayo ningemchangia
Sadaka yako ilikua ya kweli.2020 nilikosea kumtumia mtu 206,000. Ilikuwa ni malipo ya hela ya Chakula ya vibarua kwenye site yangu.
Nilikuwa busy kidogo, ilipofika tu jamaa niliyempigiaa simu akapiga. Nikamuandikia ujumbe kuwa tayari nimeshatuma. Niliamini ni fundi anauliza. Jamaa, akaniandikia pokea mara moja.
Akapiga lakini niligundua si sauti ya fundi. Akaniambia kuna fedha nimemtumia ila anaomba asirudishe. Nilipanick kidogo, jamaa akanielezea story ya magumu anayopitia. Anaomba sana nimuachie kiasi kile cha hela. Akaniambia kama sitaridhia atarudisha kiasi hicho punde baada ya kukata simu.
Lakini kwa magumu yale, niliridhia kumuachia kiasi hicho cha pesa. Ukweli ni kuwa niliokoa maisha ya mwanae. Na maombi yake yalijibiwa kupitia mimi. Nilifanya alternative nyingine kuwesesha kule site.
Jioni nilipata dili zuri mno. Nikajua tu ni Mungu ananilipa kwa Sadaka yangu ya asubuhi.