Rafiki yangu alimrusha mtu mwaka 2017/2018: Anamtafuta amwombe msamaha na kumlipa akikubali

Ubarikiwe sana. Kisa hiki kimenigusa sana.
 
Shida hali ngumu kila Jambo tunaona furusa, hata ukizimikiwa na gari barabarani kwa bahati mbaya,watakao jitokeza kusaidia ni wale wa furusa la sivyo wanakuacha hapo hapo!!
Kweli kabisa.
 
Wanadamu tunatofautiana pakubwa sana
Wengine sijui tunaishi maisha gani

Watu wamekua watu wa hovyo hovyo tu
Imani 0
Utu 0
Upendo 0
Yaani tunaishi kama wanyama

Juzi tupo ofsin secretary wetu (mdada) anajisifia alivyo kimbia na laki ya watu kweli?

Ilikua hivi alikua na shida na hela kiasi cha laki moja hivi
Akaenda kwa wakala kuitoa wakala alidai hakuna mtandao hivyo aje wakati mwingine
Kwakua alikua na shida ya haraka basi akaomba apewe laki moja ili aitumie
Yule dada ki uungwana akampa kwakua anafahamika
After siku chache akaenda kutoa 200000 ili arudishe deni na abaki na 100,000
Yule dada akampa yote 200000 dada akageuka akaondoka
Hadi leo Yule sister hajakumbuka kitu
Na yapata muda mrefu sana


Watu hawana maana
Hovyo kabisa
 
Pole,wanaweza rudisha
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]saaa ikawaje pesa ilirudi??
 
Hajielewi
 
Mbona kama Chai, yaani Wakala akosee afu aanze sumbuka kukupigia?

Wakala akikosea anawahi kuwapigia wenye mtandao hela inazuiwa.
Dah we Himars embu tanua uwezo wako wa kufikiri katika hili kidogo tu. Aliyekuwa ananipigia sio wakala bali dada aliyeenda kutuma hiyo pesa. Aliyekosea si wakala, wakala alipewa namba akatuma kwenye hiyo number ikiwa tayari imekosewa then huyo dada akaondoka zake. Wamekuja kugundua kuwa wamekosea baada ya kuuliza huko inapotakiwa kwenda kuwa haijafika, baada ya kuangalia number ndio wakagundua kuna digit wamekosea na kuanza kunipigia.
 
Mungu ana njia nyingi sana za kumpa Mtu riziki yake amtakae,Sasa fikiria Kama Mwalimu ndiyo angekua anataka mkopo wa m9 hayo mashariti na riba angepewa na Bank mwenyewe angeshindwa!!
Asingeweza abadan.... Hakika ni Mungu.....
 
Umesema kuwa muamala umetoka kwa wakala,sasa wakala akikosea mbona ni zoezi dogo tu anawasiliana na huduma kwa wateja
 
Mbona kama Chai, yaani Wakala akosee afu aanze sumbuka kukupigia?

Wakala akikosea anawahi kuwapigia wenye mtandao hela inazuiwa.
Hivi unadhani hilo swala limetokea mwaka huu au mwaka jana? Hiyo ilikuwa 2008 mkuu, kipindi hiko ukikosea wee ongea vizuri tu uliyemtumia akurudishie fedha zako. Mambo ya kurudisha muamala uliokosewa imeaanza miaka ya karibu ru
 
Umesema kuwa muamala umetoka kwa wakala,sasa wakala akikosea mbona ni zoezi dogo tu anawasiliana na huduma kwa wateja
Sijui kama baada ya kukosea wakurudi kwa wakala au hawakurudi, mimi nilipigiwa simu na mhusika akiwa Chunya kuwa wamekosea kutuma hela na kunieleza lengo la hilo hela so niwarudishie.
 
We tunza meseji hiyo hela atairudisha tu.
Kwa kipindi hicho angelipa milioni kumi na sita ikiwa ni pamoja na riba!
Ushauri wa bure, tafuta mwanasheria mpe 50000. Aandae barua awaandikie kua wa natakiwa kutudisha hiyo hela na unawapa siku 7
1. Warudishe hela ndani ya siku 7 bila riba
2. Warudishe hela baada ya siku 7 na riba maybe 300000 na gharama za Wakili 500000
3. Mwende mahakamani udai hela yako na riba na gharama za Wakili zote atakazoingia.
Hela utapata chap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…